Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
anakula hadi ukoko.ukute anamzuga tu jamaa yenu akiwa kwenye kumi na nane zake anakula kila kinacholiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anakula hadi ukoko.ukute anamzuga tu jamaa yenu akiwa kwenye kumi na nane zake anakula kila kinacholiwa
Yes ni Mboga mkuu tena inaungwa na Zile mbegu zake,huwa zina kaangwa kama bisi na kutwangwa kisha kuchekechwa ,ile unga ndio kiungo,nilikula sana miaka ya ….93-96Unamaanisha hata bangi la jani?
Kiboko mchunga,mimi nilikuja kujua unaliwa huku dar,wakati sisi tulikuwa tunajua ni maalum kwa ajili ya sunguraSi Bora aliyegundua majani ya kunde....aliyegundua mchunga alikuwa anatafuta nini mara nyanya chungu.....Kabichi sijui alikuwa anataka kugundua nini mara sukuma wiki ...kwanza alianzaje kuona hii mboga ni ya kusukumia wiki ... daaah
HalooYes ni Mboga mkuu tena inaungwa na Zile mbegu zake,huwa zina kaangwa kama bisi na kutwangwa kisha kuchekechwa ,ile unga ndio kiungo,nilikuwa sana miaka ya ….93-96
Dah! Nahisi hii ishu imechngia sana mimi kuwa mkimya na wakujitenga sana,maana kwa sasa akili inaniambia nikijichanganya kuwatumia kilevi nitakuwa chizi ama zaidi ya mnyama,kipindi kile nilikuwa mdogo sana hata nilikuwa sielewi maana y kulewa ni niniHaloo
Haileweshi?
Baadae ukaanza kufukia misosi, unakula kama nyangumi, maugali na michuzi yote unafukia kontena zima.Njaa ni best teacher..Mimi nilikuaga sili parachichi,matango, sikua nakula SENENE.
Ni Kama ukienda gerezani/ boarding school za SERIKALI na hukuwai kuishi hayo Maisha.
Niliendaga na kakikombe kadogo ka uji , siku ya mwanzo nilikuaga nagawa CHAKULA nikaambiwa huyu mgeni ngoja azoee Bagosha soon after Nika adopt.
Hamna kilichonipata huo ushauti nilipewa na dingi kuhusu Hawa warembo.when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!! mkuu kilikupata nini mpaka ukaja na hii slogan
Mimi ni mgambounafanya kaz gani mkwe kwanza kabla hatujafika mbali
Huyu komwe mswahili bhna ata ugali na bamia tu anakulaNamjua huyo ni BICHWA KOMWE -
ACHANA NA MWANANGUMimi ni mgambo
Mwezi uhuu tunaongezewa mshahara wagambo tunaongezwa buku buku ambapo mwanao atakuwa na uwakika wakula miguu ya kuku kila sikuACHANA NA MWANANGU
Mjinga yule alikuwa anafake tu.ASaÀMtu pa kulala huna unachagua chakula🤣 una maisha gani??? Sema sishangai kuna watu wanajua kufake!!
Ila kuna siku atakuchoma kwa huyo mshkaji wakoÀ1
Uko sahihi,wa mwanza ukiwatia nazi umeharibunazi labda wale dahlgaa nyama wale wakuchemsha wale wa mwanza sjawah kuwala wanazi
aah maaaaaanina wallah hapanaMwezi uhuu tunaongezewa mshahara wagambo tunaongezwa buku buku ambapo mwanao atakuwa na uwakika wakula miguu ya kuku kila siku
kwahiyo ukamlamba bby wa rafiki yako?Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.
nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao
Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Wajinga sana,dawa yao ndio hiyo kupika asivyokula hataki anunue kwa hela zake,njaa ikimkaba atakula tuKuna usenge wa hawa wanawake wa aina hii nashangaa sana
Wakiwa kwa wazazi wao masikini hawakuwa wabachagua vyakula
Na anakula mpaka analamba na sahani anakomaa na sufuria la ukoko wa wali akigombania na wadogo zake
Leo akiwa na simp anamletea pozi kwa kujifanya anachagua vyakula
Kama aliweza kuvumilia umasikini wa baba yake wa kula chochote kilichopikwa kwa miaka zaidi ya 20 analetaje nyodo kwa mwanaume?
Ukiona wewe mwanaume unafanya anachotaka basi ujue wewe ni simp na mpumbavu
Mimi yf hata walio aliopika mwenyewe usiku, kesho yake hali hata kwa dawa. Yan unaweza ikawa kilibak chakula hata chote ila kesho kikiamka maadam ni wali bas ujue hautaguswa , utapikwa mwigine.
Maboga,magimbi,biriani ni misosi mitamu sana kwanguYupo sahihi kukataa baadhi ya vyakula.
Mimi huwezi kunilisha Choroko ,njugu mawe ,maboga ,magimbi au biliani NOPE...Nakula kama hakuna Options ila nitagusagusa tu tumbo lisiwe empty.