Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
NtakupigiaaaaUlie nae anajiweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NtakupigiaaaaUlie nae anajiweza?
Oh sawa nangojeaNtakupigiaaaa
Leo nimetafuta dagaa sana.wa mwanza waliokaangwa .wanasema wanaleta kwa oda maana wateja adimu ni ghali sanaDagaa wa kigoma now kilo moja sh elfu 20....
Zamani dagaa ndo ilikuwa chakula cha bei nafuu Sana .
mwanangu utaishia kumsikia kwenye bomba.Huyu wangu alikuwa nakula ugali na tomato kama hakuna tomato hakuli
Usinifanyie ivyo af najipanga kuleta baruamwanangu utaishia kumsikia kwenye bomba.
Pamoja na bamiya kwa ajili ya utelezi😁ugali dagaa ulivyomtam, nimewazia hapa upate wale wa mwanza wa mafuta wakolee nyanya na kalimao kwa mbaali ugali wangu lazima nivue dera nivae tenge la kifua uniingie mpaka rohoni huyo hayajamkanda maisha
uje umtangazie humu utudhalilishe?Usinifanyie ivyo af najipanga kuleta barua
Siwez thubut kabisa mkwee kwaza nikiwa namsfia namsifia kwa kilatinuje umtangazie humu utudhalilishe?
hapo ni kama huna hela ya bamia nanyanya chungu lakini unajiweza linakua bonge la combination roast la kiswahili na maji ya baridi pembeni mzee mate yananitokaPamoja na bamiya kwa ajili ya utelezi😁
una wazimu? umtukane ukijua hakuelewi?Siwez thubut kabisa mkwee kwaza nikiwa namsfia namsifia kwa kilatin
Namfumdisha polepole atajua tu mpaka kiturki nitampelekauna wazimu? umtukane ukijua hakuelewi?
Na Nazi na bamia za kutoshaugali dagaa ulivyomtam, nimewazia hapa upate wale wa mwanza wa mafuta wakolee nyanya na kalimao kwa mbaali ugali wangu lazima nivue dera nivae tenge la kifua uniingie mpaka rohoni huyo hayajamkanda maisha
Si Bora aliyegundua majani ya kunde....aliyegundua mchunga alikuwa anatafuta nini mara nyanya chungu.....Kabichi sijui alikuwa anataka kugundua nini mara sukuma wiki ...kwanza alianzaje kuona hii mboga ni ya kusukumia wiki ... daaahkwani mpaka ushikiwe mtutu basi unaachwa tu na njaa yako inene nawewe kwa lugha!..
kama mtu chakula hakimletei shida yoyote kiafya akiacha kula na hakuna option nyengine hiyo ni shauli yake kwa tumbo lake.. binafsi nilikuwa sipendi njugu mawe! home sasa ambavyo walikuwa wanapenda sifa kila wiki watazipika,njaa nayo inajipika mbona nilikuwa nakula..!!
kuna yale majani ya kunde siyapendi bora hata njugu mawe!, vitu vyengine sijui nani aligundua viwe chakula, mtakujaga kutuua...🤣