Shangazi wee hupendi pizza na burger
Sasa ulishindwa kuagiza kitimoto kg 2 na ndizi nne kweli mtoto ale???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulishindwa kuagiza kitimoto kg 2 na ndizi nne kweli mtoto ale???
Nilini mutaacha kutuletea stori za kitoto za kutunga?Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Kesho yake ilikuwa weekend ,sie watu wa pwani tunajua kukirimu wageni,mjinga mimi nikanunua kilo ya nyama akasema hali nyama,ndani kulikuwa na kabeji akasema huwa hali kabeji,nikazunguka genge la jiranikuchukua dagaa akasema dagaa akila anasikia kichefuchefu,nikazunguka nyuma kuchuma matembele nayo hatumii,nyanya chungu na bamia pia hatumii,maarage akasema anasikia kiungulia,anataka samaki tu,
Ugali wa dona akasema hatumii pia.
nilimpuuza siku mbili mpaka alipoanza kula ugalii dagaa nikampa nauli arudi kwao
Nilishangaa jamaa aliwezake kuishi na huyu kiumbe kwa muda wote huo
Mimi bunafsi ni mtu ninayekula kila kitu kasoro sumu,nilikuwa njombe nikaletewa ugali na mboga inaitwa mkalifya ni chungu mithili ya shubiri ila ugali uliisha
Hili hata mimi nimelishuhudia kwa mwanamke mmoja hivi, yeye halagi vya ovyo ovyo.Huyo umkute kwao sasa anavyojilamba ugali na maharage, utashangaa ni yeye au nani?
Nyumbani hawaringi.
Mpaka bhange!Ukienda kijijini kwa babu yangu utakufa njaa,kila jani ni mboga
Anataka ausome mfuko na msimamo wako!Hili hata mimi nimelishuhudia kwa mwanamke mmoja hivi, yeye halagi vya ovyo ovyo.
Ila kwao fresh, wanawake wanafiki sana.
Kitimoto kg 2 na bia...Shangazi wee hupendi pizza na burger
Namjua huyo ni BICHWA KOMWE -Huyu wangu alikuwa nakula ugali na tomato kama hakuna tomato hakuli
when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!! mkuu kilikupata nini mpaka ukaja na hii sloganShangazi wee hupendi pizza na burger
Kama nini?Mimi kuna vyakula sili kwakweli hata kwa mtutu
Umesahau pilipili,ugali dagaa ni demu moja hv namkubali sana.ugali dagaa ulivyomtam, nimewazia hapa upate wale wa mwanza wa mafuta wakolee nyanya na kalimao kwa mbaali ugali wangu lazima nivue dera nivae tenge la kifua uniingie mpaka rohoni huyo hayajamkanda maisha
Mkuu ni 40,000 juzi tu jumamosi nlipita Kkoo, nikaishia kusema kwanza Hawa huwa siwapendi nikachukua wa Mwanza 13,000 tu .Dagaa wa kigoma now kilo moja sh elfu 20....
Zamani dagaa ndo ilikuwa chakula cha bei nafuu Sana .
ukute anamzuga tu jamaa yenu akiwa kwenye kumi na nane zake anakula kila kinacholiwaUmesahau pilipili,ugali dagaa ni demu moja hv namkubali sana.
nazi labda wale dahlgaa nyama wale wakuchemsha wale wa mwanza sjawah kuwala wanaziNa Nazi na bamia za kutosha
unafanya kaz gani mkwe kwanza kabla hatujafika mbaliNamfumdisha polepole atajua tu mpaka kiturki nitampeleka
Njaa ni best teacher..Mimi nilikuaga sili parachichi,matango, sikua nakula SENENE.Mimi kuna vyakula sili kwakweli hata kwa mtutu