Ulishawahi kuwa kwenye mahusisno na msichana anayechagua vyakula? Mimi nilimlaza njaa siku mbili akaanza kula ugali dagaa

Hata kuishi nae muda mrefu ingewezekana
Aaah ingekuwa si busara maana alikuwa ni demu wa mshikaji,we ungemnunulia sato mkubwa ale siku mbili sato akiisha aende zake ungekupa raha zote za dunia
 
Utatoboa kufikisha miaka 60
 
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja ,itoshe kusema tukalala mzungu wa pili kufumba na kufumbua tuko tunaivunja amri ya sita kimasihara.,shetani mtu mbaya sana
Samahan, kwani wewe ni Mngoni😁?
 
Nilishindwa kabisa kula hiyo mboga mdau.

Ila mimi ni mpenzi wa jamii zote za samaki kasoro dagaa!
Dagaa wa kigoma ni wazuri Sana Kama NYAMA.

Pia ukerewe Kuna dagaa wakubwa wakubwa Kama SAMAKI wanaitwa FURU.

Pia Kuna SAMAKI KAMONGO unamfaham?
 
Dagaa wa kigoma ni wazuri Sana Kama NYAMA.

Pia ukerewe Kuna dagaa wakubwa wakubwa Kama SAMAKI wanaitwa FURU.

Pia Kuna SAMAKI KAMONGO unamfaham?
Samaki ninaowafahamu ni
Tasi, changu, sato, sangara, kolekole, pweza, ngisi n.k pengine kamongo namjua kwa kumwangalia.

Dagaa wa Kigoma wakoje? anyway siwajui maybe kwa sababu siko interested.
 
Samaki ninaowafahamu ni
Tasi, changu, sato, sangara, kolekole, pweza, ngisi n.k pengine kamongo namjua kwa kumwangalia.

Dagaa wa Kigoma wakoje? anyway siwajui maybe kwa sababu siko interested.


Huyu ndio KAMONGO...Wajita huwa Wana msemo wao "KAMONGO IKO SHINDA NYAMA ILA KWA MAHARAGE IKO TOKA DROO" 😅
 
Si Bora aliyegundua majani ya kunde....aliyegundua mchunga alikuwa anatafuta nini mara nyanya chungu.....Kabichi sijui alikuwa anataka kugundua nini mara sukuma wiki ...kwanza alianzaje kuona hii mboga ni ya kusukumia wiki ... daaah
Je yule aliyeanza kutumia majani ya mkaratusi na ya mpapai alifikiria kitu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…