FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:
sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!
nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.
Hujaelewa nini FL1? Anawatahadharisha msiringie sana waume zenu, sababu akipata nafasi ya kuwaona.....Roselyn1 hii kauli tata sana kwangu nimeambulia zero ..sijaelewa kabisa maelezo yako yaliyofatia baada ya hapo
Hujaelewa nini FL1? Anawatahadharisha msiringie sana waume zenu, sababu akipata nafasi ya kuwaona.....
Pole sana Carmel, sikujua hauko tayari kukutana na challanges bali unapenda kusikia kile unachokijua. Samahani endelea na porojo zakounaweza kuanzisha mada na wewe kisha ukaweka maswali unayotaka yajibiwe na ntakuja kuyajibu huko kwenye thread yako. kama hujisikii kujibu unaweza pita kimyakimya, sio wewe tena kunitngia mimi cha kuuliza.
Naomba twende PM Roseymmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:
sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!
nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.
HEDE HEDE HEDEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:target::drum:Hedeeeeeeeeeeeeeeee rosylene1 hedeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!......
Jamani naomba kuuliza, hivi kama ukikutana na ex wako ambaye kashaoelewa au kashaoa, mkaamua kukumbushia, hiyo nayo mnaita ku-cheat? I am just thinking aloud.
Hivi kuna mtu ambae ha-cheat ktk dunia hii?
Nadhani jibu limepatikana hapo toka kwangu...
Nadhani hapa dhamiri zinatushitaki kutokana na mada hii. Naona mada imegusa tabia ya wengi, ya KUCHEAT. Mimi niwahi kucheat nilipokuwa kijana, ila nimeacha baada ya kugundua kwamaba hainisaidii kitu chochote zaidi ya kunivunja heshima na kumkosea MUNGU wangu.
Xpin umenifurahisha sana yaani we unadhani kila mtu ni mzinzi kama wewe hahahahahahaaaaaaaaaaaaJapo simjui lakini naweza kukuapia hilo limjamaa lake siyo bikra asee.
HEDE HEDE HEDEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:target::drum:
Una habari kuwa mahawala huwa hawaachani kamwe ndo hiyo kukumbushia muhimu maujuzi.
Kwa hiyo hapo ulicheat sio? Kwa nn usinge subili mpaka harusi?
Ntake radhi kiongozi. Mimi siyo mzinzi. Mimi ni mdumisha mila. Tofautisha hivyo vitu viwili hapo.Xpin umenifurahisha sana yaani we unadhani kila mtu ni mzinzi kama wewe hahahahahahaaaaaaaaaaaa
kwa mlioko Marekani na mnajua mmewahi kucheat mnayo haki ya kutojibu swali hili kwa mujibu wa Mabadiliko ya 5 ya katiba ya marekani! - so mnaruhusiwa kusema "I plead the fifth" in the tradition of Dave Chapelle! Kumbuka lolote utakalosema hapa ukipuuzia haki yako hiyo laweza na litatumiwa dhidi yako kwenye mahakama ya chumbani.
Kwa upande wangu, I plead the fifth!
but i had great time with that woman she was Great on Be.......d !!
mmefikia wapi na mahesabu yenu..... :brick:
sijawahi cheat,ila sina mipaka! mtu akinitongoza...siangalii huyu ni mume wa mtu ama sio!...na habari ndio hii!
nyie mnaoswear hapa,kuwa waume zenu hawajawahi cheat,nina hamu ningepata 'wasaa' hata kama mchache na waume zenu...:target::target:.
Kaka/dada, sasa hizi mada za kingono ngono we unazichangia za nini? ingekuwa vema kama ungeacha kujistress kuingia huku, huku kuwe danger zone kwako, hivyo ningekuelewa. si kuna jukwaa la siasa kule, nenda kapige porojo, au better yet kuna jukwaa la uchumi nenda kajenge uchumi wa familia yao. mbona unaumia sana, tatizo ni nini? unacheat sana nini hadi unaona tunaongea yanayokuumiza roho? kama huipendi hii mada na yoyote nayoanzisha unazifunguaga za nini? na mods wame do the needful, wanaandika kabisa jina la mwanzisha thread, sasa si uwe unazipita tu ili usijikwaze? na ni nani aliyekuweka kiranja hapa ndani unaeamulia watu nini waandike na nini wasiandike? unaweza kuomba kazi kwa invisible uwe mod may be it will give the authority you really crave to have.Oh! Gosh! Did I tell you that you're my type? When did I do that? Sina stress yoyote ile ila nakushangaa wewe kila siku huna cha maana cha kuzungumza ila ngono tu. Hakuna topic za kutaka kujiendeleza kielimu, kibiashara n.k. ni ngono ngono ngono tu. Ukilala unawaza ngono na ukiamka unawaza ngono na kutaka kupekua maisha ya watu. Inaonyesha ni jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyokuwa finyu. Umeshafahamu wanaume wangapi na wanawake wangapi wanaocheat katika ndoa zao? na wanacheat mara ngapi kwa wiki, mwezi na mwaka? Akili finyu utazijua tu hazipotei hata kwenye kadamnasi.