MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Na namba 5 pia. Mwanamke kumwambia msizae kwanza ni kosa la karne.Namba "4" ndo lilikuwa kosa lako kuu kuliko hayo yote! Na matatizo yalianzia hapo. Itakuchukua karne kurekebisha kosa hilo, hivi sasa unalipia kosa lako hilo namba "4" (nne)
Na namba 5 pia. Mwanamke kumwambia msizae kwanza ni kosa la karne.
Jamaa anadhani ni ujanja kupanga mipango mikubwa ya kifedha na mwanamke wake. Alitakiwa aamue na kumjulisha tu mkewe biashara imefunguliwa kaa hapa simamia na sio kupanga nae from the scratch. Mwanamke kwenye ndoa kafuata DUDU na sio mambo mengine. Yeye ndo kamvuruga mwanamke wake.Atashtukia kabebeshwa mimba na Bodaboda wake... Astaghfirullah 🤣
Na namba 5 pia. Mwanamke kumwambia msizae kwanza ni kosa la karne.
SAWASAWA!Jamaa anadhani ni ujanja kupanga mipango mikubwa ya kifedha na mwanamke wake. Alitakiwa aamue na kumjulisha tu mkewe biashara imefunguliwa kaa hapa simamia na sio kupanga nae from the scratch. Mwanamke kwenye ndoa kafuata DUDU na sio mambo mengine. Yeye ndo kamvuruga mwanamke wake.
Hayo matarajio yalikuwa niyakweli kabisa na ndio lengo hasa lakuoa, kila anayeingia kwenye ndoa huwa anataraji hivyo, ISIPOKUWA iko hivi ndoa bora zina shina na mizizi, mojawapo ni malezi ya nyumbani kwao, alilelewaje?, Pili ni kila mmoja kujua majukumu yake kama mke au mume,
Habarini za Nanenane wana JamiiForums, moja kwa moja niende kwenye mada.
Binafsi kabla ya kuoa nilikuwa nina matarajio makubwa sana katika ndoa; ndoa yangu itakuwa yenye amani, upendo na furaha.
Nilikuwa nawaza vitu vingi ambavyo ni vya furaha katika ndoa, jambo ambalo lilinipa hamasa ya kupambana ili nioe, na kweli nikaoa na sasa nina mwaka wa pili katika ndoa.
Baada ya kuingia kwenye ndoa kuna baadhi ya mambo ambayo nilipanga nisiyafanye ila nimejikuta nayafanya, kuna mambo mengi nilipanga niyafanye ila nimejikuta siyafanyi. Pia kuna baadhi ya mambo nilidhani nitayakuta ila sijayakuta kama nilivyodhani. Baadhi ya hayo ni;
1. Nilikuwa nadhani ndoa ingekuja kuwa suluhisho la upwiru (kupata mbususu kila nitakapo).
Binafsi nilikuwa nadhani ningepata mbususu kila ninapohitaji ukiachilia mke akiwa period au mgonjwa lakini si kweli, unaweza ukakosa utelezi wiki hadi mwezi mzima kwa sababu zisizo na msingi hasa makasiriko, mwanamke kutojisikia nk.
2. Nilitegemea mapenzi yetu yangekuwa kama ya kwenye movie yale (masiharamasihara, mzaha, utani, kuchezacheza nk) ila najikuta muda mwingi tupo kwenye makasiriko na kununiana.
3. Niliapa kuwa password ya simu yangu lazima mke wangu aijue na sitakuwa na haja ya kumficha, ikiwa nitamuonesha Abdallah kichwa wazi sasa password kitu gani?
My friends, ilinichukua mwezi mmoja tu kubadilisha password na mpaka sasa kila mtu anatumia simu yake tu, kila mtu hajui password ya mwenzake.
4. Nilikuwa nasema, nitakuwa muwazi katika kipato changu, yaani atajua mwisho wa mwezi napata kiasi gani
Miezi mitatu ya mwanzoni nilijaribu kumuambia pesa ninayopata kwa mwezi (nilipunguza), baada ya kuweka ile amount yote akapangilia kwenye matumizi ya nyumbani, na mimi nikamuacha tu, cha ajabu zimepita siku tano tu mara anataka nimnunulie hiki, mara kile wakati pesa zote zimeenda kwenye ratiba ya home na sikuchukua hata mia.
Hapo nikaapa mshahara wangu utakuwa siri yangu, nikavunja msimamo wangu wa awali.
5. Kabla ya ndoa tulipanga mipango ya kimaendeleo hasa biashara, na tulipanga ili mambo yaende vizuri inabidi tusizae mapema (maana yeye ndiye inabidi asimamie shoo), cha ajabu mwezi wa kwanza tu anadai anataka mtoto, mambo ya maisha yapo tu.
6. Kwa kusisitiza, nilidhani mbususu itakuwa available muda mwingi kwangu, ila ukweli ni kwamba wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi kama tunavyotaka sisi wanaume, wanawake wengi wanahitaji kufanya mapenzi mara chache ikiwezekana wiki mara moja au mbili, japo wanaume wengi (vijana) huwa tunapenda shoo kila siku.
Baada ya kuoa ndio nimegundua kwanini watu wengi huwaacha wake/waume zao wazuri.
Ndoa zina mambo mengi mno, hasa huwa tunategemea furaha na upendo usio na kifani ila baada ya kuoa mambo huwa tofauti kwa watu wengi.
Vijana wa Kataa Ndoa Wana hoja, wasikilizwe japo sishauri kutooa ila nashauri tujipange kisawasawa kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tujipange sana kiuchumi, pia tusiwe na matarajio makubwa mno katika ndoa hata kama mke/mume wako mtarajiwa anafit katika vigezo vyote unavyovitaka.
Binafsi nilifanya research sana juu ya mke mtarajiwa na nikahakikisha ana vigezo vingi ninavyovihitaji (ikiwemo ubikra), japo sikuwahi kuishi naye wala kusex kabla ya ndoa.
Jambo gani ulidhani utalikuta kwenye ndoa ila hujalikuta?
Jambo gani ulipanga ungefanya katika ndoa ila baada ya ndoa hutamani kufanya tena?
Oa mkuu[emoji4]Hivi mbono humu mnakosoa sana ndoa lakini mtaani watu wengi wameoa mpaka nawaza sijui nioe tu[emoji16]
Raha ya ndoa iko kwenye Uisilamu pake yake
Habarini za Nanenane wana JamiiForums, moja kwa moja niende kwenye mada.
Binafsi kabla ya kuoa nilikuwa nina matarajio makubwa sana katika ndoa; ndoa yangu itakuwa yenye amani, upendo na furaha.
Nilikuwa nawaza vitu vingi ambavyo ni vya furaha katika ndoa, jambo ambalo lilinipa hamasa ya kupambana ili nioe, na kweli nikaoa na sasa nina mwaka wa pili katika ndoa.
Baada ya kuingia kwenye ndoa kuna baadhi ya mambo ambayo nilipanga nisiyafanye ila nimejikuta nayafanya, kuna mambo mengi nilipanga niyafanye ila nimejikuta siyafanyi. Pia kuna baadhi ya mambo nilidhani nitayakuta ila sijayakuta kama nilivyodhani. Baadhi ya hayo ni;
1. Nilikuwa nadhani ndoa ingekuja kuwa suluhisho la upwiru (kupata mbususu kila nitakapo).
Binafsi nilikuwa nadhani ningepata mbususu kila ninapohitaji ukiachilia mke akiwa period au mgonjwa lakini si kweli, unaweza ukakosa utelezi wiki hadi mwezi mzima kwa sababu zisizo na msingi hasa makasiriko, mwanamke kutojisikia nk.
2. Nilitegemea mapenzi yetu yangekuwa kama ya kwenye movie yale (masiharamasihara, mzaha, utani, kuchezacheza nk) ila najikuta muda mwingi tupo kwenye makasiriko na kununiana.
3. Niliapa kuwa password ya simu yangu lazima mke wangu aijue na sitakuwa na haja ya kumficha, ikiwa nitamuonesha Abdallah kichwa wazi sasa password kitu gani?
My friends, ilinichukua mwezi mmoja tu kubadilisha password na mpaka sasa kila mtu anatumia simu yake tu, kila mtu hajui password ya mwenzake.
4. Nilikuwa nasema, nitakuwa muwazi katika kipato changu, yaani atajua mwisho wa mwezi napata kiasi gani
Miezi mitatu ya mwanzoni nilijaribu kumuambia pesa ninayopata kwa mwezi (nilipunguza), baada ya kuweka ile amount yote akapangilia kwenye matumizi ya nyumbani, na mimi nikamuacha tu, cha ajabu zimepita siku tano tu mara anataka nimnunulie hiki, mara kile wakati pesa zote zimeenda kwenye ratiba ya home na sikuchukua hata mia.
Hapo nikaapa mshahara wangu utakuwa siri yangu, nikavunja msimamo wangu wa awali.
5. Kabla ya ndoa tulipanga mipango ya kimaendeleo hasa biashara, na tulipanga ili mambo yaende vizuri inabidi tusizae mapema (maana yeye ndiye inabidi asimamie shoo), cha ajabu mwezi wa kwanza tu anadai anataka mtoto, mambo ya maisha yapo tu.
6. Kwa kusisitiza, nilidhani mbususu itakuwa available muda mwingi kwangu, ila ukweli ni kwamba wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi kama tunavyotaka sisi wanaume, wanawake wengi wanahitaji kufanya mapenzi mara chache ikiwezekana wiki mara moja au mbili, japo wanaume wengi (vijana) huwa tunapenda shoo kila siku.
Baada ya kuoa ndio nimegundua kwanini watu wengi huwaacha wake/waume zao wazuri.
Ndoa zina mambo mengi mno, hasa huwa tunategemea furaha na upendo usio na kifani ila baada ya kuoa mambo huwa tofauti kwa watu wengi.
Vijana wa Kataa Ndoa Wana hoja, wasikilizwe japo sishauri kutooa ila nashauri tujipange kisawasawa kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tujipange sana kiuchumi, pia tusiwe na matarajio makubwa mno katika ndoa hata kama mke/mume wako mtarajiwa anafit katika vigezo vyote unavyovitaka.
Binafsi nilifanya research sana juu ya mke mtarajiwa na nikahakikisha ana vigezo vingi ninavyovihitaji (ikiwemo ubikra), japo sikuwahi kuishi naye wala kusex kabla ya ndoa.
Jambo gani ulidhani utalikuta kwenye ndoa ila hujalikuta?
Jambo gani ulipanga ungefanya katika ndoa ila baada ya ndoa hutamani kufanya tena?
Huyo anakiazi kichwani mwake, pole sana, hana wazazi!Siri za jinsi tunavyo changia kutafuta maisha.Na hata ninavyo lazimisha kupewa tunda
Wapo wanaume wasio jielewa hawayajui hayo,Halafu mnalala kitanda kimoja!! tafadhali, tafadhali, tafadhali!! Haiwezekani, labda kama mmetengana kabisa au mmetengana vyumba!!Mwanamke hata kama haspendi, kipindi akiwa kwenye ovulation/kipindi yai lake linaanguliwa, utelezi hutoka wenyewe!! hana jeuri ya kuuzuia, na genye kipindi hicho ni automatic!! kwa hiyo kama mmelala kitanda kimoja tumias lugha ya vitendo!! atakushukuru kimoyomoyo hata kama amekasirika!! Cha maana ni kuzijua dalili za mwanamke akiwa kwenye ovulation!! (mnisamehe ke kwa kuanika siri yenu ya kambi!)
Mie mwenyewe pesa sawa lakini si kigezo saana cha upendo katika ndoa, mnaweza ishi maisha ya kawaida tu siku pesa ikiwatembelea tu na ugomvi unaanza,Siyo kwa muda wote!! Unaweza kumpa pesa na akatafuta ki-ben ten kwa pesa yako hiyo hiyo!! Kuna mtu namkumbuka alikuwa na pesa za kumtosha kabisa. Akaajiri dereva binafsi wa familia!! Asubuhi dreva wake anampeleka kazini na jioni anamfuata. Dreva alikuwa anarudisha gari nyumbani baada ya kumpeleka boss wake kazini. Akiwa nyumbani dreva kazxi yake ni kumwendesha mama popote anapotaka kwenda, saloon, sokoni, madukani, nk. Kilichotokea huyu dreva ndo akawa kipenzi cha mama!! akipewa pesa na mumewe naye anamgawia huyu kijana!!! Hatimaye mzee alikuja kuambiwa kinachoendelea, naye akaamua kutumia utu uzima akamezea tu, na kujifanya kusema mnamsingizia mke wangu!! hapo pesa yake imemletea furaha au?
Hayo unamwambia nani hawa hawa wanaojiita wasomi [emoji3][emoji3] mtu kashida kazini akirudi nyumbani badala ya kumpa mke nafasi ofisi inahamia nyumbani akitoka hapo kitandani, hayo yote atayafanyia wapi!Wanaume wengi huwa hawafahamu kitu muhimu sana anachokikosa mwanamke ndani ya ndoa!! Na kwa kuwa hawakifahamu huwa hawawezi kuwapatia hicho kitu wanachokokosa!! Wanachokosa wanawake walioolewa ni kutongozwa na mwanamume ampendaye!! Ujue kuwa wakati ulipokuwa unamtongoza kabla ya ndoa alikuwa anafurahia sana mtongozo wako!! Je kwa sasa huwa unamtongoza? mwanamke yeyote yule anapenda sana kutongozwa!! hata kama yule anayemtongoza hampendi na hamkubali!! Ile kutongozwa tu inamhakikishia kuwa anavutia na anapendwa!! Wanaume msiache kuwa mnawatongoza wake zenu hata kama mko kwenye ndoa!! tongoza kiaina ili upate mbususu!! toa vizawadi hata kama ni vidogo vidogo ili aendelee kujisikia kuwa anakuvutia!! Kukunyima mbususu maana yake ni kwamba anataka umtongoze!! Ukihitaji huduma yake usisubiri wakati mmeenda chumbani!! anza mapema kmwonyesha dalili kuwa unamhitaji, ongea naye vizuri, mpapase papase vizuri huku ukimwambia jinsi anavyokuvutia, masaa mengi tu kabla ya wakati!! mtoe out hata mahali simple tu mkapata hata soda tu!! Ukiwa naye mwambia kumbe huwa unamiss vitu vizuri sana unapokuwa haunaye karibu!! mnaporudi nyumbani shikaneni mikono ili ajione ni malkia wako mbele ya jamii!! Ukifanya hayo halafu akakunyima mbususu njoo hapa utuambie!! Matokeo yake yatakuwa makubwa sana kuliko unavyofikiria!!
Na uwezo wakuzalisha uwepo sasaKosa lako liko hapo namba 5. Yaani umeoa ili umfanye huyo mwanamke kuwa business partner badala ya kumzalisha haraka haraka? Mwanamke kazi yake kuu kwenye ndoa ni kuzaa watoto na kuwalea... hata hela hatakiwi kutafuta sema tu dunia imebadilika. Anatakiwa afanye kazi za nyumbani tu. Kuokoa hiyo ndoa yako hakikisha unampa mimba haraka iwezekanavyo.
Labda hana uwezo huo.
Kuoa na ndoa ni akili za kipumbavu sana Sina muda na mambo ya kibazazi
Habarini za Nanenane wana JamiiForums, moja kwa moja niende kwenye mada.
Binafsi kabla ya kuoa nilikuwa nina matarajio makubwa sana katika ndoa; ndoa yangu itakuwa yenye amani, upendo na furaha.
Nilikuwa nawaza vitu vingi ambavyo ni vya furaha katika ndoa, jambo ambalo lilinipa hamasa ya kupambana ili nioe, na kweli nikaoa na sasa nina mwaka wa pili katika ndoa.
Baada ya kuingia kwenye ndoa kuna baadhi ya mambo ambayo nilipanga nisiyafanye ila nimejikuta nayafanya, kuna mambo mengi nilipanga niyafanye ila nimejikuta siyafanyi. Pia kuna baadhi ya mambo nilidhani nitayakuta ila sijayakuta kama nilivyodhani. Baadhi ya hayo ni;
1. Nilikuwa nadhani ndoa ingekuja kuwa suluhisho la upwiru (kupata mbususu kila nitakapo).
Binafsi nilikuwa nadhani ningepata mbususu kila ninapohitaji ukiachilia mke akiwa period au mgonjwa lakini si kweli, unaweza ukakosa utelezi wiki hadi mwezi mzima kwa sababu zisizo na msingi hasa makasiriko, mwanamke kutojisikia nk.
2. Nilitegemea mapenzi yetu yangekuwa kama ya kwenye movie yale (masiharamasihara, mzaha, utani, kuchezacheza nk) ila najikuta muda mwingi tupo kwenye makasiriko na kununiana.
3. Niliapa kuwa password ya simu yangu lazima mke wangu aijue na sitakuwa na haja ya kumficha, ikiwa nitamuonesha Abdallah kichwa wazi sasa password kitu gani?
My friends, ilinichukua mwezi mmoja tu kubadilisha password na mpaka sasa kila mtu anatumia simu yake tu, kila mtu hajui password ya mwenzake.
4. Nilikuwa nasema, nitakuwa muwazi katika kipato changu, yaani atajua mwisho wa mwezi napata kiasi gani
Miezi mitatu ya mwanzoni nilijaribu kumuambia pesa ninayopata kwa mwezi (nilipunguza), baada ya kuweka ile amount yote akapangilia kwenye matumizi ya nyumbani, na mimi nikamuacha tu, cha ajabu zimepita siku tano tu mara anataka nimnunulie hiki, mara kile wakati pesa zote zimeenda kwenye ratiba ya home na sikuchukua hata mia.
Hapo nikaapa mshahara wangu utakuwa siri yangu, nikavunja msimamo wangu wa awali.
5. Kabla ya ndoa tulipanga mipango ya kimaendeleo hasa biashara, na tulipanga ili mambo yaende vizuri inabidi tusizae mapema (maana yeye ndiye inabidi asimamie shoo), cha ajabu mwezi wa kwanza tu anadai anataka mtoto, mambo ya maisha yapo tu.
6. Kwa kusisitiza, nilidhani mbususu itakuwa available muda mwingi kwangu, ila ukweli ni kwamba wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi kama tunavyotaka sisi wanaume, wanawake wengi wanahitaji kufanya mapenzi mara chache ikiwezekana wiki mara moja au mbili, japo wanaume wengi (vijana) huwa tunapenda shoo kila siku.
Baada ya kuoa ndio nimegundua kwanini watu wengi huwaacha wake/waume zao wazuri.
Ndoa zina mambo mengi mno, hasa huwa tunategemea furaha na upendo usio na kifani ila baada ya kuoa mambo huwa tofauti kwa watu wengi.
Vijana wa Kataa Ndoa Wana hoja, wasikilizwe japo sishauri kutooa ila nashauri tujipange kisawasawa kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Tujipange sana kiuchumi, pia tusiwe na matarajio makubwa mno katika ndoa hata kama mke/mume wako mtarajiwa anafit katika vigezo vyote unavyovitaka.
Binafsi nilifanya research sana juu ya mke mtarajiwa na nikahakikisha ana vigezo vingi ninavyovihitaji (ikiwemo ubikra), japo sikuwahi kuishi naye wala kusex kabla ya ndoa.
Jambo gani ulidhani utalikuta kwenye ndoa ila hujalikuta?
Jambo gani ulipanga ungefanya katika ndoa ila baada ya ndoa hutamani kufanya tena?
Wanwake wanatofautiana kwa kweli me wife ata nimkere vp hajawahi kuninyima mbususu. atanipa huku akiwa amenuna na hanisemeshi lakin haninyimi
Umeongea point kubwa sanaNa ukiwafata utapotea watu wanapoelezea madhaifu ya wenzao wanasahau Yao kabisa na huenda wanafanya makosa mara nyingi
Muhimu Ishi maishayako watu hawafanani makosa hayafanani mazingira hayafanani