Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Watu hawana sababu za msingi kwa nini wana oa au olewa hili swali niliwahi uliza humu mpaka leo sijapata majibu ya kuridhisha.

Hakuna kitu cha msingi ndani ya ndoa ambacho nje ya ndoa utakosa.

Mpaka sasa nipende kuhitimisha kuwa ndoa ni useless, vijana wana oa na kuolewa kwa kufuata mkumbo wa jamii za kiafrika hawana sababu za msingi kabisa kwa nini wana oa au kuolewa.
 
Sio kweli mkuu wanawake wanapenda sex kukiko wanaume na wanafanya sana tu, ila tu wao wanatafsiri sex kwa zawadi yaan ukimla lazima umpe chochote kile ndo huko chini patafunguka uingie ila unasigina halafu unaondoka hivihici hupati kitu.
Wanapenda sex sana kwa wanaume wawapendao na wenye hisia nao kweli kweli, tofauti na hapo ni kuigizaigiza na usumbufu kwenye sex kama mke wa muanzisha thread.
 


Mwanamke chini ya miaka 30, au mpaka 32 hivi wanaitaji mapenzi mara nyingi, other factors being constant :

- Sex in marriage is earned, haiji kirahisi, lazima uwekeze amani na maelewano, ukiwa na mwanamke anayenuna nuna na wewe pia huwezi pata sex.

- Usipopewa wewe sex sio kwamba hapati, akipatikana mtu wa kugusa button muhimu atamla tu, kwa hiyo kama huwezi wekeza kupata sex na kumridhisha lazima wanamla.

- Hakuna mwanamke analala na mwanaume week nzima kitanda kimoja asitake sex, labda kama mna ugomvi, na akipata mtu wa kumlegeza atamla tu.

- Wao watabisha, ila kipimo madhubuti cha uaminifu wa mwanamke ni utayari wake wa uitaji wa sex kwa mume wake, huwezi amini, ila huu ni ukweli.

Wanaume tumeumbwa ku negotiate sana na hawa wanawake, hawana muscles ila wana nguvu sana, ukitaka amani na furaha lazima u negotiate.
 
Z
βœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈβœ”οΈ
 
Sio kweli mkuu wanawake wanapenda sex kukiko wanaume na wanafanya sana tu, ila tu wao wanatafsiri sex kwa zawadi yaan ukimla lazima umpe chochote kile ndo huko chini patafunguka uingie ila unasigina halafu unaondoka hivihici hupati kitu.
Hama zama hizo,wenzio siku hizi tunakula bila hata ya hela wala zawadi
 
aisee yaani unaoa alafu mke anakunyima utelezi na wew bado unahudumia??!!! mie ningefukuza kabisa anajaza choo tuu. jukumu la mwanamke ni kutoa mbususu basi hana cha ziada hapo ndani mwa munyumba bwana.

ah sielewagi hii story ya kumficha mke kipato chako. yeye anaambia kipato kiasi gani na matumizi yakoje. hataki ale nduki. yaani mwanaume mzima na mbupuz zako mke akuendeshe kama gari bovu. acha uboya. mwanamke ni chombo cha starehe na atabakia kuwa hivyo period wether ameolewa au hajaolewa.
 
[emoji2][emoji2] unapewa cheti kabla hujachakata module za ndoa.... nimeamini NDOA NI UTAPELI.
 
Wanawake wengi wapo hivyo, ukiamua kuchukua Sheria mkononi utajikuta kila siku unaacha

Kitu ambacho wanaume wengi hawafurahii hasa katika kujenga future
Sababu kubwa ni mbususu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji2][emoji2] unapewa cheti kabla hujachakata module za ndoa.... nimeamini NDOA NI UTAPELI.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nahisi wanatoa cheti kwasababu miaka ya kuhitimu degree ya ndoa ni zaidi ya 10.. wanadamu wasingekula kubali kukaa kwenye hilo shule ndio waje pewa cheti . .. wakaona tunawapa cheti . then anzeni kutoboa module moja baada ya ingine mki fail hayatuhusu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…