Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nahisi wanatoa cheti kwasababu miaka ya kuhitimu degree ya ndoa ni zaidi ya 10.. wanadamu wasingekula kubali kukaa kwenye hilo shule ndio waje pewa cheti . .. wakaona tunawapa cheti . then anzeni kutoboa module moja baada ya ingine mki fail hayatuhusu [emoji28][emoji28][emoji28]
Inafikirishaa sana [emoji2][emoji2]
 
Maisha hayana mteremko kwa namna yeyote ile.

Hata kuuona ufalme wa Mungu ni lazima usotee kumuabudu Mungu.

Ili ule ni lazima jasho likutoke. Ukitaka maisha ya anasa ni lazima ujitume kweli kweli hata kama ni kwa kuiba, unyang'anyi, ufisadi, kuongopa au vinginevyo

Kama unadhani ndoa ni ngumu kuliko upweke basi acha kuoa.
 
aisee yaani unaoa alafu mke anakunyima utelezi na wew bado unahudumia??!!! mie ningefukuza kabisa anajaza choo tuu. jukumu la mwanamke ni kutoa mbususu basi hana cha ziada hapo ndani mwa munyumba bwana.

ah sielewagi hii story ya kumficha mke kipato chako. yeye anaambia kipato kiasi gani na matumizi yakoje. hataki ale nduki. yaani mwanaume mzima na mbupuz zako mke akuendeshe kama gari bovu. acha uboya. mwanamke ni chombo cha starehe na atabakia kuwa hivyo period wether ameolewa au hajaolewa.
starehe gani hizo tunazipata kwa mwanamke ?

kama kula mbususu huwa sioni kama ni jambo la starehe wala nini 😅😅
 
Mwanamke chini ya miaka 30, au mpaka 32 hivi wanaitaji mapenzi mara nyingi, other factors being constant :

- Sex in marriage is earned, haiji kirahisi, lazima uwekeze amani na maelewano, ukiwa na mwanamke anayenuna nuna na wewe pia huwezi pata sex.

- Usipopewa wewe sex sio kwamba hapati, akipatikana mtu wa kugusa button muhimu atamla tu, kwa hiyo kama huwezi wekeza kupata sex na kumridhisha lazima wanamla.

- Hakuna mwanamke analala na mwanaume week nzima kitanda kimoja asitake sex, labda kama mna ugomvi, na akipata mtu wa kumlegeza atamla tu.

- Wao watabisha, ila kipimo madhubuti cha uaminifu wa mwanamke ni utayari wake wa uitaji wa sex kwa mume wake, huwezi amini, ila huu ni ukweli.

Wanaume tumeumbwa ku negotiate sana na hawa wanawake, hawana muscles ila wana nguvu sana, ukitaka amani na furaha lazima u negotiate.
Negotiations ndio ngumu Sasa, Kuna muda yupo wrong anataka uumnyenyekee😌
 
Wanawake wengi wapo hivyo, ukiamua kuchukua Sheria mkononi utajikuta kila siku unaacha

Kitu ambacho wanaume wengi hawafurahii hasa katika kujenga future

Sababu kubwa ni mbususu 😂😂
wewe acha tuu kwani tatizo liko wapi. wanawake wamejaa kibao.
plus ngoja nikwambie mwanamke ukishamuwekea msimamo hawezi ondoka kwanza wazazi wake watamshngaaa. uche mume kisa amekuwekea mipaka au kutaka mbususu daily
 
Hizo ndo hasara za kuoa mke mmoja....akiumwa nawe unaumwa akiwa p nawe unakuwa p....

Ila wakiwa wawili au watatu huyu akinuna unahamia uku adi akili itamkaa sawaa.....

Dawa ya mwanamke ni mwanamke.....hisia za wanawake kama moto zinazimwa na moto
 
1. ...lakini si kweli, unaweza ukakosa utelezi wiki hadi mwezi mzima kwa sababu zisizo na msingi hasa makasiriko, mwanamke kutojisikia nk.

2. ...ila najikuta muda mwingi tupo kwenye makasiriko na kununiana.

3. ...My friends, ilinichukua mwezi mmoja tu kubadilisha password na mpaka sasa kila mtu anatumia simu yake tu, kila mtu hajui password ya mwenzake.

4. ...zimepita siku tano tu mara anataka nimnunulie hiki, mara kile wakati pesa zote zimeenda kwenye ratiba ya home na sikuchukua hata mia.

5. ... Kwa kusisitiza, nilidhani mbususu itakuwa available muda mwingi kwangu, ila ukweli ni kwamba wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi kama tunavyotaka sisi wanaume, wanawake wengi wanahitaji kufanya mapenzi mara chache ikiwezekana wiki mara moja au mbili, japo wanaume wengi (vijana) huwa tunapenda shoo kila siku.
Pole sana, kuna mambo yanafurahisha sana. ndivyo walivyo... hayanaga muongozo...
 
Nnachoshukuru wakati naingia kwenye ndoa sikua na any expectation za juu
Yani i am simply going along with it,kwenye raha nafurahi,kwenye kero nakerekwa then nakumbuka mema and life goes on!
Nimefikisha 11 years kwa style hii,ya mbele siyajui ila namwamini Mungu tutazeeka pamoja!
 
Na ukiwafata utapotea watu wanapoelezea madhaifu ya wenzao wanasahau Yao kabisa na huenda wanafanya makosa mara nyingi
Muhimu Ishi maishayako watu hawafanani makosa hayafanani mazingira hayafanani
Hoja nyingi ni zilezile tu na wahanga wakubwa wanakuwa wanaume kwa kunyimwa mbususu, wanawake wanajua hiyo ndio silaha kubwa kwao dhidi ya mwanaume.

Mbona kuna maudhi mengi tu kwa wanaume ila hawaachi kuhudumia??

Ukweli ni kwamba, wanawake huwa wanafosi Sana kuolewa ila wakiolewa wanachezea ndoa,


Wakati wao wanaleta uhuni wa kunyima mgegedo, sisi huwa tunaamua kuchukua Sheria mkononi ikiwemo kuvunja mahusiano

Mwisho wa siku, single mothers ndio product kubwa.

Pia ishu ya pesa, Ina nafasi kubwa pia ya majanga mengi katika ndoa, wanawake wengi huoenda kuishi kimaigizo, zaidi ya uwezo wa waume zao

NOTE: Sometimes wanaume ndio wakorofi,
 
Nilitegemea nitakutana na malaika kumbe tarumbeta tu.

yaani kutukanywa, kukashifiwa,mtoto kupigwa kisa kakasirika (kujionesha mwamba), yeye ndiye anapanga nini kifanyike licha ya kuwa mimi ndiye mleta pesa.
 
😅😅😅😅 nahisi wanatoa cheti kwasababu miaka ya kuhitimu degree ya ndoa ni zaidi ya 10.. wanadamu wasingekula kubali kukaa kwenye hilo shule ndio waje pewa cheti . .. wakaona tunawapa cheti . then anzeni kutoboa module moja baada ya ingine mki fail hayatuhusu 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Noma kweri kweri
 
Back
Top Bottom