Mwanamke chini ya miaka 30, au mpaka 32 hivi wanaitaji mapenzi mara nyingi, other factors being constant :
- Sex in marriage is earned, haiji kirahisi, lazima uwekeze amani na maelewano, ukiwa na mwanamke anayenuna nuna na wewe pia huwezi pata sex.
- Usipopewa wewe sex sio kwamba hapati, akipatikana mtu wa kugusa button muhimu atamla tu, kwa hiyo kama huwezi wekeza kupata sex na kumridhisha lazima wanamla.
- Hakuna mwanamke analala na mwanaume week nzima kitanda kimoja asitake sex, labda kama mna ugomvi, na akipata mtu wa kumlegeza atamla tu.
- Wao watabisha, ila kipimo madhubuti cha uaminifu wa mwanamke ni utayari wake wa uitaji wa sex kwa mume wake, huwezi amini, ila huu ni ukweli.
Wanaume tumeumbwa ku negotiate sana na hawa wanawake, hawana muscles ila wana nguvu sana, ukitaka amani na furaha lazima u negotiate.