Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Basi piga nyeto na succubus lazima utamsahau tuNa ninawivu nae shida inakuja kumuacha siwezi na nikisema namuacha sito weza vumilia nikigundua kuna mwanaume anatembea nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi piga nyeto na succubus lazima utamsahau tuNa ninawivu nae shida inakuja kumuacha siwezi na nikisema namuacha sito weza vumilia nikigundua kuna mwanaume anatembea nae.
Pesa inaleta furaha kwa familia sana tu ni kama chumvi kwenye mbogaHoja nyingi ni zilezile tu na wahanga wakubwa wanakuwa wanaume kwa kunyimwa mbususu, wanawake wanajua hiyo ndio silaha kubwa kwao dhidi ya mwanaume.
Mbona kuna maudhi mengi tu kwa wanaume ila hawaachi kuhudumia??
Ukweli ni kwamba, wanawake huwa wanafosi Sana kuolewa ila wakiolewa wanachezea ndoa,
Wakati wao wanaleta uhuni wa kunyima mgegedo, sisi huwa tunaamua kuchukua Sheria mkononi ikiwemo kuvunja mahusiano
Mwisho wa siku, single mothers ndio product kubwa.
Pia ishu ya pesa, Ina nafasi kubwa pia ya majanga mengi katika ndoa, wanawake wengi huoenda kuishi kimaigizo, zaidi ya uwezo wa waume zao
NOTE: Sometimes wanaume ndio wakorofi,
Mkuu samahani kwa nitakayoyasema hapa na siombei yakutokee lakini kama hapo ndipo huyu mwanamke kakufikisha, basi utakuja kufa mapema sana aisee. Na kitakachokuua ni presha au mshtuko wa moyo. Pole sana mkuu.Na ninawivu nae shida inakuja kumuacha siwezi na nikisema namuacha sito weza vumilia nikigundua kuna mwanaume anatembea nae.
Miaka 10 si umekua ukimgonga mkuu au anakukazia hataki umtie ?Na hapa kashatafuna miaka 10 ya kuishi nae.
Siri za jinsi tunavyo changia kutafuta maisha.Na hata ninavyo lazimisha kupewa tundaAnakutangazia sifa ipi mbaya mkuu? Anakuita wewe SHOGA?
Duuuh 😳😳 masikini tumeishakupoteza R.I.PNa ninawivu nae shida inakuja kumuacha siwezi na nikisema namuacha sito weza vumilia nikigundua kuna mwanaume anatembea nae.
Wanawake wanataka harusi na Sio ndoaNi aibu sana hilo nimeprove kabisa wanawake wanataka kuolewa ila lazima uwe na uwezo angalau .hata ukweni ukiwa na pesa utapewa heshima sio aibu kama hivi eti "sura mbaya"
Nyie ndio huwa mnajirusha
Ndo nini...?succubus
True thus kwenye uchumba watu usificha sana Tabia ili wasichunguzwe madhaifu yaoKatika harakati za kusoma psychology, nilikutana na kipengele kikielezea kwa nini wanasaikolojia huwa wanatumia wanyama katika majaribio yao na si wanadamu
Mfano mzuri, experiment ya mbwa na kengele (conditional reflex action - kwa wanabailojia)
Sababu wakasema " Human being is a intelligent and complex creature, He can change any time whenever he discovers that he is investigated.
Binadamu ni kiumbe chenye akili sana, kinaweza kubadilika muda wowote endapo kitagundua kwamba kinachunguzwa
Kabisa broo...Duuuh 😳😳 masikini tumeishakupoteza R.I.P
yaani mwanamke akiishagundua hivyo tayari upo kaburini... ⚰️
Yaan kumla mpaka umlazimishe ?Siri za jinsi tunavyo changia kutafuta maisha.Na hata ninavyo lazimisha kupewa tunda
SawasawaNdoa ina changamoto sana katika level ya ujana ila mkipita hapa basi ni kitongo huko uzeeni.
Dah kabisa na iko Siku hii game nitahitimisha kwa ukatili ambao Dunia itasimama.Mkuu samahani kwa nitakayoyasema hapa na siombei yakutokee lakini kama hapo ndipo huyu mwanamke kakufikisha, basi utakuja kufa mapema sana aisee. Na kitakachokuua ni presha au mshtuko wa moyo. Pole sana mkuu.
Yours is a typical case kwa nini wanaume huwa tunakufa mapema...
Acha mawazo hayo huyo sio weweDah kabisa na iko Siku hii game nitahitimisha kwa ukatili ambao Dunia itasimama.
Aaah hizi ndoa ni shidaAcha mawazo hayo huyo sio wewe
That's is why i love JfBinafsi nilitegemea kwenye ndoa kuna maisha mazuri sana.Mkewangu kalikuwa kazuri kigoli mweupe.
Mapaja yake huchoki kuyatazama kweli, alinidatisha nikaamua kumuoa na kumuweka ndani na kupania kuwa ntakuwa na mtafuna kila siku.Jamani nliyo kutana nayo ni aibu hata kusema hapa jukwaani.Na huu mwaka ndo kawa moto mkali,kubwa kuliko yote hana siri juu ya Chumbani.Hajui lugha ya kuongea na wapi aongee dharau majigambo na kazi yake ndo imekuwa fimbo kabisa katika maisha yangu.
Na hapa kashatafuna miaka 10 ya kuishi nae.
Tuna Nyumba Gari na Miradi ila ndo sina raha nayo.
Yaani nikimuona na mtu basi hapo najua siri zote huyu mtu ataambiwa.
Ndoa ni UTAPELI NARUDIA TENA NDOA NI SHIDA NA ZINA PELEKEA SANA KUARIBU FUTURE YA WENGI.
Maana wanaume wanaishia kwenye ulevi.Na wanawake wanaishia kwenye Udangaji
Unaambiwa mwili mmoja kumbe ni trick ya kuombwa hela tuNilifikiri ukioa unakua unaichakata mbususu muda wowote,kumbe kuna kuiomba tena.
😀😀
Usiwe na hayo mawazo mabaya mpende mkeo km ulivyompenda miaka 10 iliyopitaAaah hizi ndoa ni shida
Hapo kweli sema wake wawili na uchumi huu😞😞Hizo ndo hasara za kuoa mke mmoja....akiumwa nawe unaumwa akiwa p nawe unakuwa p....
Ila wakiwa wawili au watatu huyu akinuna unahamia uku adi akili itamkaa sawaa.....
Dawa ya mwanamke ni mwanamke.....hisia za wanawake kama moto zinazimwa na moto
Bro mke na mpenda ila asaivi najipanga nioe mke wa pili na nita muhudumia.Usiwe na hayo mawazo mabaya mpende mkeo km ulivyompenda miaka 10 iliyopita