Ulitumia dawa au matibabu gani kupona ugonjwa uliokusumbua kwa muda mrefu?

Ulitumia dawa au matibabu gani kupona ugonjwa uliokusumbua kwa muda mrefu?

Mi mwenyewe nasumbuliwa na kifua kikavu, yaani muda wote kuna kitu kinakua kooni ukikitoa ( is like makohozi) kina rudi kingine, ni mwaka wa pili now zunguka hospitali mbalimbali,piga X ray hawaoni ugonjwa. Naishia kupewa antibiotics na hazinisaidii. Sijui ni nini hiki na hata nitaponaje
Tumia unga wa majani ya mlonge utakuja kutoa ushuhuda wako hapa.
 
Mi mwenyewe nasumbuliwa na kifua kikavu, yaani muda wote kuna kitu kinakua kooni ukikitoa ( is like makohozi) kina rudi kingine, ni mwaka wa pili now zunguka hospitali mbalimbali,piga X ray hawaoni ugonjwa. Naishia kupewa antibiotics na hazinisaidii. Sijui ni nini hiki na hata nitaponaje
Tafuta dawa inaitwa montelukast....
 
Bawasiri na gout vinanisumbua mno mno, tena afadhal na hiyo gout, Bawasiri ime fanya hadi nashindwa kufanya kazi, msaada wandugu na teseka mno

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
bawasiri tafuta ANUSOL SUPP siku 6 na SITCOM tablet od siku 14 utumie.. gout tafuta dawa inaitwa ALLOPURINOL 300mg na Febuxostat tab. pole
 
Mi mwenyewe nasumbuliwa na kifua kikavu, yaani muda wote kuna kitu kinakua kooni ukikitoa ( is like makohozi) kina rudi kingine, ni mwaka wa pili now zunguka hospitali mbalimbali,piga X ray hawaoni ugonjwa. Naishia kupewa antibiotics na hazinisaidii. Sijui ni nini hiki na hata nitaponaje
tafuta montelukast 10mg na prednsolone tabs.
 
Back
Top Bottom