Ulitumia dawa au matibabu gani kupona ugonjwa uliokusumbua kwa muda mrefu?

Ulitumia dawa au matibabu gani kupona ugonjwa uliokusumbua kwa muda mrefu?

Hadi sasa mimi nasumbuka na hizi mba zangu za mgongoni. Nisaidieni Dawa maana nashindwa kuwa huru sehemu za kuogelea kama beach n.k.
Aaah,sawa mkuu huo ugonjwa unapona haraka Sana [emoji106] Fanya hivi;
1.Nenda Duka la dawa kanunue vidonge vya septrin(cetrizine)
2.Nunua mafuta ya babycare..dukani
3.chukua vidonge vya septrin (cetrizine) ulivyonunua kisha uviponde view unga kabisa alafu uchanganye kwenye mafuta ya babycare...
4.Jipakae huo mchanyiko asubuhi na jioni,baada ya wiki leta mrejesho..
Hii ni dawa ya uhakika..
 
Nasumbuliwa na meno
Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
 
Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Aksanti
ila sijuwi tunguja nisaidiye na kapicha
 
Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Hizo tunguja unazikatakata?
 
Wakuu salaam,

Watu wengi tumekuwa tukihangaika kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayotusumbua kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote. Tunatembelea hospitali mbalimbali, kupata vipimo na kupewa dawa (medications) tofautitofauti lakini mwisho wa siku hatupati nafuu.

Lakini kwa upande mwingine inawezekana kuna ambao wamehangaika lakini mwisho wa siku wakapata dawa na wamepona. Hivyo basi uzi huu ni special kwa kutoa ushuhuda wa namna ulivyopona tatizo lililokusumbua kwa muda mrefu.

Inawezekana ulisumbuliwa na ama kifua, fangasi, maumivu ya kichwa, kiuno, vidonda vya tumbo kwa miezi au miaka kadhaa halafu ukapata dawa na imekusaidia. Kwahiyo karibu utoe ushuhuda wako wa namna ulivyopona ili watu wengine iwasaidie.

Karibu sana.
Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.
Nilishapimwa kipimo Cha endoscopy wakasema Nina gastritis,nilitumia dawa za hospitalini na hata dawa za miti shamba lakini Hali bado na huu ni mwaka wa nane.
Hadi nimekata tamaa kwakweli.
Mwenye experience kama yangu na akapona anisaidie kuniambia alitumia dawa gani ama wataalam wanaojua dawa msaada jamani!!
 
Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.
Nilishapimwa kipimo Cha endoscopy wakasema Nina gastritis,nilitumia dawa za hospitalini na hata dawa za miti shamba lakini Hali bado na huu ni mwaka wa nane.
Hadi nimekata tamaa kwakweli.
Mwenye experience kama yangu na akapona anisaidie kuniambia alitumia dawa gani ama wataalam wanaojua dawa msaada jamani!!
0789 673 887 huyu jamaa anitwa jafary (anajiita kijana wa porini) yupo Instagram pia...binafsi nilikuwa na ulcers lakini saa hizi nakula hata maharage..pia hapa kwangu amemtibu mtoto aliyekuwa kikojozi.
 
Aksanti
ila sijuwi tunguja nisaidiye na kapicha
Tunguja ni ndulele au Ndulaa
Screenshot_20221030-002809.jpg
Screenshot_20221030-002816.jpg
 
Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Tunguja yenyewe haukatikati au sio mkuu!?
 
Pole sana mkuu ngoja wataalam waje.
Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.
Nilishapimwa kipimo Cha endoscopy wakasema Nina gastritis,nilitumia dawa za hospitalini na hata dawa za miti shamba lakini Hali bado na huu ni mwaka wa nane.
Hadi nimekata tamaa kwakweli.
Mwenye experience kama yangu na akapona anisaidie kuniambia alitumia dawa gani ama wataalam wanaojua dawa msaada jamani!!
 
Wakuu salaam,

Watu wengi tumekuwa tukihangaika kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayotusumbua kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote. Tunatembelea hospitali mbalimbali, kupata vipimo na kupewa dawa (medications) tofautitofauti lakini mwisho wa siku hatupati nafuu.

Lakini kwa upande mwingine inawezekana kuna ambao wamehangaika lakini mwisho wa siku wakapata dawa na wamepona. Hivyo basi uzi huu ni special kwa kutoa ushuhuda wa namna ulivyopona tatizo lililokusumbua kwa muda mrefu.

Inawezekana ulisumbuliwa na ama kifua, fangasi, maumivu ya kichwa, kiuno, vidonda vya tumbo kwa miezi au miaka kadhaa halafu ukapata dawa na imekusaidia. Kwahiyo karibu utoe ushuhuda wako wa namna ulivyopona ili watu wengine iwasaidie.

Karibu sana.
Kama unaumwa ugonjwa wowote na umetumia dawa za hospitalini au miti shamba au virutubisbo tiba na hujapona bado kuna tumaini.
Ukiona umepita kote huko na jeri ya jana ujue tatizo haliko kwa dawa ulizotumia. Tatizo lipo kwako mwenyewe. Ndani ya mwiki wako kuna kitu kinaitwa seli shina. Kazi ya hizo seli ni kuuwezesha mwili ujitibu wenyewe au kusaidia dawa unazotumia ili zikutibu.

Endapo hizi seli zako zikiwa zimekufa au kupoteza uwezo inakua ngumu sana mgo jwa kupona au kutibika kwa dawa yyte ile.

Kwa hio kitu ambacho wataalamu na madaktari wa usiwis waligundua miaka ya hivi karibuni ni kumrudishia mgonjwa seli zake na kurekebisha zile zilizoharibika kwa matumizi ya stemcell therapy.

Stemcell therapy ni seli shina za mwili.zilizochakatwa kisayansi kutoka kwenye mimea na matunda yenye seli zinazofanana na za mwandamu.

Mgonjwa akitumia seli hizi kwa mzunguko wa siku 21 au 42 na 63. Zinauwezesha mwili kurudisha uwezo wake wa kiasili ambao utamsaidia kuondoa maradhi yote ndani na kuoambana na aina yyte ya magonjwa sugu. Hivyo kumsaodoa mgonjwa kupona kwa wepesi hata akitumia dawa dhaifu.

Stemcells therapy inahusika moja kwa moja au kwa kutumia dawa za kawaida kutibu zaidi ya magonjwa 200 yakiwepo haya kwenye picha.

Kwa maelezo zaidi mpigie dkt Ben Soy wa kitengo cha tiba Muhimbili 0719794789 au 0699254400.
IMG-20220507-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom