Aaah,sawa mkuu huo ugonjwa unapona haraka Sana [emoji106] Fanya hivi;Hadi sasa mimi nasumbuka na hizi mba zangu za mgongoni. Nisaidieni Dawa maana nashindwa kuwa huru sehemu za kuogelea kama beach n.k.
Bhangi ni dawa nzuri ya sikio..kuna binti alikuwa anasumbuliw ana sikio miaka nenda rudi... nikampelekea bhangi mbichi akatwanga akaweka yale maji maji yake ikabaki historia
Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.Nasumbuliwa na meno
AksantiChukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Click hilo neno Tunguja ni link ya huo mtunguja.Aksanti
ila sijuwi tunguja nisaidiye na kapicha
Watu wengi watajua ni utani lakini huo ni ukweli kabisaBhangi ni dawa nzuri ya sikio..
NdioUlipona kabisa
Mkuu hii ni ya dukani au kienyeji ?Vidonda vya tumbo nilitumia dawa inaitwa rabekind 20
Hizo tunguja unazikatakata?Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Ndio niniDamu ya Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai
Ndio nini
Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.Wakuu salaam,
Watu wengi tumekuwa tukihangaika kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayotusumbua kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote. Tunatembelea hospitali mbalimbali, kupata vipimo na kupewa dawa (medications) tofautitofauti lakini mwisho wa siku hatupati nafuu.
Lakini kwa upande mwingine inawezekana kuna ambao wamehangaika lakini mwisho wa siku wakapata dawa na wamepona. Hivyo basi uzi huu ni special kwa kutoa ushuhuda wa namna ulivyopona tatizo lililokusumbua kwa muda mrefu.
Inawezekana ulisumbuliwa na ama kifua, fangasi, maumivu ya kichwa, kiuno, vidonda vya tumbo kwa miezi au miaka kadhaa halafu ukapata dawa na imekusaidia. Kwahiyo karibu utoe ushuhuda wako wa namna ulivyopona ili watu wengine iwasaidie.
Karibu sana.
DukaniMkuu hii ni ya dukani au kienyeji ?
0789 673 887 huyu jamaa anitwa jafary (anajiita kijana wa porini) yupo Instagram pia...binafsi nilikuwa na ulcers lakini saa hizi nakula hata maharage..pia hapa kwangu amemtibu mtoto aliyekuwa kikojozi.Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.
Nilishapimwa kipimo Cha endoscopy wakasema Nina gastritis,nilitumia dawa za hospitalini na hata dawa za miti shamba lakini Hali bado na huu ni mwaka wa nane.
Hadi nimekata tamaa kwakweli.
Mwenye experience kama yangu na akapona anisaidie kuniambia alitumia dawa gani ama wataalam wanaojua dawa msaada jamani!!
Tunguja ni ndulele au NdulaaAksanti
ila sijuwi tunguja nisaidiye na kapicha
Tunguja yenyewe haukatikati au sio mkuu!?Chukua Tunguja kamaa 7, weka kwenye sufuria, chukua malimao 3 katakata na maganda yake, weka kwenye sufuria pamoja na zile tunguja. Weka jikoni tia maji chemsha sana hakikisha maji yanabakia vikombe vitatu, sukutua hafu tema. Asubuhi kimoja, machana kimoja na kimaja usiku ukitaka kulala.
Aksanti bossTunguja ni ndulele au NdulaaView attachment 2401762View attachment 2401763
Mimi nasumbuliwa Sana na tumbo kujaa gesi,mgongo na kiuno kuniuma.
Nilishapimwa kipimo Cha endoscopy wakasema Nina gastritis,nilitumia dawa za hospitalini na hata dawa za miti shamba lakini Hali bado na huu ni mwaka wa nane.
Hadi nimekata tamaa kwakweli.
Mwenye experience kama yangu na akapona anisaidie kuniambia alitumia dawa gani ama wataalam wanaojua dawa msaada jamani!!
Kama unaumwa ugonjwa wowote na umetumia dawa za hospitalini au miti shamba au virutubisbo tiba na hujapona bado kuna tumaini.Wakuu salaam,
Watu wengi tumekuwa tukihangaika kupata matibabu ya magonjwa mbalimbali yanayotusumbua kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote. Tunatembelea hospitali mbalimbali, kupata vipimo na kupewa dawa (medications) tofautitofauti lakini mwisho wa siku hatupati nafuu.
Lakini kwa upande mwingine inawezekana kuna ambao wamehangaika lakini mwisho wa siku wakapata dawa na wamepona. Hivyo basi uzi huu ni special kwa kutoa ushuhuda wa namna ulivyopona tatizo lililokusumbua kwa muda mrefu.
Inawezekana ulisumbuliwa na ama kifua, fangasi, maumivu ya kichwa, kiuno, vidonda vya tumbo kwa miezi au miaka kadhaa halafu ukapata dawa na imekusaidia. Kwahiyo karibu utoe ushuhuda wako wa namna ulivyopona ili watu wengine iwasaidie.
Karibu sana.
Shukran0789 673 887 huyu jamaa anitwa jafary (anajiita kijana wa porini) yupo Instagram pia...binafsi nilikuwa na ulcers lakini saa hizi nakula hata maharage..pia hapa kwangu amemtibu mtoto aliyekuwa kikojozi.