Ulitumia dawa au matibabu gani kupona ugonjwa uliokusumbua kwa muda mrefu?

Ulitumia dawa gani, ili tatizo linanisumbua mwaka wa 8 saivi
 
mi nasumbuliwa na vidonda mdomon"" mara kwene ulimi,, kwene ngoz unaweza ukahis pengne umejiuma lakin hakuna jaman,, vinapona mata vinalud tena nifanyeje sasa ngoma nimepima hakuna!!
 
Ulitumia dawa gani, ili tatizo linanisumbua mwaka wa 8 saivi
Mkuu sikutumia dawa yoyote, vidonda vyangu vilikuwa vinasababishwa na jua, yaani nikiwa juani mda mrefu basi usiku habari ntaipata lips kuuma na hatimae vidondo.

Mpaka leo hii nikikaa juani tu mda kiasi lazima vitokee. Pia kupanda toyo kwa safari ndefu ule upepo pia ulikua unaniletea ivyo vidonda.

Kazi yako inakufanya ukutane na changamoto za namna iyo??
 
mi nasumbuliwa na vidonda mdomon"" mara kwene ulimi,, kwene ngoz unaweza ukahis pengne umejiuma lakin hakuna jaman,, vinapona mata vinalud tena nifanyeje sasa ngoma nimepima hakuna!!
Mkuu angalia mswaki unaotumia iyo shida alishawah kuwa nayo mtu wangu wa karibu.

Je, mswaki wako umechanua kama sketi ya mwanafunzi wa shule??
 
nb sina tatizo jingine lolote la kiafya
 
Mkuu angalia mswaki unaotumia iyo shida alishawah kuwa nayo mtu wangu wa karibu.

Je, mswaki wako umechanua kama sketi ya mwanafunzi wa shule??
Tatizo langu ni mdomo/lips kukauka kuchanika na hatimae ngozi ya juu kwenye lips kutoka ,lips zimevimba na ni nyekundu
 
Bangi ni dawa ya sikio, je ni sikio liwe na tatizo gani ndiyo litibiwe na bangi?
 
mi nasumbuliwa na vidonda mdomon"" mara kwene ulimi,, kwene ngoz unaweza ukahis pengne umejiuma lakin hakuna jaman,, vinapona mata vinalud tena nifanyeje sasa ngoma nimepima hakuna!!
Jaribu kutumia vitamin B (vidonge). Za 500 tu.
 
Naomba msaa tafazali uume wangu ausimami nikiwa na mwanamke ,ila uko nasimama nikiwa peke yangu

Naomba anaejuwa dawa anisaidiye [emoji24][emoji24][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Duh
 
Ilikuwa mji gani hapa Tanzania? Maeneo gani? Bus za kuelekea wapi?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…