Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Hamna lolote utamu wa pipi mate yako 🀣🀣🀣🀣
Hahaha..........ukitaka uamini hilo, ndiyo maana Zamani Wanawake waliolewa wakiwa mabikra.

Akikutana na mumewe Siku ya harusi hata kama ana kibamia basi yeye maisha yake yote atakifahamu hicho hicho kibamia, kitamliza na kumfikisha Kibo Siku zote

Sasa we jichanganye huko nje, utakutana na aina zote iwe ndefu/fupi/nene/nyembamba n.k πŸ€—
 
Huo mtindo sijui nani ameuleta, naona una trend sana miaka hii πŸ™Œ

Unakuta Mwanaume mwenye hata 40yrs anampigia magoti Mkewe wa miaka 28 πŸ™Œ
Wanaume tunazidi kupungua inasikitisha sana. Halafu anakapigia magoti kamanzi kenyewe used na bado kwenye ndoa anakahudumia. Mambo ya hovyo sana
 
Sijafika huko ila tuliongea waalikwa watakua 25 tu yeye akiwa anataka wawe 15 hao 10 nimetumia nguvu sana kuwaombea, then figure it out gharama itakuwa kiasi gani roughly
25 ni namba nzuri Kwa waalikwa

Hao hata kama mkisema wale na Kunywa, basi mtamudu bajeti zao pasipo kutoboka mifukoni
 
Wanaume tunazidi kupungua inasikitisha sana. Halafu anakapigia magoti kamanzi kenyewe used na bado kwenye ndoa anakahudumia. Mambo ya hovyo sana
Hiyo kuhudumia ni Jukumu letu Wanaume, hata Mimi Bibi yenu namuhudumia tangu akiwa Mchumba hadi nimemwoa

Tatizo ni hapo kwenye Used πŸ™ŒπŸ˜œ
 
Mabibi wa zamani ni kweli waliolewa na bikira zao lkn walikuwa wanachepuka km wamefungwa injini ya scania 🀣🀣🀣🀣

Unakuta ana mtoto kafanana na babu wa jirani karibu na kwenu!! Hapo babu umenipiga chenga mabibi tunakaa nao tunapiga nao soga, wana mengi ya sirini
 
Hiyo kuhudumia ni Jukumu letu Wanaume, hata Mimi Bibi yenu namuhudumia tangu akiwa Mchumba hadi nimemwoa

Tatizo ni hapo kwenye Used πŸ™ŒπŸ˜œ
Ni kweli kabisa jukumu la mwanaume ni kumhudumia mke tu na sio girlfriend au mpenzi.

Ila nilitaka kuonyesha kuwa mwanamume anayefanya jukumu kama hilo hapaswi kujidharirisha kwa kupiga goti
 
Itakuwa na watu wengi sana
Na hivi nipo pekee msichana kwenye huu familia..woii
Hongera Mkuu

Ukiwa msichana wa pekee ama Mvulana wa pekee kwenye familia unapewa huduma za kiupendeleo sana kuliko hao wengine

Usishangae Wazee wakatoboka sana mifuko kwaajili yako πŸ€—
 
Walichepuka ndiyo lakini sio kama ninyi wa kisasa

Bora uchepuke na Mmoja but unakuta unachepuka ni Kijiji kizima, ukisema uwapange wanajaa Coaster ya Buguruni - Kawe πŸ˜…πŸ™Œ
 
Unahifadhi fedha 5 years uje umuoe mtu ambaye ushamuoa?
Mkuu Wanaume tumeumbiwa mateso

Ndiyo maana tunatumia zaidi ya asilimia 80 ya Kipato chetu kuhakikisha Mkeo na familia Kwa ujumla inakuwa na amani na furaha

Nyumba ikiwa haina amani, itakuathiri Kazini pamoja na kipato Kwa ujumla

Ndiyo maana Wazee walisema nyumba yenye amani ni ile ambayo "Kitanda kinatikisika Usiku" πŸ€—
 
Tatizo ni hapo kwenye Used πŸ™ŒπŸ˜œ
🀣🀣🀣 na changamoto iliyopo kama ni used lazima huyo atakuwa malaya.

Kwa sababu huwa najiuliza mpaka mimi nimekuja kumuoa kashachezea virungu vingapi?

Ndio maana suala la usaliti limekuwa kawaida sana

Wazungu wanasema ukimuoa aliyetumika your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…