Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengi ya kujifunza sana kupitia harusi ambazo tunaenda! Mjomba wangu alikwenda kuoa sehemu kwa ujasiri aliwaambia kabsa kuwa hana kipato cha maana enzi hizo 1990s na baba mkwe alikuwa afande! Alimpatia binti yake na wapo pamoja mpaka leo! Kuna swahiba yake na Mjomba alitusimulia kisa hicho nikasema ni ngumu sana kukutana na sampuli hizo katika nyakati hizi. Watu walitoka Sengerema mpaka Tinde kwa ajili ya kufuata binti!Somo zuri Kwa Vijana hili
Siku ya harusi ilitokea dharula ya kulipia kila sahani ya chakula inayoingia ukumbini, hivyo pesa ya dharula ikasaidia eneo hilo.Hongera sana Mkuu, nimependa kwamba ulitenga na Fedha ya dharura 👏👏🙌
Tuipe hongera Kamati yako ya maandalizi, ilikushauri vizuri aisee 👏👏Siku ya harusi ilitokea dharula ya kulipia kila sahani ya chakula inayoingia ukumbini, hivyo pesa ya dharula ikasaidia eneo hilo.
Tinde ile ya Shinyanga?Kuna mengi ya kujifunza sana kupitia harusi ambazo tunaenda! Mjomba wangu alikwenda kuoa sehemu kwa ujasiri aliwaambia kabsa kuwa hana kipato cha maana enzi hizo 1990s na baba mkwe alikuwa afande! Alimpatia binti yake na wapo pamoja mpaka leo! Kuna swahiba yake na Mjomba alitusimulia kisa hicho nikasema ni ngumu sana kukutana na sampuli hizo katika nyakati hizi. Watu walitoka Sengerema mpaka Tinde kwa ajili ya kufuata binti!
Uzuri mhazini nilikuwa ni mimi mwenyewe hivyo pesa zote nilikuwa nalipa kwa mhusika wa tukio moja kwa moja bila kutumia middle men.Tuipe hongera Kamati yako ya maandalizi, ilikushauri vizuri aisee 👏👏
Otherwise usingefanikiwa kutoboa
Mbona gharama kubwa sana yan 10 M kasoro[emoji55]kumbe harusi gharama hivi!Suala la Kuoa ama kuolewa bado litaendelea kuwa ni hitaji muhimu miongoni mwa Jamii ya watu wengi Ulimwenguni.
Kwa Tanzania, tunazo Ndoa za aina mbalimbali ambazo zinatambulika kisheria ambazo ni Ndoa za Kidini, Kimila na Kiserikali.
Mara baada ya kufunga Ndoa, maharusi wengi Kwa kushirikiana na jamii zao, hupenda kufanya sherehe. Sherehe hizo huambatana na michango Kwa walio wengi kupitisha Kadi kwaajili ya kuomba kuchangiwa kufanikisha sherehe za harusi zao.
Japo baadhi hufanya sherehe za harusi zao pasipo kuomba michango Kwa ndugu/jamaa na marafiki. Wao hugharamia Kila kitu wao wenyewe na hao ndugu/jamaa na marafiki hupewa Kadi za mwaliko kuweza kuhudhuria sherehe tu.
Kwa utafiti usio rasmi, sherehe za harusi hupendwa zaidi na Wanawake kuliko Wanaume. Wanaume wako tayari kufunga Ndoa za kimya kimya lakini sio Wanawake.
Je, ulitumia fedha kiasi gani kufanikisha harusi yako ama umepanga kutumia fedha kiasi gani kwaajili ya harusi yako na mwenzi wako?
Binafsi, nilitumia kiasi cha shilingi milioni 10 kuweza kufanikisha harusi yangu na Bibi yenu miaka kadhaa iliyopita [emoji847][emoji120]
Sikuhitaji kuchangiwa fedha kufanikisha sherehe ile, bali niliweza kujipanga mwenyewe Kwa muda wa miaka 5.
Nilifungua akaunti maalumu Benki (Fixed deposit account) ambayo nilikuwa nina ruhusiwa kuweka fedha pasipo kutoa Kwa muda wa miaka 5 hivi, japo nilikuwa napata interest kidogo za Benki.
Baada ya miaka 4 hivi, nilikwenda kuchungulia fedha nikakuta nina milioni 9.35 so nikaanza maandalizi kujiandaa na harusi Mwaka unaofatia.
Mind you, tayari nilikuwa nina Cheti cha Ndoa ya Serikali na mwenzangu lakini yeye Kiu yake ni lazima tukafunge ile ya Kanisani [emoji119]
Kuna wakati nilikuwa nafanya biashara ya kununua na kuuza mazao ya nafaka. Nilikuwa naenda Mashambani, nawakopesha fedha Wakulima then wakati wa mavuno nilikuwa naenda kukusanya mazao hasa zao la Mpunga.
Kwahiyo kwenye ile harusi, sikuwa na hofu ya Chakula maana tayari nilikuwa nina stock ya magunia ya kutosha ya Mpunga.
Wanasema harusi ni kula na Kunywa. Kwahiyo nilijiandaa kwenye eneo hili.
Kwenye upande wa Chakula niliandaa wali mweupe,Pilau, chips, mtori, nyama za kukaanga, kachumbali
Vinywaji niliandaa Soda na Maji tu.
Niliandaa Kadi za Mwaliko za watu 300 lakini walifika watu 358 japo hili nilijua lazima lingetokea maana harusi yenyewe niliifanyia Kijijini kwahiyo wengi ni wale watu mnajuana. Kwahiyo niliweka chakula na Vinywaji Kwa zaidi (excess budgeting)
Pamoja na Wageni waalikwa, usiku ule nilikuwa na Mchungaji pamoja na Mwinjilisti ambao walishiriki kuanzia mwanzo wa harusi hadi tunamaliza tukio majira ya saa 9 usiku.
Gharama za mavazi za Wapambe niligharamia mwenyewe kuanzia mavazi ya Kanisani hadi Ukumbini [emoji119]
Niliamua kukodisha Ma-MC wawili ili kunogesha sherehe [emoji847]
Pete nilinunua zenye ppt ya dhahabu, kuogopa zisije kupauka.
Mchanganuo wa Bajeti yangu kufanikisha sherehe ile, nimeambatisha kwaajili ya wengine kujifunza.
Kumbukeni, hata kama umeoa bado unaweza kuja kuozesha watoto wako miaka ijayo. Baadhi yetu mnaweza kuwa Wanakamati kwenye harusi za wengine pia
Kwahiyo Harusi zitaendelea kufanyika hata baada ya kufa kwetu maana tutakuwa tumeacha Kizazi chetu kinaendelea Kuoa na kuolewa.
Mkuu harusi hutegemeana na vile utakavyokuwa umejiandaaMbona gharama kubwa sana yan 10 M kasoro[emoji55]kumbe harusi gharama hivi!
Hiyo Mkuu ilisaidia sana, japo najua baadhi ya Wajumbe wa Kamati hawakupendezwa na utaratibu huoUzuri mhazini nilikuwa ni mimi mwenyewe hivyo pesa zote nilikuwa nalipa kwa mhusika wa tukio moja kwa moja bila kutumia middle men.
Ndio Mkuu Tinde ya Shinyanga! Hapo miguu ilifanya kazi! Wakati ule hata mahari tu inapelekwa na mbio hatari.Tinde ile ya Shinyanga?
Wazee wengi wa zamani walikuwa waelewa kuliko wa miaka ya hivi karibuni.
Japo nahisi kukosekana Kwa u-seriousness miongoni mwa Vijana wa sasa huenda umechangia
Vijana wengi wanapenda kuchezea mabinti za watu
Kwahiyo, hizo hela zote ukazichoma kwa siku moja?Suala la Kuoa ama kuolewa bado litaendelea kuwa ni hitaji muhimu miongoni mwa Jamii ya watu wengi Ulimwenguni.
Kwa Tanzania, tunazo Ndoa za aina mbalimbali ambazo zinatambulika kisheria ambazo ni Ndoa za Kidini, Kimila na Kiserikali.
Mara baada ya kufunga Ndoa, maharusi wengi Kwa kushirikiana na jamii zao, hupenda kufanya sherehe. Sherehe hizo huambatana na michango Kwa walio wengi kupitisha Kadi kwaajili ya kuomba kuchangiwa kufanikisha sherehe za harusi zao.
Japo baadhi hufanya sherehe za harusi zao pasipo kuomba michango Kwa ndugu/jamaa na marafiki. Wao hugharamia Kila kitu wao wenyewe na hao ndugu/jamaa na marafiki hupewa Kadi za mwaliko kuweza kuhudhuria sherehe tu.
Kwa utafiti usio rasmi, sherehe za harusi hupendwa zaidi na Wanawake kuliko Wanaume. Wanaume wako tayari kufunga Ndoa za kimya kimya lakini sio Wanawake.
Je, ulitumia fedha kiasi gani kufanikisha harusi yako ama umepanga kutumia fedha kiasi gani kwaajili ya harusi yako na mwenzi wako?
Binafsi, nilitumia kiasi cha shilingi milioni 10 kuweza kufanikisha harusi yangu na Bibi yenu miaka kadhaa iliyopita 🤗🙏
Sikuhitaji kuchangiwa fedha kufanikisha sherehe ile, bali niliweza kujipanga mwenyewe Kwa muda wa miaka 5.
Nilifungua akaunti maalumu Benki (Fixed deposit account) ambayo nilikuwa nina ruhusiwa kuweka fedha pasipo kutoa Kwa muda wa miaka 5 hivi, japo nilikuwa napata interest kidogo za Benki.
Baada ya miaka 4 hivi, nilikwenda kuchungulia fedha nikakuta nina milioni 9.35 so nikaanza maandalizi kujiandaa na harusi Mwaka unaofatia.
Mind you, tayari nilikuwa nina Cheti cha Ndoa ya Serikali na mwenzangu lakini yeye Kiu yake ni lazima tukafunge ile ya Kanisani 🙌
Kuna wakati nilikuwa nafanya biashara ya kununua na kuuza mazao ya nafaka. Nilikuwa naenda Mashambani, nawakopesha fedha Wakulima then wakati wa mavuno nilikuwa naenda kukusanya mazao hasa zao la Mpunga.
Kwahiyo kwenye ile harusi, sikuwa na hofu ya Chakula maana tayari nilikuwa nina stock ya magunia ya kutosha ya Mpunga.
Wanasema harusi ni kula na Kunywa. Kwahiyo nilijiandaa kwenye eneo hili.
Kwenye upande wa Chakula niliandaa wali mweupe,Pilau, chips, mtori, nyama za kukaanga, kachumbali
Vinywaji niliandaa Soda na Maji tu.
Niliandaa Kadi za Mwaliko za watu 300 lakini walifika watu 358 japo hili nilijua lazima lingetokea maana harusi yenyewe niliifanyia Kijijini kwahiyo wengi ni wale watu mnajuana. Kwahiyo niliweka chakula na Vinywaji Kwa zaidi (excess budgeting)
Pamoja na Wageni waalikwa, usiku ule nilikuwa na Mchungaji pamoja na Mwinjilisti ambao walishiriki kuanzia mwanzo wa harusi hadi tunamaliza tukio majira ya saa 9 usiku.
Gharama za mavazi za Wapambe niligharamia mwenyewe kuanzia mavazi ya Kanisani hadi Ukumbini 🙌
Niliamua kukodisha Ma-MC wawili ili kunogesha sherehe 🤗
Pete nilinunua zenye ppt ya dhahabu, kuogopa zisije kupauka.
Mchanganuo wa Bajeti yangu kufanikisha sherehe ile, nimeambatisha kwaajili ya wengine kujifunza.
Kumbukeni, hata kama umeoa bado unaweza kuja kuozesha watoto wako miaka ijayo. Baadhi yetu mnaweza kuwa Wanakamati kwenye harusi za wengine pia
Kwahiyo Harusi zitaendelea kufanyika hata baada ya kufa kwetu maana tutakuwa tumeacha Kizazi chetu kinaendelea Kuoa na kuolewa.
Kwahiyo, hizo hela zote ukazichoma kwa siku moja?
Hela unaivujia jasho miaka 5 ili utumie kwa siku moja kisa sherehe. Hizo pesa ungemtunzia mwanao si angekushukuru baadaye au zingeendelea kukaa kwenye serving si ungekuwa na mpunga mzuri.
Ukute umechomwa pesa kufanya sherehe na mwanamke anakukimbia.
Mimi katu sitakuja kufanya hizo sherehe za kuoana. Mwanamke nimemtolea mahari, amekuja kwangu tumezaa watoto, tunalea na kuishi kwa heshima. Na nimemkataza asije leta habari za sherehe, oo mara nikafunge ndoa kanisani, huo ujinga sifanyi.
Kuachana ni matokeo tu, hakuna anayeoa ili waje kuachanaKwahiyo, hizo hela zote ukazichoma kwa siku moja?
Hela unaivujia jasho miaka 5 ili utumie kwa siku moja kisa sherehe. Hizo pesa ungemtunzia mwanao si angekushukuru baadaye au zingeendelea kukaa kwenye serving si ungekuwa na mpunga mzuri.
Ukute umechomwa pesa kufanya sherehe na mwanamke anakukimbia.
Mimi katu sitakuja kufanya hizo sherehe za kuoana. Mwanamke nimemtolea mahari, amekuja kwangu tumezaa watoto, tunalea na kuishi kwa heshima. Na nimemkataza asije leta habari za sherehe, oo mara nikafunge ndoa kanisani, huo ujinga sifanyi.
Unadhani kwenye hayo maswali anaweza akajibu tofauti na matarajio yako?Umeongea hoja ya msingi sana. Binafsi niliwahi kupiga stori sana na Marehemu Bibi! Aliwahi kunihimiza kuwa Niulize maswali magumu wakati wa uchumba, nimuulize mwenzangu kuwa anatamani maisha ya namna gani, na anataka kuishi maisha gani? Muulize anatamani watoto wake waishi maisha gani? Muulize fedha na mali zina nafasi ipi kwenye maisha yake? Muulize kuwa endapo ukipata ajali, atabakia au ataondoka? Muulize kwa macho makavu kabsa!
Ndo msingi mkuuUnadhani kwenye hayo maswali anaweza akajibu tofauti na matarajio yako?
Tuishi nao Kwa akili tu
Wewe ni mtu mzuri saana.Sipendi ile hali ya kupigia watu simu kuwakumbusha michango
Sina hela za kuchezea kuandaa sherehe kubwa kuwalisha watu.
Sherehe sio lazima
Asante mkuu.Wewe ni mtu mzuri saana.