Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

Hivi kwa wale ving'ang'anizi wenzangu huwa mnatumia njia Gani? Yaani kila ukibadili namba anaitafuta na kupiga tena kuomba msamaha,huwa mnafanyaje nami ni mjanga wa hili aisee.
Aiseeh tatizo kama langu wangu Ex tokea nimemuacha hadi leo Unakaribia mwaka lakini anaendelea kunipigia simu nilisha mkataza lakini hasikii, juzi nilimwambia tuma message ambazo hazioneshi mahusiano ya kimapenzi maana mimi nina Binti Mwingine tayari kimahusuano.
 
nilimwandikia barua ya kibuti kwenye tishu pepa...
 
Naona unawahi fursa mapema! we sio wa mchezo mchezo

Lakini huyo ni binti wa kirombo sio mmachame, mmarangu wala wa kishumundu. Binti wa kirombo ni jembe la ukweli na huwezi kumpata kirahisi hivyo mkuu!

kwahiyo ndio kusema kuwa wamachame na hao wengine wengine ndio rahis rahisi si ndio
 
Nilimwambia hivi . . .
a4bffb9bcdb43f79c60618dc3d2bb66a.jpg
 
Salutiii....MMU....!!!!!! Niingie janvin mojakwamoja ..binafsi mm ex wangu. Nilimtext. Nikamfahamisha. ...enhe wadau karibun tujuzane..... Je wewe ulitumia njia ipi???
Ma x wangu wote huwanawaacha kimya kmya tu yaani simtafuti na hata akinipigia simu sipokei sms sijibu, mwishowe huchoka kunitafuta na kujikatia tamaa

Hii njia imenifanyia urahisi sana hasa pale napohitaji kupasha kiporo, simple tu huwarudia
 
Dah ningejua nisingeifungua hii Uzi,niliachwa kimya kimya, nilipiga simu mwezi mzima lakn haikupokelewa ,enginer wa kipare go to hell
Haaaa not hell say to heaven just to wish him all the best anyway I'm here for you warmly welcome cute.
 
Kama wewe ni RC kama mimi huo Kwako, ushakuwa msala, ila kama imani ya Dini yako inaruhusu kumuacha achana nae ni bora kusolve tatizo kabla halijawa kubwa.
Kwani RC inazuia nn? Unatumia andiko gani?
 
Unapoamua kumuacha mtu jaribu kuwepo na sababu ya msingi ambayo inakufanya umuachae wengi wao baadae wanajuta kurudi anatamani lakini ndio unakuta haiwezekani

Nakumbuka kuna ex wangu mmoja alianza kunipotezea, simu nikipiga haipokelew, msg hajib na akipokea sio uchangamfu km zaman mtu mzima nikajiongeza na mimi nikakaa kimya ikapita miezi saba siku ya siku ananipigia simu kwa vilio juu anahitaji tuwe kama zamani.
 
Unapoamua kumuacha mtu jaribu kuwepo na sababu ya msingi ambayo inakufanya umuachae wengi wao baadae wanajuta kurudi anatamani lakini ndio unakuta haiwezekani

Nakumbuka kuna ex wangu mmoja alianza kunipotezea, simu nikipiga haipokelew, msg hajib na akipokea sio uchangamfu km zaman mtu mzima nikajiongeza na mimi nikakaa kimya ikapita miezi saba siku ya siku ananipigia simu kwa vilio juu anahitaji tuwe kama zamani.
Halafu mbaya zaidi ni kwamba haiwezi kuwa kama zamani
 
Ma x wangu wote huwanawaacha kimya kmya tu yaani simtafuti na hata akinipigia simu sipokei sms sijibu, mwishowe huchoka kunitafuta na kujikatia tamaa

Hii njia imenifanyia urahisi sana hasa pale napohitaji kupasha kiporo, simple tu huwarudia
Mkuu unaniiga, mimi siwezi kumwacha mtu kwa kashfa ase...
 
Back
Top Bottom