Ulivyokuwa mdogo ulikuwa na ndoto ya kuja kufanya kazi gani?

Ulivyokuwa mdogo ulikuwa na ndoto ya kuja kufanya kazi gani?

Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Aisee ...mie nilitamani kuwa mtaalam wa kutengeneza mabomu ya nuclear...mwe! Saa hivi nafukuzia upepo na boxer yangu. Maisha haya acheni tuu
 
Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Hiyo ndiyo ukisikia kusomea ujinga.
 
Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Hahahahaha, we kweli ulikuwa mdg...
 
Nilitaka kuwa daktari,,,, nimesoma na kuhitimu,,,,
Ila sasa niko jobless….🥹🥹🥹🥹🥹
 
Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Nilitaka kua Pilot. Ila hesabu zilianza kunipiga chenga tangu primary😂 niliaminishwa bila ufaulu mzuri wa hesabu sitoboi. Nikaanza kuhusudu kuwa mtu wa Usalama wa Taifa (TISS) Lakini nikaona taasisi imeianza kua ya kisiasa zaidi. Kwa sasa ni mwanasheria, japo sijatoboa bado kimaisha lakini nafurahi fani yangu. Nikifa na kuzaliwa tena bado nitachagua kua mwanasheria😊
 
Back
Top Bottom