Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kazi ni nini afsa?Kubet sio kazi
Aisee ...mie nilitamani kuwa mtaalam wa kutengeneza mabomu ya nuclear...mwe! Saa hivi nafukuzia upepo na boxer yangu. Maisha haya acheni tuuLeo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Mbususu zilivyo tamu hivi..asingeweza huyoUmeishia wapi sasa
Hiyo ndiyo ukisikia kusomea ujinga.Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Hahahahaha, we kweli ulikuwa mdg...Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Mganga wa matunguri au daktari?Kuwa mganga.
Nashukuru Mungu, mimi ni Mganga hata sasa.
tusichukue tahadhari? kwa kuwa ni ajali?!
Nilitaka kua Pilot. Ila hesabu zilianza kunipiga chenga tangu primary😂 niliaminishwa bila ufaulu mzuri wa hesabu sitoboi. Nikaanza kuhusudu kuwa mtu wa Usalama wa Taifa (TISS) Lakini nikaona taasisi imeianza kua ya kisiasa zaidi. Kwa sasa ni mwanasheria, japo sijatoboa bado kimaisha lakini nafurahi fani yangu. Nikifa na kuzaliwa tena bado nitachagua kua mwanasheria😊Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹