Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nlkua nataka niwe rubani
Lakini now nafuga kuku
Ndege ni ndege tu
Maisha yaendelee
Lakini now nafuga kuku
Ndege ni ndege tu
Maisha yaendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlkua nataka niwe rubani
Lakini now nafuga kuku
Ndege ni ndege tu
Maisha yaendelee
Duu... kumbeHapana mkku😹
Asante mkuu.Muhimu mkono uende kinywani Hongera tho!
usije kunionea gere bure, maana ukiachana na kuvuta ugoro wangu sina tena kingine nafanya 🤪Pisha huko[emoji2763]
Dah! yaani ulikuwa na mawazo ya kujiuza mwili wako kuanzia mdogo?Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Nitakukopesha dhambi dhangu[emoji124]usije kunionea gere bure, maana ukiachana na kuvuta ugoro wangu sina tena kingine nafanya [emoji2957]
Ndio maana umeamua kuuza bandari sio? Si biashara hiyo?Watu wengi humu mawazo ya utumwa tu.
Ndiyo maana Waarabu na Wahindi wanatupiga mabao.
Wao wanafikiria wafanye biashara gani , waajiri watu wangapi. Nyie mnafikiria kuwa watumwa?
Huo ndiyo ukweli. Fikiri.Jiheshimu mtu mzima hovyoo!