Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Kwanza the taste is the atitude of mind!. Tumeishi South the food looks so tasty, I never enjoyed the South African meals, ugali wao wanaita pulp they are bulky but tasteless!. Sasa sisi watu wa kula kula nimerudi second time with another friend, umefikia the same place the same club mpishi kakuona anaamua kukuletea chakula kumbe wewe umepanga kubadili mboga hivyo unazuga umeshiba!. At the same time rafiki uliye nae anapendezewa, una mu introduces. Next day jamaa anakuambia the food was so delicious!.

Hii imenikuta kwa Ethiopian restaurants, mapishi ya Wahabeshi, the foods looks so tasty but..., hata Wasomali na Wanyarwanda!.

Halafu Baganda... ni hatari ya danger kama Vyakula vya Kihaya, nsenene zisikie tuu!.

Kwa Bongo, vyakula vya Kitanga... so delicious, ila pia kuna vyakula kama vya Kizaramo, Lindi na Mtwara, they don't look so tasty but...

Hivyo nika concludes the taste is just an atitute of mind ila pia environments inachangia, vyakula vya tropical Africa ni very hot, vyakula vya kizungu, very cold!.

Kuna mpishi fulani wa Tanga ni Dr. Tulikutana JKT Makotupora, anapikia mitunduruni, asali itasubiri.

Baada ya JKT akaenda kusoma medicine Urusi Rostov kwe barafu. Mimi niko US, wakati wa likizo, akanialika, akajitahidi kupika yale yale mapishi ya Kitanga, ile asali sikuiona tena!. Imepotea!. Alipomaliza Shule akarudi Bongo, nikamfata Tanga, nikapikiwa, huwezi amini, utamu wa vyakula vya Kitanga kitanga ukarejea!. Akaja kuolewa, nami nikaoa. Baadae akahamia nchi fulani ya baridi, siku niko kule FB status ikamuonyesha, akanijia juu unawezaje kuja hunitafuti!, nikamwambia niliogopa mke wa mtu!. Kumbe Mr. wake amesafiri!, si akaamua kuja hotelini kwangu!. Ndio uzuri wa urafiki wa no strings attached, kama utani vile, mara tulipasha kiporo!, but I found nothing!, sijui ni ile guilty conscious, mbona most the forbidden fruits is the sweetest, so nikajiuliza why?. Niliporejea US kwa mali zangu mwenyewe ndio nikapata uthibitisho, chakula cha hot weather ni hot, na chakula cha cold weather ni cold hata kama utakipasha na microwave!.

Kiukweli kama ni kula!, watu tumekula hadi misosi ya Bungeni, Ma RC na vyakula vya ubalozini zile party za Watanzania... tumekula sana!.
P
Kaka Mimi niki taka oa Nita tazama vyakula kutoka tanga, tabora, Ethiopia, au somalia hapo.

Hizo sehemu zina vyakula vyenye ladha murua. Sana, hata wapishi wajua kazi yao.
 
Wanabodi,

Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri.

Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling na eating delicious meals na feasting on anything good! Yaani napenda sana kusafiri na kula vitu vizuri.

Mastori.

Nikiwa shule nilipenda kusomea sheria ili niwe mwanasheria, lakini kwa vile nilikuwa kijana ambaye damu inachemka sana, nikiwa sekondari ya Ilboru, na baridi la mlima Meru, nikajikuta sijatulia hivyo kukosa division 1, ya kuingia sheria.

Enzi zetu ukimaliza form six lazima upite jeshini JKT kwa mujibu wa sheria, na kufuatia mimi kusoma Shule za boys only, Tambaza na Ilboru, jeshini ndio sehemu yangu ya kwanza ya ujana kuchanganyika na wasichana.

Nilipangiwa JKT Makotupora Dodoma, mabweni ya kiume waliita Ngorongoro na ya kike Serengeti. Japo wengi jeshini waliona ni mateso lakini baadhi yetu ile kuangalia tuu wanyama wa Serengeti, kwetu raha!.

Kwa vile napenda kula, JKT ndiko nilikoanza kuharibikia maana misosi ni ya kumwaga!. Ilikuwa ni kata mti, panda mti, unajilia tuu!.

Kufuatia kuona raha sana jeshini, mtu ukikipenda kitu unakifanya vizuri kwa moyo wa kujituma, hivyo jeshini nikawa a very good performer kwenye somo la kulega shabaha, yaani nilikuwa sharp shooter, nikilenga, nagonga, na hit the bull!. Post za chuo kikuu zilipotoka nimekosa sheria!.

Hivyo baada ya kumaliza JKT nikapelekwa moja kwa moja kujiunga na JWTZ na kupiga deppo mpya ya JW pale Airwing Ukonga kusubiria kwenda cadet.

Jeshini JWTZ ndipo nikajigundua sijatulia kupokea kila amri, jeshi linataka nidhamu ya hali ya juu, mchana ni mafunzo na usiku ni kupumzika, kufuatia mimi kupenda kula, ikawa mchana ni mafunzo na usiku ni hakuna kulala!, ni unakimbizana na misosi ya mitaani!.
Jeshi likanishinda!.

Ndipo nikajiunga na chuo cha uandishi wa habari TSJ enzi hizo kiko Ilala Bungoni. Serengeti na Ngorongoro za TSJ ziko mkabala, hivyo kwa upande wa misosi ni kujilia tuu!. Kumaliza TSJ nikapostiwa RTD, na kujichukulia jumla ka swala fulani ka TSJ.

Kazi ya uandishi wa habari inahusisha kusafiri sana, ni trips na trips na kila nikisafiri mahali popote hupendelea sana kula the local foods za mahali hapo.

Japo baadaye, huku nikiwa ni mwandishi wa habari, nikikuja kusoma sheria, lakini kufuatia kupenda trips na kula, niliendelea na kazi ya uandishi wa habari, ila sasa naelekea 60, nimeanza kuzeeka, hivyo kupunguza kula maana meno hayawezi tena kutafuna sana nyama, labda vitu laini laini kama maini na vi spring chicken mara moja moja!.

Vyakula tofauti tofauti vina tastes tofauti tofauti, kuna vyakula kwa kuvitazama tuu kwa macho unaviona they look good to taste hivyo ukila utafaidi lakini unapokula unakuta ni tasteless, na kuna vyakula kusema ukweli ukivitazama machoni kama zile nyama za mnadani, they don't look so good au mazingira kama ya kwa Mromboo pale Arusha, mazingira ni horrible fulani but the meat is so good, so tasty!, ukila una enjoy!, hivyo don't judge the book by its cover!.

Wewe unaweza kukumbuka baadhi ya vyakula ulivyokula vya makabila, jamii, na mataifa mbalimbali? Vipi ulifaidi, ukikumbuka unajisikia raha?

Kwa upande wangu nimewahi kula vyakula vya makabila haya, jamii hizi na mataifa haya;
  • Moshi Wachagga wa Kirua Vunjo​
  • Moshi Machame​
  • Moshi Kibosho​
  • Moshi Siha​
  • Moshi Wapare​
  • Arusha Waarusha​
  • Arusha Wameru​
  • Arusha Wamasai​
  • Babati Wambulu​
  • Singida Wanyaturu​
  • Singida Wanyiramba​
  • Dodoma Wagogo​
  • Morogoro Wapogoro​
  • Morogoro Waluguru​
  • Morogoro Wakaguru​
  • Pwani Wadengereko​
  • Dar es Salaam, Wazaramo​
  • Iringa Wahehe​
  • Iriga wabena​
  • Iringa Wakinga​
  • Mbeya Wanyakyusa​
  • Songea Wangoni​
  • Songea Wanyasa​
  • Tanga Wasambaa​
  • Tanga Wadigo​
  • Tanga Wabondei​
  • Bukoba Wahaya​
  • Bukoba Wahangaza​
  • Lindi Wamachinga​
  • Mtwara Wamakonde​
  • Musoma Wajita​
  • Tarime Wakurya​
  • Ukwerewe Wakerewe​
  • Mwanza Wasukuma​
  • Tabora Wanyawezi​
  • Zanzibar Wazanzibari​
  • Pemba Wapemba​
  • Mafia Wamafya​
  • Kigoma Waha​
  • Kenya Wakikuyu​
  • Kenya Wakamba​
  • Uganda Watoro​
  • Uganda Waganda​
  • Uganda Wanyankole​
  • Rwanda Wanyarwanda​
  • Burundi Warundi​
  • Zambia Wazambia​
  • Malawi Wamalawi​
  • Msimbiji Wasumbiji​
  • Angola wa Mulato​
  • Swaziland Wazwazi​
  • Lesotho Wasotho​
  • South Africa Wazulu​
  • South Africa Wakhosa​
  • South Africa Africans​
  • Zimbabwe wa Matebele​
  • Malawi Wamaawi​
  • Congo Wakongo​
  • Ghana Waghana​
  • Liberia wa Liberia​
  • Cote d'ivoire Wakote​
  • Ethiopia Wahabeshi​
  • Sudan ya Kusini Wasudani​
  • Somalia Wasomali​
  • UK Waingereza​
  • US Waamerica​
  • Swiss Wa Swiss​
  • Italy Wataliano​
  • Sweden wa Swedish​
  • Norway wa Norwegians​
  • Finland wa Fini​
  • Germany Wajerumani​
  • Poland wa Polish,​
  • Canada wa Canadian​
  • India Wahindu​
  • Russia Warusi​
  • China Wachina​
  • Japan Wajapan.​
Ukisafiri ukifika popote ukalala hata kwa usiku mmoja, hakikisha usiishie kula vyakula vya hoteli tuu, toka nje, walk around, grab a local taxi, madereva taxi wanajua wapi you can get a local good tasty meals, kama unapenda kula kila ukisafiri hakikisha you feast the good stuff kuonja difference taste!.

Kwa vile leo tumeanza Kwaresma, baada ya Kwaresma nitarejea kwenye uzi huu niwape mastori ya kwa upande wapi vyakula vya wapi ni vitamu na nilifaidi!.

NB. Kwa vile vyakula vipo vya aina nyingi, na vinaliwa wakati tofauti tofauti, mfano cha asubuhi ambacho ni breakfast, cha mchana ambacho ni lunch, na cha usiku ambacho ni dinner, it's worldwide believed kuwa kitamu zaidi sio cha asubuhi au cha mchana bali ni cha usiku!, hivyo hapa mimi nazungumzia kile 'chakula cha usiku!'!, na ndio maana mialiko mingi ya chakula cha usiku hutanguliwa na kualikwa dinner au kutolewa out, kisha unaishia kujilia!.

Kwa leo nawatakia Kwaresma njema.

Paskali
Loh! Paskali sikupata wasaa wa kusoma huu Uzi wako wa kula vyakula tofauti tofauti toka makabila tofauti tofauti hapa nchini na pia nje ya nchi. Nakumbuka tulipokuwa pale Kibiti na Ikwiriri wakati ukiwa na RTD kwenye Disco, kulikuwa na vyakula vitamu vya Wandengereko. Nina hakika ulivifaidi sana. Miaka inakwenda, ila nadhani unayo kumbukumbu ya vyakula hivyo. Umenifurahisha sana kwa kunikumbusha enzi hizo. The good old days!
 
Loh! Paskali sikupata wasaa wa kusoma huu Uzi wako wa kula vyakula tofauti tofauti toka makabila tofauti tofauti hapa nchini na pia nje ya nchi.
Ni kweli kama ni kula tuu, kiukweli tumekula sana, tungekuwa Wachagga saahizi tuna maghorofa kadhaa tumejenga, wakati wenzetu wanajenga kwenda juu,sisi wengine tumejengea chini!.
Nakumbuka tulipokuwa pale Kibiti na Ikwiriri wakati ukiwa na RTD kwenye Disco, kulikuwa na vyakula vitamu vya Wandengereko. Nina hakika ulivifaidi sana. Miaka inakwenda, ila nadhani unayo kumbukumbu ya vyakula hivyo. Umenifurahisha sana kwa kunikumbusha enzi hizo. The good old days!
Duu..., Kutata ,@kutatabhetakule, umetisha!, umenikumbusha mbali!, vyakula vya Wandenge!, hatari!, mtu unamaliza ile standard three course meal, unaletewa desert, unajikuta unabugia tena bila hata kunawa!, na Ikwiriri ndio hatari zaidi , sio vya Wandenge tuu, hadi vya Wabulushi!, tumeacha vialama alama hapa na pale!, kusema ukweli mtu kuwa mtangazaji wa RTD enzi za redio moja halafu wewe ndio DJ, kiukweli ni mitihani!.
P
 
Sema tanga inasifiwa sana nina shauku ya kujaribu CHAKULA cha tanga even though najua hakita reach the hype. Duh inapewa promo mnoo
 
Wanabodi,

Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri.

Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling na eating delicious meals na feasting on anything good! Yaani napenda sana kusafiri na kula vitu vizuri.

Mastori.

Nikiwa shule nilipenda kusomea sheria ili niwe mwanasheria, lakini kwa vile nilikuwa kijana ambaye damu inachemka sana, nikiwa sekondari ya Ilboru, na baridi la mlima Meru, nikajikuta sijatulia hivyo kukosa division 1, ya kuingia sheria.

Enzi zetu ukimaliza form six lazima upite jeshini JKT kwa mujibu wa sheria, na kufuatia mimi kusoma Shule za boys only, Tambaza na Ilboru, jeshini ndio sehemu yangu ya kwanza ya ujana kuchanganyika na wasichana.

Nilipangiwa JKT Makotupora Dodoma, mabweni ya kiume waliita Ngorongoro na ya kike Serengeti. Japo wengi jeshini waliona ni mateso lakini baadhi yetu ile kuangalia tuu wanyama wa Serengeti, kwetu raha!.

Kwa vile napenda kula, JKT ndiko nilikoanza kuharibikia maana misosi ni ya kumwaga!. Ilikuwa ni kata mti, panda mti, unajilia tuu!.

Kufuatia kuona raha sana jeshini, mtu ukikipenda kitu unakifanya vizuri kwa moyo wa kujituma, hivyo jeshini nikawa a very good performer kwenye somo la kulega shabaha, yaani nilikuwa sharp shooter, nikilenga, nagonga, na hit the bull!. Post za chuo kikuu zilipotoka nimekosa sheria!.

Hivyo baada ya kumaliza JKT nikapelekwa moja kwa moja kujiunga na JWTZ na kupiga deppo mpya ya JW pale Airwing Ukonga kusubiria kwenda cadet.

Jeshini JWTZ ndipo nikajigundua sijatulia kupokea kila amri, jeshi linataka nidhamu ya hali ya juu, mchana ni mafunzo na usiku ni kupumzika, kufuatia mimi kupenda kula, ikawa mchana ni mafunzo na usiku ni hakuna kulala!, ni unakimbizana na misosi ya mitaani!.
Jeshi likanishinda!.

Ndipo nikajiunga na chuo cha uandishi wa habari TSJ enzi hizo kiko Ilala Bungoni. Serengeti na Ngorongoro za TSJ ziko mkabala, hivyo kwa upande wa misosi ni kujilia tuu!. Kumaliza TSJ nikapostiwa RTD, na kujichukulia jumla ka swala fulani ka TSJ.

Kazi ya uandishi wa habari inahusisha kusafiri sana, ni trips na trips na kila nikisafiri mahali popote hupendelea sana kula the local foods za mahali hapo.

Japo baadaye, huku nikiwa ni mwandishi wa habari, nikikuja kusoma sheria, lakini kufuatia kupenda trips na kula, niliendelea na kazi ya uandishi wa habari, ila sasa naelekea 60, nimeanza kuzeeka, hivyo kupunguza kula maana meno hayawezi tena kutafuna sana nyama, labda vitu laini laini kama maini na vi spring chicken mara moja moja!.

Vyakula tofauti tofauti vina tastes tofauti tofauti, kuna vyakula kwa kuvitazama tuu kwa macho unaviona they look good to taste hivyo ukila utafaidi lakini unapokula unakuta ni tasteless, na kuna vyakula kusema ukweli ukivitazama machoni kama zile nyama za mnadani, they don't look so good au mazingira kama ya kwa Mromboo pale Arusha, mazingira ni horrible fulani but the meat is so good, so tasty!, ukila una enjoy!, hivyo don't judge the book by its cover!.

Wewe unaweza kukumbuka baadhi ya vyakula ulivyokula vya makabila, jamii, na mataifa mbalimbali? Vipi ulifaidi, ukikumbuka unajisikia raha?

Kwa upande wangu nimewahi kula vyakula vya makabila haya, jamii hizi na mataifa haya;
  • Moshi Wachagga wa Kirua Vunjo​
  • Moshi Machame​
  • Moshi Kibosho​
  • Moshi Siha​
  • Moshi Wapare​
  • Arusha Waarusha​
  • Arusha Wameru​
  • Arusha Wamasai​
  • Babati Wambulu​
  • Singida Wanyaturu​
  • Singida Wanyiramba​
  • Dodoma Wagogo​
  • Morogoro Wapogoro​
  • Morogoro Waluguru​
  • Morogoro Wakaguru​
  • Pwani Wadengereko​
  • Dar es Salaam, Wazaramo​
  • Iringa Wahehe​
  • Iriga wabena​
  • Iringa Wakinga​
  • Mbeya Wanyakyusa​
  • Songea Wangoni​
  • Songea Wanyasa​
  • Tanga Wasambaa​
  • Tanga Wadigo​
  • Tanga Wabondei​
  • Bukoba Wahaya​
  • Bukoba Wahangaza​
  • Lindi Wamachinga​
  • Mtwara Wamakonde​
  • Musoma Wajita​
  • Tarime Wakurya​
  • Ukwerewe Wakerewe​
  • Mwanza Wasukuma​
  • Tabora Wanyawezi​
  • Zanzibar Wazanzibari​
  • Pemba Wapemba​
  • Mafia Wamafya​
  • Kigoma Waha​
  • Kenya Wakikuyu​
  • Kenya Wakamba​
  • Uganda Watoro​
  • Uganda Waganda​
  • Uganda Wanyankole​
  • Rwanda Wanyarwanda​
  • Burundi Warundi​
  • Zambia Wazambia​
  • Malawi Wamalawi​
  • Msimbiji Wasumbiji​
  • Angola wa Mulato​
  • Swaziland Wazwazi​
  • Lesotho Wasotho​
  • South Africa Wazulu​
  • South Africa Wakhosa​
  • South Africa Africans​
  • Zimbabwe wa Matebele​
  • Malawi Wamaawi​
  • Congo Wakongo​
  • Ghana Waghana​
  • Liberia wa Liberia​
  • Cote d'ivoire Wakote​
  • Ethiopia Wahabeshi​
  • Sudan ya Kusini Wasudani​
  • Somalia Wasomali​
  • UK Waingereza​
  • US Waamerica​
  • Swiss Wa Swiss​
  • Italy Wataliano​
  • Sweden wa Swedish​
  • Norway wa Norwegians​
  • Finland wa Fini​
  • Germany Wajerumani​
  • Poland wa Polish,​
  • Canada wa Canadian​
  • India Wahindu​
  • Russia Warusi​
  • China Wachina​
  • Japan Wajapan.​
Ukisafiri ukifika popote ukalala hata kwa usiku mmoja, hakikisha usiishie kula vyakula vya hoteli tuu, toka nje, walk around, grab a local taxi, madereva taxi wanajua wapi you can get a local good tasty meals, kama unapenda kula kila ukisafiri hakikisha you feast the good stuff kuonja difference taste!.

Kwa vile leo tumeanza Kwaresma, baada ya Kwaresma nitarejea kwenye uzi huu niwape mastori ya kwa upande wapi vyakula vya wapi ni vitamu na nilifaidi!.

NB. Kwa vile vyakula vipo vya aina nyingi, na vinaliwa wakati tofauti tofauti, mfano cha asubuhi ambacho ni breakfast, cha mchana ambacho ni lunch, na cha usiku ambacho ni dinner, it's worldwide believed kuwa kitamu zaidi sio cha asubuhi au cha mchana bali ni cha usiku!, hivyo hapa mimi nazungumzia kile 'chakula cha usiku!'!, na ndio maana mialiko mingi ya chakula cha usiku hutanguliwa na kualikwa dinner au kutolewa out, kisha unaishia kujilia!.

Kwa leo nawatakia Kwaresma njema.

Paskali
Uende Nachingwea Kwa wamwera kaka.
 
Uende Nachingwea Kwa wamwera kaka.
Nachingwea sijafika vyakula vya wamwera sijakula, ila siku hizi umri umesonga sana siwezi kutafuna nyama, siku hizi ni kula kwa macho tuu au mara moja moja sana vyakula laini laini kama maini!
P
 
Back
Top Bottom