It's about being truthful to yourself and very transparent to the society kuhusu mapito yetu tuliopitia, hata ukisikia jamaa amechomoka, utasikitika kwa sababu ulimfahamu, lakini sio kumlilia but to celebrate his life kuwa he lived his life to the fullest!. Mungu ametuleta duniani ili tule raha, ndio maana Eva akamegwa tunda akapata raha, akamlazimisha Adam kumega tunda, wakala raha na kuishia uzingizini!. Mungu ametuumba kula raha!, life is all about kula raha, hivyo kama ni raha tumekula sana na tumefaidi sana tuu!.
P