Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Mkasa upo hapo juu nilirudisha korosho baada ya kujua ni buku ten zinauzwa,nilijua ni buku[emoji16]

Sina pesa sina hela sina falanga sina mapene,nimecharara mbaya hapa nawaza buku nijiunge bando au nikanunue mihogo ninywe uji.
Tubataka story yako uliyojimwambafai bhana....
 
Hebu msinikumbushe machungu mimi😪😪kwa kawaida mwanaume kamili anakua na kile kiburi cha asili sasa kujimwambafai kupo humo humo kwenye kiburi cha asili, nilipata pisi moja ya kisukuma balaa imepanda hewani trako hiloo jicho kama anacum hivi balaa yani basi nilienda na swaga za kinyonge sana demu akaingia kingi tatizo likawa ni shoga yake na yule demu ananipondea balaa balaa yani khah!! Basi siku hiyo nina ka laki mbili na nusu kangu mfukoni wakataka niwatoe outs kwa mtego tu nami nikavimba kuwapeleka bagamoyo maaaayooooweeee😂😂😂 ndani ya masaa matatu kahela kameisha mpaka nikaomba msaada kwa mwana akanitumia mia mbili tena,hapo yule rafiki yake demu wangu haamini mpaka aibu anaona jinsi ninavyochana wallet kuuumbee,basi nikala mzigo swafi ila kesho yake niliumwa kichwa kwa mawazo helq zaanguuuu uuuwiii
😅😅😅😅kumbe ukiwa na hela demu yeyote unamla muda wowote
 
Ngojaa na mie niweke Kamkasa ila yangu ipo tofauti kdg

Kuna Manzi nilimkubali sana (Ktk WhatsApp status) nikaomba namba Nikapewa.

Nikaanza Urafiki nae tu huku nikijifanya sina kazi wala sina mishe yoyote town., Manzi ni mtu wa bata sana nikaw namchora tuu basi bhana

Mwezi wa 12 Siku ya Mkesha wa Mwaka mpya, nikamchek ile kumuuliza anasema yupo Wavuvi Camp.. Mie nikasema huko sipawezi nipo maeneo ya Kino kama utaweza njoo tuonane.

Basi.. Time ikasonga mishale ya saa 8usiku Manzi kanivutia waya upo wap? Nikatuma location dk 15 Manzi kafika na mwenzie mmoja.. Nikaona sio kesi nikawaambia agizeni (muda huo napiga zangu Krest ya buku) rafik yake akaagiza Jack daniels sijakaa saw ikaagizwa Absolute Vodka.. Sijakaa sawa ikapigwa simu Manzi anawapokea rafik zake wengine aliokuw nao kule..

Jumla wakaja kama 6 hivi na mie wa 7 nikaagiza Redblue wale wengine wakagoma kinywaji wakataka Shisha.. Nikavuta shisha mbili 20-20.. Kuchek saa naona saa 10 na bado wanaagiza tu vitu hovyo hovyo.

Basi.. Mie sikutaka mambo mengi nikamuita waiter aje na Bill na Mashine ya kulipa kwa card, nikalipa almost 350k within 2hrs.

Basi after kulipa nikaomba ruhusa niwahi home maana nina Mishe ya muhim asubuh sana., Manzi hakutegemea kama ningekuw na uwezo ule, hakutegemea physical appearance yangu, maana sikuwah mtumia picha. Hakutegemea the way nilivyo humble.. Mwisho nikatoka nje akanisindikiza akaona na Chuma nachosukuma ndio akawa hoi.

Tukaagana pale mie nikajipindua..

Mpk leo sijahangaika nae kuomba Papuchi san san analazimisha yeye nimle lkn mwamba walaaa sina time. Na mwendo ni ule Ule wa kujishusha..
Daah mpunga wako 350k ulienda bure! Sema mademu wa hivyo ni wale waswahili sana wanasema ngoja tumkomeshe huyu fala
 
Dah nakumbuku ilikuwa kibondo hiyo nipo na wanangu kama wanne iv na mimi watano tulikuwa tunacheki game ya simba na yanga kwenye bar moja iv ya wanajeshi sasa mimi na crew yangu huwa tukikaa sehem tunapendelea kunywa sana spirits hasa k vant sio kwamba pesa hamna pesa ipo sana tu ila ni pombe ambayo tulitokea kuipenda sana! Sasa wakat tumekaa tunaendelea kucheki game maana crew yetu wote ni yanga na tulikuwa tunakunywa k vant kubwa tuna share wote watano mbele yetu kuna jamaa mmoja alikuwa anakunywa serengeti light yeye alikuwa ni mshabiki wa simba


Sasa kwenye utani na kushangilia jamaa akawa kama anatumind iv mixer dharau nyingi mara jamaa akaropoka “ nyie vipi nyie kwanza mnakujaje sehem kama hizi kundi alafu mnakunywa k vant moja watu 5 mnajaza nafasi tu pisheni watu wenye pesa zao wakae hapo” dah haya maneno tulivyoyasikia tukaangaliana kwanza alafu tukacheka mimi nikasema ngoja nimuoneshe huyu jamaa kwamba sio kila anae kaa sehem nzuri akanywa kitu cha bei ndogo sio kwamba hana hela ni maamuzi tu!


Basi nikamwita mhudumu nikaongea kwa nguvu nikamwambia mpe huyo jamaa shabiki wa simba creti la bia anayo kunywa alafu mwambie shabiki wa yanga anae kunywa k vant amekununulia! Kweli jamaa akapewa creti na akaambiwa kuwa limetoka pale jamaa akawaka hamna pesa ya kuninunulia bia nyie akamwambia mhudumu rudisha nitanunua kwa pesa yangu kweli akatoa pesa nikarudishiwa hela yangu ya creti moja mara jamaa yangu mwingine na yeye akasema mpelekee creti jingine mhudumu akapeleka jamaa wa simba akajifanya kuvimba aka punch tena akasema pesa ninayo na nunua mwenyewe tukarudishiwa tena pesa yetu kwaiyo jamaa wa simba akawa amenunua creti 2 za bia bila kupenda kisa sifa mbele za watu! Mpira ukaisha tukawa tunaanza kusepa tupo tunaelekea parking mara ghafla tunaona jamaa anakuja kwa upole eti tukamuombee kaunta wamrudishie japo pesa ya creti moja sabab creti mbili hawezi kunywa zote tukacheka sana tukamwambia we komaa tu mzee tukamuacha pale jamaa anatia huruma sana sifa zimemponza


Meneja wa bar alikuwa captain alimwambia bia tumeshauza pesa haiwezi kurudi [emoji28][emoji28]
 
Mzee mwenzangu unaweza kuomba bank wakuongezee kiwango ila unatoa kwa mafungu haitoki mara moja.
Mzee mwenzangu, kwanini niwaombe wakati hela ni yangu? Hili libank langu kwa ATM mwisho ni 1.2m kwa siku.

Dawa ni kulihama tu

Unaweza kupishana na bahati mjini....
 
Niko na toto la Nai tunapigiana simu tu tukaahidiana tu meet easter holiday, zile skukuu zinaongozana siku kama nne hvi, sasa nikakata zangu ticket presisheni ya go pekeake ilikua kama laki saba hivi, kurudi nitarudi zangu na tahmeed sio kesi,

Basi siku ya safari imefika naenda zangu airport kwa mbwembwe huku na ma whasap video kalling na mchuchu, naye alikua ndio yuko saluni anatengeneza nywele a bling bling aje kunipokea Jomo kenyata ashawapanga na mabeshte zake,

ile kufika airport tu mda wa check inn ulishapita na milango ishafungwa, mzee baba full kupanik omba sana wakaniambia ni amend ticket nipande ndege nyingine, nikamweleza mchuchu akaniambia nisimuongeleshe ye anachojua mi nafika leo yaani alishajikoki, Mzee nikatoka kwa nje pale mpaka kaunta ya presesheni na mkuta mdada, akaangalia akaniambia ndege ipo ya saa moja ila nafasi ilikuepo ni bizness klass!
Dooh nikacheki na mchumchu akaniambia yaani nisimuongeleshe kitu chochote na atashika simu tu nikiwa kwa ndege,

Mzee baba nikamuuliza niongeze ngapi dada mhudumu akajibu laki saba Halahaulaaaa!
Kulinda heshima nikaenda palekuna magari magari ya atm nikatoa akiba yangu nilioweka inilinde nikirudi nikavurua nikakata, ikabidi niisubirie palepale imagin toka saa tisa hadi saa kumi nambili!
Ahaaaaaa mbavu zangu, lakini ulivyofika nai so mambo yalikuwa super?
 
Muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],una roho ngumu
Haya Maisha bila kujitoa ufahamu na kujikana hayaendi vile unataka, Mmoja katika hao nilidumu Nae katika mahusiano almost miaka miwili, Huyu ilikua Morogoro mjini miaka ya 2013 isivyo bahati Nilipoondoka Morogoro na Mahusiano yakafa. Natamani Nimtaje hata Jina ila Sitaweza. Siku Namuona Kavaa Kininja Full nikasema hapa Lazima nione yaliyomo ndani. Alikua mzuri wa Umbo na Tabia. Sijui alinipendea nini yule dada, ama ujasiri wangu wa kukomaa na nisichokiona [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkasa upo hapo juu nilirudisha korosho baada ya kujua ni buku ten zinauzwa,nilijua ni buku[emoji16]

Sina pesa sina hela sina falanga sina mapene,nimecharara mbaya hapa nawaza buku nijiunge bando au nikanunue mihogo ninywe uji.
Tangu useme unavaa Majuba umeshanichanganya, hapa Nataka nikushauri ununue bando ili Niendelee kukuona online wakati Kula ni Muhimu kwa mwanadamu... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji41][emoji41][emoji125][emoji125] Ngoja Ni log out. Ninakoelekea kubaya.
 
Hii inakubalika kabisa, Mimi nilikua Kasulu, nikawa na mazoea kwenda Bar kuangalia mpira, Kila nikienda pale naagiza maji, basi wahudumu wakawa wananipotezea. Hawana mzuka wa kunihudumia.

Basi, nikarudi Tena nakumbuka ilikua game ya Simba, wakagoma kunipa hata Kiti, akanihudumia Dada mmoja hakua na makuu, kwa hasira nikaagiza Castle Light 20. Nikamwambia Kaa hapa, hizi ni za kwako na yule mwenzio aliyenihudumia Jana.
Hahahahaha [emoji2957] sometimes you got to fight to prove you're a Man (Kenny G)
Mkuu Sisi wanywa maji bar huwa tunadharaulika Sana. Last year November nilikuwa Kasulu same story like yours lakini Mimi siku wanunulia wao nilienda na watoto wangu niliwanunulia kuku kila mmoja na kuku wake. Ingawa ziliwashinda maana kuku za Kiswahili nyama zao ngumu Sana na watoto wenyewe walikuwa wanakula ki sister duu.

Kesho Yake ndio ikawa mechi ya yanga na club Africain. Walinipokea Kwa heshima licha ya kuwa nilinunua maji Tu.

Maeneoo ya Kwa ndituye pale Kasulu mjini.
 
Back
Top Bottom