Kudadadeki..[emoji23][emoji23]
Siku hiyo nimeweka mkeka wa tsh 1000 nikambabua kanjibahi 480k, balaaa lake ule usiku sasa..
Nikamuita mwanangu mmoja pale Rainbow njia panda ya area D, alafu kuna pisi moja matata ikakatiza mbele yangu, nikaaita then nikawaitia muhudumu wa masanga na msosi nikamwambia wasikilize hawa! Baada ya yote nikaiambia ile pisi hauna mwaenzako mzuri kama wewe umwambie aje hapa? Akasema akampigia mimi hapo nikawa nimeshajimikilisha hii pisi hiyo iliyoitwa iwe pisi ya mwana ili nae asikae kinyonge..
Pisi iliyoitwa ikatimba ila ikawa ni kali zaidi ya ilotangulia, mzee mzima tamaa ikanijaa na nnae kibunda cha kanji, nikaona yes naweza kuhamisha mlima. Kwenye harakati za kuhamisha mlima pisi ilotangulia ikamind sana ikatema shit za kutosha then ikambeba shost ake wahame kiwanja.
Baada ya mimi kuona nimeharibu nikalipa bills ili na sisi tuhame pale. Ile tunatoka nje na mwaangu nikakuta zile pisi zinapatanisha boda boda ili zing'oe! Basi mimi kwa jeuri na kujiamini kwa kibunda cha kanjibahi nikawafata nikawaambia wadada wazuri kama nyie hampaswi kuoada bodaboda, nikamuuliza dereva wanataka kwenda wapi hawa? Jamaa akaniambia The Bisto! Nikuuliza nauli sh ngapi? Jamaa akasema elfu 7, Mi nikatoka 10k nikamgea yule boda nikamwambia achana na mademu endelea na abiria wengine hawa tubaondoka nao sisi, jamaa kiroho sayona akapita hivi! Mi nikatafuta Bolt pale chaap tukaruka mpakaThe Bisto.
Nimefika pale nikaendela na jeuri zangu! Nikaitisha shisha na Jaggermeister kubwa na vichanganyio vyake kwa aliyetaka kuchanganya!
Tukaendelea na bata letu pale sasa kuna muda nikachomoka kwenye toilet, wakati natoka ile ambayo ilikuja kwa ajili ya mshkaji nikakuta inanisubiri nje ya toilets! Mara paap ikanivuta, ikanikata kiss moja matata la mdomo! Ikambia chukua namba yangu alafu uhame hapa utapokwenda utaniambia!
Mi nikarudi zangu mezani nikachomoa 30k nikamshikaisha mwanangu nikamwambia babuu hapa nishawake naweza kuwakimbia muda wowote! Nikazuga kimtindo nikachomoka kama naenda toilet vilee kumbe ndo nahama kama pisi ilivyotaka! Nikatafuta kiwanja kikingine nikatoa code kwa ile pisi, haikupita hata dk 15 pisi ikafika ikanaambia tutafute Lodge tukapumzike. Mzee baba sikupoteza muda tukanyaka zetu Lodge chaap.. Nikajichakatia Mbususu saaaafi mpaa morning! Pisi nikaipa posho yake kwa kazi nzuri iliyoifanya ikapita hivi[emoji23][emoji23]
Nakuja kuhesabu kilichobaki sasa, Nna 16500 tu.. naikaikumbuka sana ile 30k nlomgee mshkaji wangu[emoji28][emoji28][emoji28]