Watoto pia ni watundu sanaNdo maana wamedumaa kimaisha sababu ya midomo yao, mtoto wa miaka 11-15 unampaje adhabu ya kuita mvua nyakati za kiangazi! Au kuchimba kisiki akishindwa unaanza kujifanya nabii eti jambazi wewe, umeshindikana, acha waendelee kudod
Ni utoto tu haitoi uhalali wa kutamka maneno mabaya juu yakeWatoto pia ni watundu sana
Enhee,,au basiNiliambiwa nisipo angalia nitakufa na ukimwiπ
Dada jaman,, wasamehe walimu wetu mweeeeeNdo maana wamedumaa kimaisha sababu ya midomo yao, mtoto wa miaka 11-15 unampaje adhabu ya kuita mvua nyakati za kiangazi! Au kuchimba kisiki akishindwa unaanza kujifanya nabii eti jambazi wewe, umeshindikana, acha waendelee kudoda
Mwezi wao huu mpk wanyookeDada jaman,, wasamehe walimu wetu mweeeee
yaani hadi nawahurumia kabisa ujueMwezi wao huu mpk wanyooke
π π π wadau wamewageuza begi la mazoezi ya ngumi,yaani hadi nawahurumia kabisa ujue
π π π ππ»ππ»Darasa la saba hapo mikocheni..rulikiwa wasumbufu sana. Tunaruka ukuta tunaroka hatukai masomo ya jioni, siku moja ilipita roll call jioni hatupo kesho tukakamatika kupelekwa ofisini Chapman sana. Mwalimu kondo akalitoa la moyoni.
"Jinsi mnavyotusumbua nasema na ninyi mkikua mtakuja kuwa waalimu, mtalipwa kwa haya mnayotufanyia".
Kweli ni mwalimu lakini sijawahi kusumbuliwa. Na ninafurahia kazi yangu ingawa haikuwa kazi ya ndoto yangu.
Kiwembe unao bado tu kufa wakwetu?au hunaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Niliambiwa nisipo angalia nitakufa na ukimwiπ
Wa kwetu hiyo kitu siwezi kuwa nayo nipo maskini ππππKiwembe unao bado tu kufa wakwetu?au hunaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Sawa wakwetuWa kwetu hiyo kitu siwezi kuwa nayo nipo maskini ππππ
siku wakikuona njiani na kukufahamu,utapigwa mawe nakwambia ππ π π wadau wamewageuza begi la mazoezi ya ngumi,