Kuna nini dada wa zile mambo zetuπππππEnhee,,au basi
umefundishwa na joseph gregory?Nanukuu kauli ya mwalimu wangu.
"Baba yako aliuza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shuleni"
Mimi niliwahi kuambiwa na mwalimu wa kiswahili....... "ww ni ushuzi wa bata"Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.
Mojawapo ya Maneno hayo ni kama βHutaweza kufanikiwa hata siku mojaβ.
Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.
Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.
Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.
Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana wamedumaa kimaisha sababu ya midomo yao, mtoto wa miaka 11-15 unampaje adhabu ya kuita mvua nyakati za kiangazi! Au kuchimba kisiki akishindwa unaanza kujifanya nabii eti jambazi wewe, umeshindikana, acha waendelee kudoda
Kama mimi huyo mwalimu alieniambia kifupi nyundo kafwate chaki nilikuja kumtomb@ binti yake Texas marekani.Wanaotamkiwa maneno mabaya mara nyingi hufanikiwa..wakikumbuka yale maneno wanazidi kupambana.
π π π π Hongereni kwa kuwa pamoja hadi leo.Wakati nipo f4 madam wa civics aliniambia
βHutafanikiwa kumaliza f4 na kufauluβ
Tulikua tunasoma na mtoto wake wa kiume na alikua mpenzi wangu na alifahamu baada ya kumaliza f4π
Matokeo yalitoka nikafaulu mtoto wake alifeli, kasoma kwa kuunga unga lakini hajafika chuo kikuu, na nipo na mwanae mpaka leo. Mama yule wa kichagga ananionea aibu tu.π
Babu wa siasa, Mr mbago alishawah kuniambia "hio pesa wazazi wako wanalipia ada ni Bora wakanunue mkaa ukapikia nyumbani"Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.
Mojawapo ya Maneno hayo ni kama βHutaweza kufanikiwa hata siku mojaβ.
Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.
Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.
Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.
Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.