Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulizidi nawe 😂😂😂Utakuwa jambazi
R.I.P Patel
Neno baya sanaMbona sio neno Baya
realMamy watu tumevumilia mengi sana.😅😅😅😅
Hapana ila namfahamuYeah,kama jina lako ,mjukuu wa patel ? Maana I'D ni jina la shule niliyopita.
Mwalimu wako alikuwa ananiita "zungu" sasa siku ya tukio ananiambiaUlizidi nawe 😂😂😂
Oh! Sawa sawa.Hapana ila namfahamu
Je umefanikiwa?Mie niliambiwa sitafanikiwa hata siku moja 😅😅😅
Utakuwa una makosa madogo magodo kwenye kazi yako hahahahaMwl wa physics alinitoa darasa la wanafunzi wanaosoma masomo ya science kwasababu sikuwa napaform vizuri somo lake, bahati mwalimu wa chemistry alipita akauliza huyo vipi Tena?
Baada ya maelezo akatoa maoni kuwa nafanya vizuri sana kwenye somo lake kwaiyo tusimpoteze huyu mtoto tumsaidie tu kidogo.
Kwasasa Mimi ni daktari nauliza hapa ni wapi??
I'm not perfect ila nafanya kazi katika ufanisi mkubwa ninaowaudumia wanasema wenyewe, ila point ni kwamba usimuhukumu mtu mapema mpe muda unaweza kukataa jiwe walilolikataa waashi likawa jiwe kuu la pembeni.Utakuwa una makosa madogo magodo kwenye kazi yako hahahaha
Humans are dynamicI'm not perfect ila nafanya kazi katika ufanisi mkubwa ninaowaudumia wanasema wenyewe, ila point ni kwamba usimuhukumu mtu mapema mpe muda unaweza kukataa jiwe walilolikataa waashi likawa jiwe kuu la pembeni.