Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Nilijua nimesikia Vyote, mchanga? Mshangazi dot com nieleweshe mimi Sijaelewa
 
Hapo namwandaaje ili asijihisj namnyanyapaa
Rafiki wa kweli ni yule ambaye hakufumbii macho wala kukupaka mafuta. Umeshajua pisi inachangamoto yenyewe yawezekana haitambui hio changamoto sasa ni wajibu wako kumsaidia achukie asichukie ila wewe utakuwa umeshamsaidia kiroho safi.
 
Hata sisi mashangazi hili hatujawahi kukutana nalo wala kulisikia, mchanga tena 😳
 
Yaani wee acha tu, Na ndo ujikute ushahudumia Sana mpk mmefika kwny date ya namna hiyo. KiHASIBU unajihesabu umepata hasara
😀😀😀😀😀 akiii hadi ukajitukana huo muda bora ungeutumia na mam G wako hata kwa style moja hiyo hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…