Mkuu hii ishanikuta yani ni kama vijisesele sesele flani vinaugasi gasi uume yani hadi unakufa ganzi asee inakera sana sema nahisi wengi hawajakutana nao ndo maana wanaona kama kitu kigeni..Hata sijui unafananaje mkuu,
Ila nikiingiza ndo nauskia unavoscratch balaa
Ni hivyo hivyo ulivoelezea, uume unauma Balaa utadhani ulkua unapigwa msasaMkuu kuna nwaka 2012 hadi 2013 nilikuwa na mpenzi wangu...kila tukimaliza kufanya tendo la ndoa kwa mara kwanza nahisi maumivu kama kuna kitu kimeumiza dudu langu..hivyo inaleta ugumu kurudia tendo la ndoa mara ya pili.
Hivyo nilidumu nae kwa mwaka mzima ila tulikuwa tunafanya mapenzi mara moja tu kila tukikutana make nikitaka kuruduia nahisi maumivu kama nilikua nakwaruzwa wakati nafanya mapenzi. Au ndiyo mchanga unayosema? Make mpaka tunaachana sikujua tatizo ilikuwa ni nini.
KategeshewaHata sijui unafananaje mkuu,
Ila nikiingiza ndo nauskia unavoscratch balaa
Sahii kabisa,Mkuu hii ishanikuta yani ni kama vijisesele sesele flani vinaugasi gasi uume yani hadi unakufa ganzi asee inakera sana sema nahisi wengi hawajakutana nao ndo maana wanaona kama kitu kigeni..
Usiombe awe na ngoma mzee, unaumaliza mwendo kijana mapema sanaNi hatari mkuu, raha yote ya sex inakata kabisa Kwa Yale maumivu