Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.

Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!

Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
 
FB_IMG_16918717305631475.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16918717305631475.jpg
    FB_IMG_16918717305631475.jpg
    20.7 KB · Views: 7
Zipo nyingi but naion hii ndio weirdest one 😆😆😆

Nilivyokua nikipita sehem alaf nisikie harufi nzuri ya msosi upo jikon basi nitapata hisia kali sana ya kwamba " it's mimi niko na familia yangu ( my wife and children) huku wife anarekebisha jikoni " hivyo nikaona huu utu uzima huu unaninyemelea
 
Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.

Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!

Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
25 Years now.

Nimechukua full responsibility ya maisha yangu, nilipata taabu mwanzoni ila kwa sasa nimeshazoea kua ukubwa ni majukumu na sasa n wakati wa kujukumika
 
Back
Top Bottom