Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini [emoji848]pole usharogwa tayariNimeanza kukosa usingizi kuna internal force inanieleza natakiwa nioe na nipate mtoto muda huu
Hii nayo inaumiza kichwa[emoji23][emoji23],Nimeanza kukosa usingizi kuna internal force inanieleza natakiwa nioe na nipate mtoto muda huu
Ngoja nikuongeze stress 28yrs Nina mke na watoto wawili differ mother..Nikifikiria na hii 28 yangu afu bado nasubiri ajira,yaani kwakweli huwa nachanganyikiwa nikikumbuka age yangu
Kwamba kuna mwanamke kamroga??
Ndio hali ninayopambana nayo sasa hivi, kiukweli nashangaa sana ninapopata shikamoo kubwakubwa, Maana kuna shikamoo ambazo zinakupumbaza kidogo!!Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Hahahhahahhh wewe[emoji23],Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Hakuna alieniloga mkuu kwa sasa sina hata demu sasa kaniloga nani?
Kwahiyo hizo Gari na nyumba utazikuta huko KaburiniNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Kabla hujapata kazi unasema ukipata kazi utakua na furaha, ukishapata kazi unapata mawazo mapya mfano kujenga unaamini ukiwa na nyumba utakua na furaha, ukifanikiwa kujenga unaanza kukosa furaha na kupata mawazo mapya mfano kujiendeleza kielimu, kabla hujamaliza kusoma unaona umri hausimami na bado hujaoa wala huna mtoto unakosa tena furaha unaamini ukipata mke na mtoto utakua na furaha.Hii nayo inaumiza kichwa[emoji23][emoji23],
Ni kweli kabisa, sema kila jambo na wakati wake.Kabla hujapata kazi unasema ukipata kazi utakua na furaha, ukishapata kazi unapata mawazo mapya mfano kujenga unaamini ukiwa na nyumba utakua na furaha, ukifanikiwa kujenga unaanza kukosa furaha na kupata mawazo mapya mfano kujiendeleza kielimu, kabla hujamaliza kusoma unaona umri hausimami na bado hujaoa wala huna mtoto unakosa tena furaha unaamini ukipata mke na mtoto utakua na furaha.
Kwa kifupi binadam kuridhika ni ngumu sana kila siku unahitaji uwe bora zaid ya jana na kuna muda unakosa usingizi kabisa.
Furaha ni kutimiza wajibu wako Kwa wakati husikaKabla hujapata kazi unasema ukipata kazi utakua na furaha, ukishapata kazi unapata mawazo mapya mfano kujenga unaamini ukiwa na nyumba utakua na furaha, ukifanikiwa kujenga unaanza kukosa furaha na kupata mawazo mapya mfano kujiendeleza kielimu, kabla hujamaliza kusoma unaona umri hausimami na bado hujaoa wala huna mtoto unakosa tena furaha unaamini ukipata mke na mtoto utakua na furaha.
Kwa kifupi binadam kuridhika ni ngumu sana kila siku unahitaji uwe bora zaid ya jana na kuna muda unakosa usingizi kabisa.
Buku ya kamba nitakupa, na kabla hujanywa meza juice ya maviNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Wasukuma haoKilipoanza kuniota kitambi nilijikuta nasalimiwa na wazee kabisa .
Ukizingatia nilipo neno shikamoo wao wanahisi ni salamu kama "HABARI"
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukijitosa na kuamua kujaribu kuwa mkata cheni ya umasikini nyumbani unakua na furaha ya siku chache baada ya kutimiza jukumu moja hazizidi siku 14 jukumu jipya linaamka ndani yako muda mrefu unatumia kuwaza.Furaha ni kutimiza wajibu wako Kwa wakati husika
[emoji419][emoji419],Ukijitosa na kuamua kujaribu kuwa mkata cheni ya umasikini nyumbani unakua na furaha ya siku chache baada ya kutimiza jukumu moja hazizidi siku 14 jukumu jipya linaamka ndani yako muda mrefu unatumia kuwaza.
Tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kujiona nimeshakua mtu mzima ukiangalia nyuma hamna backup yoyote.
Ukijitosa na kuamua kujaribu kuwa mkata cheni ya umasikini nyumbani unakua na furaha ya siku chache baada ya kutimiza jukumu moja hazizidi siku 14 jukumu jipya linaamka ndani yako muda mrefu unatumia kuwaza.
Tangu nikiwa na miaka 19 nilianza kujiona nimeshakua mtu mzima ukiangalia nyuma hamna backup yoyote.