Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Show me the way brother. As of now am 30Am 45yrs, nimejenga nikiwa na 21yrs , now dar nna 4 houses ,
Ni rehma za allah
Mwaja juzi kasherehekea his 50th birthday,mimi binafsi mwaka 2001 alishakuwa maarufu kitambo na alikuwa hapungui 30Dah! ila we jamaa kwamba kipanya ana 52
Mkuu haya maneno makali sana, life is uncertaintyNikifika 31 sijajenga sina gari najiua
Ulitaka kumaanisha Rooney ni mdogo kwa Ronaldo?Ukubwa majukumu. Kuzeeka lazina, kuchakaa uamuzi
Ronaldo ni mdogo kwa Rooney
Masudi kipanya ana miaka 52, Dully sykes 42, Kikwete 73, mzee. Ruksa 98, Magufuli alikufa na 62, Skudu ana 30, Onyango 25. Umri ni namba tu usiogope
Uko sahihi kuna ile sense unahisi bado ya kukataa ukweli kwamba sasa umekua mtu mzima, hata mimi na fewl hii kituWakati Nina kama miaka 20 hivi Kuna brother mmoja alikuwa na miaka 26 na alikuwa hajaoa basi nikawa namshangaa sana kwann jamaa age imesogea alafu hata mke Hana.???????
Lahaulla kumbe nlikuwa najiongopea Bure Mimi nilikuja kupitia hiyo miaka na nikawa hata wazo la kuoa Sina na maisha hayajakaa sawa.!
Nimekuja kubutua na miaka 30 ndio huyo kuchukua jiko
Uzee Huwa unakuja ghafla sana !
Usishangae kumuona mwanaume na miaka 40 anatongoza bint WA miaka 16 ukamuona WA ajabu ni kuwa hata yeye anahisi hiyo 40 Hana na bado anajiona kama yupo 25.
Uzee haukubaliki wanangu
AiseeMdogo wangu wa mwisho[emoji3]
Pambana sana,na mtegemee MunguShow me the way brother. As of now am 30
Wanaukoo wamemroga ili aoe maana wanamuona anazurula tu huko mjini analofanya halieleweki .Kwamba kuna mwanamke kamroga??
But kuoa ni muhimu,na kuwa na family ni muhimu zaidi.
Wanaukoo wakoHakuna alieniloga mkuu kwa sasa sina hata demu sasa kaniloga nani?
Kaka , utayaweza mashambulizi yao wakija hapa ? Ukizingatia bado wana machungu ya kufiwa na role model waoWasukuma hao
Mdogi ndio,unaweza kugoogle utaonaUlitaka kumaanisha Rooney ni mdogo kwa Ronaldo?
Kinachokuchanganya nini sasa?....kwanini uogope maisha kiasi hicho?...Nikifikiria na hii 28 yangu afu bado nasubiri ajira,yaani kwakweli huwa nachanganyikiwa nikikumbuka age yangu
Kinachokuzuia kuoa kwa sasa ni nini ?....Nikifikisha 30 naoa haijalishi niwe stage gani ya kiuchumi. Mpenzi wangu wa wakati huo akinitema natafuta mwingine sivuki 31 bila jiko.