Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Kila nikihudhuria msiba huwa naangalia vile vibao vya makaburi halafu nalinganisha na umri wangu maana kuna wengi tu walifariki wakiwa chini ya miaka 18.. Swali kubwa huwa najiuliza je, mfano nikifariki kesho nitakuwa najutia nini zaidi ??..

Je, nimezitumia kwa kiwango gani potential na experience zote Mungu alizonipa ?..

Hapa lazma kichwa kiwake moto
Hapo kwenye makaburi umegusa penyewe,
 
😂😂😂
We jinga kweli.

Hiyo ndio tabia yangu.
Hapa najiuliza kwa nini nafanya hivyo wakati madogo wanaonyesha adabu ya kweli kabisa alafu nawaletea utani
Nawaenjoy tu.unakuta unakuta na kundi la wanafunzi kibao wanaenda shule au wanarudi shule.unajikuta unakula shikamoo za kutosha.sasa badala ya kuchukia uwa naaamua kuwaletea utani.
 
Yaani, imagine kifusi kimemfunika, na hatambui lolote, maisha haya ukiwaza sana unaweza kufuru kwanini upo hadi leo unashuhudia haya mambo.
Kabisa na watu wakishafunika udongo hawana habari tena na wewe. Haya maisha ni kheri utafute furaha yako ilipo maana hata preshar za umri husababishwa na kuangalia wengine wanatuchukuliaje
 
Back
Top Bottom