Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawatoto?Mi najionaga mtoto tu.
Kwa mama sikui.
Acha basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nina 19 ila najichukulia kama mtu mzima japo nakula ugali wa shikamoo
usijidekeze
kweli....Acha basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaomba connectionAm 45yrs, nimejenga nikiwa na 21yrs , now dar nna 4 houses ,
Ni rehma za allah
Kitambo sana mkuuTunaomba connection
Salamu zimefikaKwa maana hiyo Kama sijakuelewa vibaya bado unatafuta ugali (ajira) na bado hujaupata. Sasa say tokea 2017 unasambaza cv ina maana mpaka Léo ni miaka 6. Kwa hesabu ya harakaharaka muhitimu wa chuo kwa standard anamaliza akiwa na miaka 23. Kwa hiyo say ulimaliza na miaka hiyo, tukiongeza sita ya kutembeza cv maana yake una 29 kwa Sasa.
Sasa basi, naona unakaribia kutuacha maana miaka miwili ijayo tu utakuwa unafikisha hiyo 31. Ila siwezi kujua maana raia anapiga madeal makali within a month na anafanya yote hayo. Ila ndg kwa kuwa bado unatembea CV naona kama huna muda kutekeleza hazma yako ya kujinyofoa roho. Utamsalimia mwenda zake Kama utabahatika kufika aliko
ISHI KAMA KUKU BROILER ISIWAZE KESHO ISHI LEO!
Ni pale nilipo anza kuwa na mawazo ya kuoa niwe na mwanamke wangu ndani nipate watoto niwe na familia mwaka jana tu hiyo hapo nipo na miaka 23,Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Huo ndio ukubwa sasaNimeanza kukosa usingizi kuna internal force inanieleza natakiwa nioe na nipate mtoto muda huu
Hakuna aliye mloga hapo uyo amekuwa sasa hayo mawazo hata mimi nilikuwa nayo na nikaforce kuoa bila kazi wala nini maisha hayana formula leo mambo safi.Kwamba kuna mwanamke kamroga??
But kuoa ni muhimu,na kuwa na family ni muhimu zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raia hawaamini wamepanda hadi ghorofa ya 30 bila lift [emoji1]
Mweeeh, nilikiwa nina ndoto ya kuzaa mapema sana yaani[emoji3]Ni pale nilipo anza kuwa na mawazo ya kuoa niwe na mwanamke wangu ndani nipate watoto niwe na familia mwaka jana tu hiyo hapo nipo na miaka 23,
Na nikafanikisha na sasa mke wangu kaleta katoto kamoja familia hiyo imeanza [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Mimi sikuwa na kisingizio kama baadhi ya vijana wenzangu eti sijui sina kazi mara nipo home mimi nilioa hivyo hivyo mishe mishe hela ya kula isikosekane.
mkuu nlipoanza kushtuka kua jua limeshazama kiupande wangu baada ya kumtongoza dada mmoja under 25 maana si kwa shikamoo zile ,,kwakweli nlikua na mawazo sana na ndipo nlianza kufanya mlinganisho wa kiumri na baadhi ya watu kwenye mitandao kwa kupitia google kimuonekano najiona bado chali ila kw upande wa waschana kila nnaejiarib kuanza nae urafiki naambulia shkamoo basi nashindwa kutongoza kabisa ila kwa sasa nmeshakubali hali yangu... natembea kijitu kizima ...najibu hoja kijitu kizima na vaa kijitu kizimaNapata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
dah dogo ata mm nlisemaga hivyo vivyo hapa nagonga 32 sina hata kitanda nalalia godoro la 60 tsh ,,tunaambiwa wanawke ni weng kuliko wahanaume ila mm nimeambulia kua pekee yang sasa sijui haliehisabu aliwahisab wanawake wa wapi kwakweli..Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua