Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Uliwezaje kuukubali ukweli kuwa sasa wewe ni mtu mzima? Bado sijui nimefikaje gorofa ya 30!

Wengine mnazeeka haraka hasa mkianza kuzikamata hamfanyi mazoezi, mnaoga maji yamoto, mnakunywa sana pombe na nyama, misosi yenye mafuta, n.k.

Nipo na 33 lakini nina muonekano wa 25, watu kibao nikiwaambia mi wa 1990 wanakataa.

Mcheki yule mchezaji wa Yanga, Skudu... ana miaka 35 ila anaonekana ni 24
 
Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.

Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!

Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Ongeza speed ya kuumaliza ujana ndugu.

Ukijifanya unaenda dusko dusko unashangaa uzee huu hapa na kuwa vulnurable kufia gesti kwa kisa cha vumbi la Congo
 
Napitapita naona comments za utambuzi,ila naona wengi hamjatambua pia kuwa ukubwa huja na nini,sio shikamoo au sio mvi au sio kuwa na nyumba nyingi ni sawa inaweza kuwa ni malengo yako,

Mimi namitazamo tofauti mimi naona utuzima ninmajukumu yani mzigo uliobeba kwako na kwa watu wanaokuzunguka ndugu, jamaa ,wanao, mke na majukum katika offisi yako kama wewe ni meneja au mkurugenzi mkuu na vile vyeo vya juu, utuzima ni majukumu uliyoyabeba wanasemaga mtu mzima jalala ...ukiona una majukumu mengi jitambue wewe ni mtu mzima hata kama una umri mdogo..unaweza ukawa una mali nyingi sana ila kama huwawezeshe watu wanaokuzunguka katika mambo ya msingi kama kuwezesha watu kusoma na mengine yote ili mfanikiwe kwa pamoja mvuke
 
Wengjne shikamoo tumeanza pokea tokea darasa la sita huko hadi leo, nilikuwa na mwili mkubwa/bonge mrefu, walikuwa wanajuaga mie ni mkubwa na nilikuwa naamkiwa hadi na watu walionizidi,

Nashukuru sasa lile li mwili limepukutika,
 
Zipo nyingi but naion hii ndio weirdest one [emoji38][emoji38][emoji38]

Nilivyokua nikipita sehem alaf nisikie harufi nzuri ya msosi upo jikon basi nitapata hisia kali sana ya kwamba " it's mimi niko na familia yangu ( my wife and children) huku wife anarekebisha jikoni " hivyo nikaona huu utu uzima huu unaninyemelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom