sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Wengine mnazeeka haraka hasa mkianza kuzikamata hamfanyi mazoezi, mnaoga maji yamoto, mnakunywa sana pombe na nyama, misosi yenye mafuta, n.k.
Nipo na 33 lakini nina muonekano wa 25, watu kibao nikiwaambia mi wa 1990 wanakataa.
Mcheki yule mchezaji wa Yanga, Skudu... ana miaka 35 ila anaonekana ni 24
Nipo na 33 lakini nina muonekano wa 25, watu kibao nikiwaambia mi wa 1990 wanakataa.
Mcheki yule mchezaji wa Yanga, Skudu... ana miaka 35 ila anaonekana ni 24