Chenga hizMara ya kwanza niliposalimiwa Shikamoo na mdogo wangu anayenifata (tumepishana miaka 4) nilishtuka sana tena sana ilinipa mawazo usiku mzima, nahisi ndio wakati nilipojua nimekua sasa. Kifuatacho ITV ni majukumu mwanzo mwisho
Wewe kumbe ni mdogo hivyo?mimi nina 19 ila najichukulia kama mtu mzima japo nakula ugali wa shikamoo
usijidekeze
udogo ni mtazamo, uhalisia ni jinsi unavyojiwekaWewe kumbe ni mdogo hivyo?
25 Years now.Napata wakati mgumu kupokea shikamoo barabarani, kwakweli wataki niko teenager, sijui nilikuwa nachukuliaje nikisikia mtu anamiaka 25, 30 nk.
Napata mashaka kwamba hata miaka 40 na 50 itafika kiutani utani na nitaanza kuitwa mzee bila mimi kujua nimefikaje fikaje hapo!
Uliwezaje kukubaliana na ukweli?
Dah! ila we jamaa kwamba kipanya ana 52Ukubwa majukumu. Kuzeeka lazina, kuchakaa uamuzi
Ronaldo ni mdogo kwa Rooney
Masudi kipanya ana miaka 52, Dully sykes 42, Kikwete 73, mzee. Ruksa 98, Magufuli alikufa na 62, Skudu ana 30, Onyango 25. Umri ni namba tu usiogope
Mdomo unaumba mkuu hii ni dunia.Nikifika 31 sijajenga sina gari najiua