Uliza chochote kama umekwama kupiga windows ama kuingiza operating system kwenye PC ama computer yako

Uliza chochote kama umekwama kupiga windows ama kuingiza operating system kwenye PC ama computer yako

Mkuu naomba unielekeze na mimi kuinstall windows nafanyaje aisee
Atua ya kwanza inabidi ufanye booting kwa kutumia power iso au rufus ukimaliza zima mashine yako alafu chomeka flash uliyo boot alafu piga windows yako booting rahisi ni kutumia rufus maana iko fasta sana
 
Atua ya kwanza inabidi ufanye booting kwa kutumia power iso au rufus ukimaliza zima mashine yako alafu chomeka flash uliyo boot alafu piga windows yako booting rahisi ni kutumia rufus maana iko fasta sana
Duh sawa.. kumbe ninsimple tu nilikuwa sijui
 
Epuka windows iliyo chakachuliwa kwenye computer yako maana inaweza kuharibu data zako namaanisha zile windows cracked na je umeshindwa jinsi ya kupata software uliza pia ntakujibu na kukuelekeza kwa usahihi jinsi ya kufanya booting na kudownload drivers.


View attachment 2772888View attachment 2772889
Sikumoja nilikutana na hii machine Predator Gaming Laptop 12th Generation! Issue ilikuwa kupiga windwos tu ila nimefanya utundu wangu wote mpaka kutumia RST Driver ila kila kifika sehemu ya kuchagua HDD/SSD ila Device zilikuwa hazionekani!
1697188945338.png

Unfakiri nilikwama wapi?
 
Sikumoja nilikutana na hii machine Predator Gaming Laptop 12th Generation! Issue ilikuwa kupiga windwos tu ila nimefanya utundu wangu wote mpaka kutumia RST Driver ila kila kifika sehemu ya kuchagua HDD/SSD ila Device zilikuwa hazionekani!
View attachment 2780834
Unfakiri nilikwama wapi?
Itakuwa ulitumia flash ambayo sio sahii au itakuwa ulitakiwa upige windows ambayo ni genuine ambayo ulipewa kipindi unanunua iyo mashine yako ya gaming sio kila mashine inakubali windows izi za cracked au za kununua zingine zinataka windows yake maalumu ambayo ulipewa kipindi unanunua
 
Back
Top Bottom