Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #21
NdioMkuu inawezekana ku change operating system ya simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioMkuu inawezekana ku change operating system ya simu
Atua ya kwanza inabidi ufanye booting kwa kutumia power iso au rufus ukimaliza zima mashine yako alafu chomeka flash uliyo boot alafu piga windows yako booting rahisi ni kutumia rufus maana iko fasta sanaMkuu naomba unielekeze na mimi kuinstall windows nafanyaje aisee
badilisha signature yako au tafuta msaada kwenye jukwaa la kwenu kama uko so proud na kwenuMkuu computer yangu iko nakataha ku change system
Duh sawa.. kumbe ninsimple tu nilikuwa sijuiAtua ya kwanza inabidi ufanye booting kwa kutumia power iso au rufus ukimaliza zima mashine yako alafu chomeka flash uliyo boot alafu piga windows yako booting rahisi ni kutumia rufus maana iko fasta sana
Wakati unapiga windows futa ya mwanzo ndo uweke mpyaMkuu computer yangu iko nakataha ku change system
Kazi rahisi sana ukimaliza una update drive zako mashine inakaa freshDuh sawa.. kumbe ninsimple tu nilikuwa sijui
Nafanyaje mkuu naomba muongozoNdio
Nenda my computer ingia local c pale futa file lilio andikwa windowsNafanyaje mkuu naomba muongozo
Embu weka uwezo wa pc yako nione hapa?Nafanyaje mkuu naomba muongozo
Sikumoja nilikutana na hii machine Predator Gaming Laptop 12th Generation! Issue ilikuwa kupiga windwos tu ila nimefanya utundu wangu wote mpaka kutumia RST Driver ila kila kifika sehemu ya kuchagua HDD/SSD ila Device zilikuwa hazionekani!Epuka windows iliyo chakachuliwa kwenye computer yako maana inaweza kuharibu data zako namaanisha zile windows cracked na je umeshindwa jinsi ya kupata software uliza pia ntakujibu na kukuelekeza kwa usahihi jinsi ya kufanya booting na kudownload drivers.
View attachment 2772888View attachment 2772889
Itakuwa ulitumia flash ambayo sio sahii au itakuwa ulitakiwa upige windows ambayo ni genuine ambayo ulipewa kipindi unanunua iyo mashine yako ya gaming sio kila mashine inakubali windows izi za cracked au za kununua zingine zinataka windows yake maalumu ambayo ulipewa kipindi unanunuaSikumoja nilikutana na hii machine Predator Gaming Laptop 12th Generation! Issue ilikuwa kupiga windwos tu ila nimefanya utundu wangu wote mpaka kutumia RST Driver ila kila kifika sehemu ya kuchagua HDD/SSD ila Device zilikuwa hazionekani!
View attachment 2780834
Unfakiri nilikwama wapi?
Dah kaka inabidi unifundishe haya mambo ya IT aiseee niwe kidg najua ABCKazi rahisi sana ukimaliza una update drive zako mashine inakaa fresh
Karibu kaka ni kazi rahisi sanaDah kaka inabidi unifundishe haya mambo ya IT aiseee niwe kidg najua ABC
Ahsante ndg yangu.Karibu kaka ni kazi rahisi sana
Umeelewa somo la kufanya booting kaka ?Ahsante ndg yangu.
Nafatilia comments mdg mdg huwenda nikaambulia kitu maana mie hata kuwasha tu computer ikawaka vzr ni changamoto..Umeelewa somo la kufanya booting kaka ?
Kaka ukipata changamoto niambie nikusaidie hapaNafatilia comments mdg mdg huwenda nikaambulia kitu maana mie hata kuwasha tu computer ikawaka vzr ni changamoto..
Nafatilia maoni ya wadau
Kwamba we ulinunua?Natumia cracked window 11 , unashingapi nikuuzie activated mpaka 2046, full mautamu tu, pia Nina pirated program nyingi sana.
Sawa Master..Kaka ukipata changamoto niambie nikusaidie hapa