YesOut mna field training??
Matokeo yatawahi hawawezi kuchelewaWanaotegemea kufanya supplementary ya foundation course kwenye mitihani inayoanza tarehe 8 September matokeo yao yatawahi kiasi kwamba wataweza kufanya application vyuo vingine?????
Foundation unapaswa kupata GPA ya tatu, wastani wa B.Mkuu naomba kufahamu,ili ufaulu foundation course unatakiwa upata ngapi ktk yale masomo 6.
Pia hii ipoje mkuu maana nimeona wengi waliosoma foundation wanalalamika kwamba wakiomba vyuo vingine tofauti na OUT wanakosa kudahiliwa.Naomba utuambie vyuo gani ambavyo vinadahili direct wahitimu wa foundation course.
#Regards
Mkuu naomba kufahamu,ili ufaulu foundation course unatakiwa upata ngapi ktk yale masomo 6.
Pia hii ipoje mkuu maana nimeona wengi waliosoma foundation wanalalamika kwamba wakiomba vyuo vingine tofauti na OUT wanakosa kudahiliwa.Naomba utuambie vyuo gani ambavyo vinadahili direct wahitimu wa foundation course.
#Regards
Hakuna hiko chuoMsaada kuna chuo chochote huria cha medical mfano phamacy au medical doctor
Mkuu samahani hio Foundation course unasoma masomo kama uliokua unasoma advance au inakuaje naomba unielewehe apa mkuuInatakiwa Upate GPA ya 3.0 Wanapokea Vyuo vyote asikudanganye mtu Mimi nilisoma Open
Mkuu unaweza kufafanua kuhusu executive programme na hiyo distance learning?Hapana hii ni distance learning ingawa Kuna programme ni Za executive
Yes unawezaNimefaulu masomo mengine ila nimefail maths ninataka kusoma IT ,nitaweza?
Kuna intake nne kwa mwakaKujiunga open unversity huwa ni muda wowote yaani hata mwezi wa pili mnadahili tu???
Ndio Ipo mkuu@dindilichuma,mkuu naomba kujua kama kuna kozi BSc general na content zake
UnasomaMkuu samahani hio Foundation course unasoma masomo kama uliokua unasoma advance au inakuaje naomba unielewehe apa mkuu
Kuna kuwa naMkuu unaweza kufafanua kuhusu executive programme na hiyo distance learning?
Hakuna programme hizoMsaada kuna chuo chochote huria cha medical mfano phamacy au medical doctor