Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Mkuu naomba kufahamu,ili ufaulu foundation course unatakiwa upata ngapi ktk yale masomo 6.
Pia hii ipoje mkuu maana nimeona wengi waliosoma foundation wanalalamika kwamba wakiomba vyuo vingine tofauti na OUT wanakosa kudahiliwa.Naomba utuambie vyuo gani ambavyo vinadahili direct wahitimu wa foundation course.
#Regards
Pia hii ipoje mkuu maana nimeona wengi waliosoma foundation wanalalamika kwamba wakiomba vyuo vingine tofauti na OUT wanakosa kudahiliwa.Naomba utuambie vyuo gani ambavyo vinadahili direct wahitimu wa foundation course.
#Regards