Kanyamwi wewe ni mhaya au mnyambo ?Alikuongopea wanaokuka nyama za watu ni wachawi
P
M mpareKanyamwi wewe ni mhaya au mnyambo ?
uko sahihiWapo wanaokula watu ila nadhani ilikuwa zamani
wewe ndio hujui sasa, na ukiwa hujui sio kosaNi muongo
Yeye ndo hajuiwewe ndio hujui sasa, na ukiwa hujui sio kosa
Maji ya kutumia nyumbani(idara ya maji)Umejibu kiboya sana
Simaanishi maji hayo
Umasikini ni misifa yenu tu
Hakuna wilaya ya Bukoba manispaa na Bukoba vijijini. Hizo ni halimashauri mbili zilizo ndani ya wilaya moja inayoitwa Bukoba.Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Nimekumbuka zamani hizo nikiwa chuo pisi zote za kihaya na kinyambo, wana walinisusia mimi huwa naelewana nao sijui kwanini ๐๐๐๐M mpare
Kwann walikususia๐คฃ๐คฃNimekumbuka zamani hizo nikiwa chuo pisi zote za kihaya na kinyambo, wana walinisusia mimi huwa naelewana nao sijui kwanini ๐๐๐๐
Ligi ilikua ngumu mno wakaona waingie mitini๐๐Kwann walikususia๐คฃ๐คฃ
Nina watoto wawili na wanawake wa kagera๐ ๐ ๐ ๐Oa Kagera
Ligi Gani Tena?Ligi ilikua ngumu mno wakaona waingie mitini๐๐