Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Dar kanaendaje kama haujatuma nauli?Kuna kademu kangu kwao ni karagwe ni kanyambo ,mwaka jana kalimaliza chuo katakuwepo karagwe au kameshaenda dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar kanaendaje kama haujatuma nauli?Kuna kademu kangu kwao ni karagwe ni kanyambo ,mwaka jana kalimaliza chuo katakuwepo karagwe au kameshaenda dar?
Unaniuza swali kwenye uzi wa maswali kwa mtoa mada kuhusu kagera😂😂😂 wewe kanyamwi vip aise😅Ligi Gani Tena?
Kwenye hayo we ni kabila ganiHakuna mwanamke anakosa maji, akikutana na mtaalam laZima maji atamwaga
Makabila makubwa Kagera ni
Wahaya
Wanyambo
Wasubi
Washubi
Wanyaiyangiro
Waganda kyaka
Wahangaza n.k
NweiUnaniuza swali kwenye uzi wa maswali kwa mtoa mada kuhusu kagera😂😂😂 wewe kanyamwi vip aise😅
Ili ukanilishe wale wadudu ? Niache kwenda moshi kula mbuzi na mbege nyingi sio 😂😂😂😂Nwei
Twende kagera December 😂
Maji mwenzio kamaanisha kitu kingine kabisaMaji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Tukitoka huko tutaenda MoshiIli ukanilishe wale wadudu ? Niache kwenda moshi kula mbuzi na mbege nyingi sio 😂😂😂😂
Sio wahaya tu mkuu tatizo lako umejifungia sana huko ndoani😅😅Maji ya wanawake wa kihaya Wakati wa mzagamuo yantokana na Nini?
Usitaje ndizi maana hata wachaga wanakula sana tu na hawana maji!
Hakuna mwanamke anakosa majiMaji ya wanawake wa kihaya Wakati wa mzagamuo yantokana na Nini?
Usitaje ndizi maana hata wachaga wanakula sana tu na hawana maji!
Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
1.Miaka hii ya 2020 Kagera imeanza kupotea kwenye sekta ya Elimu hatuna watu wabobezi mashughuli kama miaka ya zamani Ata mashuleni pia hamtoi vipangaLeo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
AsanteMzani Nyakahura nadhani sio sehemu nzuri sana kibiashara
Nenda Benako, Rusumo, Kabanga au Mtukula zote hizo ni border unaweza Fanya biashara ya miamala ya pesa