MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Rekodi lazima ziwekwe sawa......tukiwa na mhalifu kule mpanda atashughulikiwa ipasavyo......Kwa hio hata kama kuna mnuka damu za watu nje ya mipaka yetu huyo sio rafiki yetu..........
sisi ni superpower na hilo hatakiwi kuhoji mtu yeyote mwenye akili timamu na ndiyo maana kila tunaloliamini na kulisimamia ndani ya afrika ni lazima litimie ! hatuwataki vibaraka wa rwanda na uganda DRC (M 23) NA TUMEWATIMUA, WATUSI NI LAZIMA WAONGEE NA FLDR LITAYIMIA MUDA SI MREFU, TENA KAGAME ATAOMBA MWENYEWE MAJI YATAKAPOMFIKA SHINGONI
Kwa akili yenu fupi na ya visasi unadhani kila anaekupinga ni FDLR....Na hao jamaa lazima tu wawatoe hapo......
Wewe unaweza niambia watusi,wahutu,watwa hapo mwanzo hawajahamia rwanda walikua wanaongea lugha gani? kwani wote ni wahamiaji kama unafutilia history.
Nasikia M23 kwishney kabisa wamebaki digidigi tu wanajificha kwenye mashimo kama panya bukU!
View attachment 120171
Watu kupoteza lugha ni rahisi mno, ni kama unavyoweza uliza waafrika walipokwenda amerika walikuwa wanaongea lugha gani! Ofcoz kwa intuitive naweza kusema manority waliopo Rwanda ndo wali adapti lugha ya majority, ama kinyume chake ni sahihi pia.
Lakini hii ni rahisi kuitambua, kwa intuitive, unaangalia hao wahutu na watusi wanafanana ni wepi ambao hasa wanafanana na majirani zao yani ndani ya uganda, ndani ya congo na ndani ya Tz, kisha unajiuliza je hao wanaofanana na ama wahutu ama watusi walio Tz, congo na uganda na je wanaongea lugha inayofanana na kinywaranda? Na kama ndio basi una conclude tu nani ali adapti mwezake.
Na kati ya picha hizo unaweza kumkosa mhutu na mtusi?
Wenye ufahamu mkubwa wa meipata message.
Sasa nilitaka kukuonye hiyo history ni uongo kwani hakuna mtu anaweza kukuambia source ya hawa watu kingine haiwezekani kwa mwafika kusahau 100% ya rugha yake na utamaduni hata akichanganya vipi,imagine hakuna trace yeyote,sio wahamiaji.
Nenda ukanawe macho utoe usingizi ndio urudi kwa keyboard,du!unaota hata mchana?JWTZ inaenda kuwakamata iwalete rwanda wewe eti mtawatoa hapo,pole hapo ndio utajua rwanda ni game tofauti tena ya juu.
HIVI FDLR WAKO WAPI KWANI NAONA HAKUNA MUDA MWINGINE MUAFAKA WA KURUDI NYUMBANI KIGALI,RWANDA KAMA WAKATi HUU
Sasa Unasema wazi kuwa walio nyuma ya m23 ni Ka game na mwenzake Ka guta. Na hii inadhihirishwa pia na kitendo chao cha kujaribu kunidanganya Kenya ili kuitenga Tanzania.Acha wewe ya M23 ni ya watu wanaocheza mchezo wa juu,watu kamanyie hamuwezi jua kinacho endelea,unajua kwamba mchezo wote ulipangwa na wakubwa?ile victory ya DRC ni fake victory,it was planned before.
Kwa akili yenu fupi na ya visasi unadhani kila anaekupinga ni FDLR....Na hao jamaa lazima tu wawatoe hapo......
kwa uovu huu wa watusi, dunia yote ni FLDR
dawa yao inachemkaHata Obama ni FDLR...Wajinga sana hawa jamaa....Kunuka kwao damu ndo wanatuletea kero za kelele zao hapa
Hatuwezi kuuacha upuuzi unaosemwa na ninyi blood stinkers tuuache tu...lazima tuwakanushe ili rekodi ziwekwe sawa....umeelewa eeeh
Hata Obama ni FDLR...Wajinga sana hawa jamaa....Kunuka kwao damu ndo wanatuletea kero za kelele zao hapa