MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Ni sababu hiyo ndiyo itasaidia UN ku justify kukata kabisa Mzizi! maana bila kuukata mzizi wataendelea kusumbua sana.
Habari za hasubuhi ndugu zangu,vipi kuna anayejua kilichotokea maeneo ya bunagana usiku wa kuamkia leo?FIB imepewa kichapo cha mwaka.