Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Tatizo lako uko GOMA hao FDLR rafiki zako wameisha kuharibu akili kidogo,hao waliokua wafugaji wakiitwa wanaoitwa watusi walikua huko hata kabla ya mipaka kukatwa,tena hao wana connection ya karibu na waliokua wafugaji wa rwanda.

SASA MBONA HAO WAFUGAJI (a.ka. watusi) WANAJIITA WAISRAEL WAKATI HILO KUNDI JINGINE AMBAO SIO WAFUGAJI LINAJITAMBULISJHA KAMA WABANTU TU? HUONI KWA UKWELI HUO KUWA HAYA NI MAKABILA TOFAUTI? MI NADHANI NYIE WAFUGAJI NI WAISRAEL NA HAO WENGINE NDIO WASWAHILI ZAIDI.
 
Mkuu masopakyindi
Jamaa alikuwa anitishia mnyau halafu unajua siku ya hiyo speech madame alikuwa pembeni lazima jamaa ajitafanye tough llakini ukweli anaujua ndiyo maana kijegemeza sana kwa M7 ili apate ukimbizi!
Mkuu chama Generali Kagamealijiingiza katika lock up ya kidiplomasia kwa kutamka yale maneno ya kuudhi.

Na ni kama hawafahamu Watanzania,
nitamquote jamaa mmoja ANONYMUS mtandaoni, lakini alieleza kila kitu ambacho hata Generalo Kagame anakifahamu fika.......


"
kagame-general-troops.jpg
[h=3]May be I should make it clear to you that Tanzanians, though quite, polite and peaceful, they are like puff adders who strike only after being trampled upon, unlike black mambas who are always looking for something to strike..... It shouldn’t therefore, come to surprise that we can spend a significant chunk of our precisious time to discuss about a possible war with Kagame, if the need be...bearing in mind his unfortunate utterances."[/h]Mpira uko kwa Generali Kagame aidha to apologize kuwa hakuwa na maana ilivyo andikwa magazetini au kusema tu alikuwa misquoted.
Hapo atatakiwa kuwa mwana diplomasia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu masopakyindi
Jamaa alikuwa anitishia mnyau halafu unajua siku ya hiyo speech madame alikuwa pembeni lazima jamaa ajitafanye tough llakini ukweli anaujua ndiyo maana kijegemeza sana kwa M7 ili apate ukimbizi!

Do you know the line? The line is rwanda's mpaka,sasa jaribu uvuke na hao FDLR wenu.
 
Last edited by a moderator:
Walikuwa wananyanyaswa, wanauwawa. Kwanini??
Wewe ukinyanyaswa unakamata silaha unakwenda kuuwa, kupiga, kupora mali, kubaka raia??
Assume ni wewe umenyanyaswa unaanzaje kupata silaha za moto?? Hebu nifafanulie hapo ili na mimi mtu akininyanyasa nijue namna ya kupata silaha ya moto a.k.a Binduki.

Tofautisha congo na tz,congo silaha ziko inje nje,wanatumia silaha kunyanyasa watu na serikali haitoi ulinzi wowote,hivyo iliwalazimu kushika silaha.
 
Mkuu wewe sijui kama msinamo wako ni wawatazania wote,kwani sina uhakika kama watazania wata ku support kuingia vita na rwanda kwani si rahisi kama unavyo fikiria.
je ni vigumu kama unavyojifikiria? wewe mtusi Tanzania sio kongo, PK akichokoza tu tunapiga mpaka Kigali shenzi type.
 
SASA MBONA HAO WAFUGAJI (a.ka. watusi) WANAJIITA WAISRAEL WAKATI HILO KUNDI JINGINE AMBAO SIO WAFUGAJI LINAJITAMBULISJHA KAMA WABANTU TU? HUONI KWA UKWELI HUO KUWA HAYA NI MAKABILA TOFAUTI? MI NADHANI NYIE WAFUGAJI NI WAISRAEL NA HAO WENGINE NDIO WASWAHILI ZAIDI.

Hapo mnapotosha watu,hizi jamii zinaongea lugha moja tofauti nimezitaja,sasa hizo definitions zingine ni zahao wazungu waliotaka kutenganisha jamii za kinyarwanda tu.
 
!

Mmeingia Congo mnataka nyie ndiyo mtawale Congo na hiyo haitoshi mkaanza kuiba mali ya Congo,kuua wacongoman,kubaka na kila aina ya ufedhuli mmefanya Congo na wakati huo mkijifanya nyie ni Simba wa Vita na M23 yenu ilyojaa watu wamepeana vyeo vya kijeshi bila utaalamu wowote wa jeshi eti General Ntaganda,sijui Briegedia Sultan mimi huwa nacheka sana Ujinga wenu na dharau mliyo nayo kwa wenzenu. Tanzania tumewasadia sana hata huyo mnaemuabudu alifundishwa jeshi Monduli na M7 amesomeshwa jeshi Sandhurst na pesa ya kodi yetu na hata mdogo wake pia,lakini ndiyo amekuja kutusaliti na kututenga mpaka inashangaza.Ndugu zetu walikufa kwa ajili kuwasaidia wengine tulifiwa na Baba zetu vitani Uganda kuwakomboa lakini leo ndiyo mnatulipa kwa dharau zenu
.

Mimi mwenyewe nashangaa mkuu hivi mtu anapataje cheo cha Brigedia jenerali kwenye jeshi la waasi, wale wote si wanamgambo tu hahaha
 
MMMH,Another mkulima,sasa unataka kuniambia wafugaji ndio wanatawala rwanda peke yao?kwa taarifa yako rwanda ya sasa majority wana fuga na kulima.

acha kuchanganya mada makusudi. ukulima na ufugaji umeingiaje hapo? jibu kwanini watutsi wanaendesha over 90% ya mambo yote wakati wao ni minority.
 
comment yako imenidhihirishia yale yote ninayoyasema. Katika watu wooote hapa kwenye JF wewe tu ndie unayeongelea kuipindua serikali ya kagame. Tujiulize kwa nn? Wenye uwezo wa kusoma between the lines watagundua kuwa the only people ambao nia yao ni kumpindua kagame ni interahamwe hence mokala1989=FDLR=INTERAHAMWE.

hata mimi naongelea kumpindua kagame add me too. FDLR ni lazima wasikilizwe madai yao kama ambavyo RPA walisikilizwa.
kuhusu interahamwe niliwahi kuuliza mbona kiongozi wake alikuwa mtutsi na nyinyi mnadai ilianzishwa ili kufanya genocide dhidi ya watutsi, wote mkaingia mitini!
 
hata mimi naongelea kumpindua kagame add me too. FDLR ni lazima wasikilizwe madai yao kama ambavyo RPA walisikilizwa.
kuhusu interahamwe niliwahi kuuliza mbona kiongozi wake alikuwa mtutsi na nyinyi mnadai ilianzishwa ili kufanya genocide dhidi ya watutsi, wote mkaingia mitini!

hahahahahaha! day dreaming is allowed in here.
 
acha wasikie, kama M23 walipewa international platform wakasikilizwa why not FDLR? tena mimi na suggest vikao ya mazungumzo hayo (FDLR vs Rwanda) vifanyike Tanzania, kama ambavyo M23 walisikilizwa Uganda.

mkuu hawa wanuka damu wamezoea kukaa porini,tutawatengea pori 1 ndo wakakutanie huko!
 
Do you know the line? The line is rwanda's mpaka,sasa jaribu uvuke na hao FDLR wenu.

Bahati mbaya sana muda wa kujibishana na watusi sina tafuta wahutu wapo wengi tu; ukweli ni huu baba yako Kagame anaijua vizuri Tanzania anajua uwezo wa jeshi letu na hata hilo la kupeleka majeshi Kongo ilikuwa ni kumuonyesha yeye(Kagame) kama tukitaka uwezo tunao;Kagame ndiye mhusika mkuu mwambieni ajaribu kuvuka mpaka aingie Kongo aone kama siku ya pili hatayakuta majeshi ya UN Kigali na anajua sana ICC wanamsubiri hilo halina shaka hata kidogo!
 
m23 bado wapo kweli?yule general Sultani aka kubwa la maadui kwa sasa anaosha vyombo na kanga moko,ndembendembe !!!
 
Bahati mbaya sana muda wa kujibishana na watusi sina tafuta wahutu wapo wengi tu; ukweli ni huu baba yako Kagame anaijua vizuri Tanzania anajua uwezo wa jeshi letu na hata hilo la kupeleka majeshi Kongo ilikuwa ni kumuonyesha yeye(Kagame) kama tukitaka uwezo tunao;Kagame ndiye mhusika mkuu mwambieni ajaribu kuvuka mpaka aingie Kongo aone kama siku ya pili hatayakuta majeshi ya UN Kigali na anajua sana ICC wanamsubiri hilo halina shaka hata kidogo!

Kufuata nini congo?Mbona UN imeisha kubali ku deal na tatizo la FDLR ambalo lilikua sababu ya rwanda kuingi congo,sasa sioni haja ya rwanda kuingi congo,kingine issue ya M23 naweza sema ni advantage kwa rwanda kwani ni mara ya kwana UN akiwemo na tanzania wanaji commit kudhibiti FDLR ndani ya congo,hivi rwanda wamepata muda wa kuangalia mambo yao ya ndani ya kimaendeleo kwani hivi sasa kuna watu waliojitwika dhamani ya kulinda rwanda dhidi ya FDLR.
 
Hata Obama ni FDLR...Wajinga sana hawa jamaa....Kunuka kwao damu ndo wanatuletea kero za kelele zao hapa
Kwa kweli hawa Watusi hasa wanaume wamejiharibia saana, mataifa yote sasa hivi kufanya nao biashara unatakiwa uwe mwangalifu, kwani hujui mwenzio hesabu zake zipo wapi, bahati nzuri bongo wali shtukiwa mapema, DRC, ndio sasa wana wajua, mtu moja kutumikia serikali tatu UG, RW na DRc? Kenya wameshindwa kwani Ukabila wa Kenya hakuna mgeni kupita au mgeni kuleta ukabila wake, UG walipenya sababu ya Binamu zao ndio wanaongoza njii
 
Kufuata nini congo?Mbona UN imeisha kubali ku deal na tatizo la FDLR ambalo lilikua sababu ya rwanda kuingi congo,sasa sioni haja ya rwanda kuingi congo,kingine issue ya M23 naweza sema ni advantage kwa rwanda kwani ni mara ya kwana UN akiwemo na tanzania wanaji commit kudhibiti FDLR ndani ya congo,hivi rwanda wamepata muda wa kuangalia mambo yao ya ndani ya kimaendeleo kwani hivi sasa kuna watu waliojitwika dhamani ya kulinda rwanda dhidi ya FDLR.
Kumbe sababu ya Rwanda kuingia FDRL!!? sikujua baada ya kuona wanavuna madini na mbao hovyo kwa baraka ya serikali!!
 
Back
Top Bottom