Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Transition from c++ to mql4 or mql5 is fairly easy, Metaqoutes language and c++ are both object oriented programmes. Nadhani, automated programming is the way forward once you have developed a profitable strategy. We have witnessed the magic of artificial neural networks in diverse fields. In my opinion ANN would impact trading most forcibly .Upo vzr kweny programing language and mathematics,Machine learning ? unaweza ila jifunze kwanza reality inavyofanya kaz then tumia ujuz huo
Mkuu kwanza Nikupe Salute kwa Uzi wako huu, umeongea vitu vya msingi sana.Yaani ndugu napenda niwaelekeze watu ili wasipigwe. Mana watu wanadanganywa kuwahi kudeposit Hela na huku hawajajua Wa nachokifanya ni nini. Hapo jamaa wana organize na brokers matapeli wanawaibia watu wasioijua kwa IB contract.
Hii ishu ni ukweli ila ni kama professional kama professional zingine hakuna free lunch you've to dedicate your full commitment yaani kuliko unavyowaza.
Huwezi cheki video YouTube na kusoma VITABU kama vitano afu ukajua kujenga daraja eti tayari umekuwa Engineer.
Narudia tena Trading is professional like any other professional.
So don't expect to be rich overnight.
Ngoja nikuambie Ila unanisikitisha unavyokuwa mvivu kuchimba vitu mwenyewe.Mkuu kwanza Nikupe Salute kwa Uzi wako huu, umeongea vitu vya msingi sana.
Kwa kuongezea tu ni kwamba DSE Dar es salaam Stock Exchange wana app iko na iko na hizo assets almost zote.
Pili nikuulize hii ya kupigwa kwa OB contract inakuaje, btw mi ni trader japo sina muda mrefu kwenye hii tasnia lakini ni kweli inabidi uijue sana na uanze kupga hela, japo wkt naanza nishawahi kuanza na $30 ikafika hadi $1500.
Mbona unakimbilia kufundisha si uchukue hela mbona zipo nyingi sana sokoni kuliko za kufundisha ama soko limekutandika Ila unataka utumie ujinga wa watu kuwapiga hela.
mkuu mbona kama imekuuma sana watu kufundishwa Forex? hata wewe unakaribishwaMbona unakimbilia kufundisha si uchukue hela mbona zipo nyingi sana sokoni kuliko za kufundisha ama soko limekutandika Ila unataka utumie ujinga wa watu kuwapiga hela.
Kama unaijua chukua hela soko zipo mbona.
Ila watu bana Ila utawapiga wavivu wa kupambana wenyewe wanajua.
Kama hela ni nyepesi ivyo ni kwa Nini uzilazimishe kuziweka ndani ya mifuko ya watu.
Nyie ndio mnaofanya trading inaonekana Kama utapeli
Wamejaa wahindi wapakistani,wabangladesh,afaghanistan wasauzi,yaani mataifa masikini ndio wafundishao forex
Habari zenu wanajamii forum!
Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18.
Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa imeunganishwa na internet.
Watu wanajua kuwa kuna upigwaji kweli Upo kwa watu wengine kuwaambia wengine wao ni Guru wanawapiga pesa.
Kama tulivyoshuhudia huko kama miaka mitatu inapita ivi.
Ishu hii ni halali sema inatakiwa upate MTU sahihi sana akuelekeze ila siye mwenye kuweka Hela mbele.
Ukweli ni kuwa unaweza ukafanya kama kamari na unaweza ukaifanya kama biashara zingine tu.
Na uzuri Wa hii kuijua hakuna cha TRA,wateja,bosi,wala nani yaani hakuna kubembeleza mteja.
Pia kumbuka ni fani kama fani zingine zilivyo jamani mfano kuwa mfanyabiashara mkubwa ana uzoefu Wa kutosha na sio kuwa amelala na kuamka akajikuta hapo alipo.
Ni kama ilivyo sheria, engineering, Doctor of Medicine, mhasibu ama mwalimu.so hakuna ulelemama kuwa kuna pesa nyepesi kama wengi wanavyoinadi.
Binafsi nimejitoa kwa biashara hii hata kama itakuja kunilipa huko mbele kwa miaka 20 tokea sasa siogopi mana hakuna mafanikio cheap tunavyopenda binadamu.
Ila ni nzuri ukiijua unachofanya.
Biashara hii ni suala zima kuhusu psychology.
Pia haitakiwi ufanye live trades before ya demo trading na umeki faida kwa demo account kama mwaka mzima ndo uamue kuingia huko kwa live trades.
Wengi wanafundisha watu kwa kuwapotosha kuwa kuna pesa laini.
Hii fani sintoiacha mana najua hata wanangu nitawafundisha maarifa yake so yaweza kutokea kwao matunda.
Yaani unaipofanya tegemea miaka mitano ama kumi huko mbeleni kabisa usiwe na haraka na utoe mawazo ya Hela kichwani.
Usiwe kama students eti ni fani gani yenye kulipwa pesa nyingi.
Binafsi napenda niwe Nina interact na watu wenye passion nayo mana shuleni huwezi ukakaa mwenyewe. Pia unawafundisha wasio ijua kuna vitu unaimprove. Kwa wale walikuwa wanawaelekeza wenzao shuleni nadhani unajua unaletewa swali hulijui ila unashangaa unalijibu na unapata solutions fasta sana.
Hayo yote nayajua Ila nachokiona kwako ni Kama unanipima uzito mkuu. Ulipoyasoma kwa hayakuelezewa ama inakuwaje.
- What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
- What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
- What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
- How to know demands and supply areas in forex charts?
- What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
Hapana mkuu .ishu Iko Ivi Kuna watu wanatumia ule kutoelewa kwa watu Kama kuwapiga hela mkuu. So hii kitu nahitaji niikomeshe.mkuu mbona kama imekuuma sana watu kufundishwa Forex? hata wewe unakaribishwa
hapana sikupimi mkuu, mi ndo siyaelewi hayo mi mwanafunzi naomba tu unifafanulieHayo yote nayajua Ila nachokiona kwako ni Kama unanipima uzito mkuu. Ulipoyasoma kwa hayakuelezewa ama inakuwaje.
Niko beyond kuliko unavyowaza.
I can declare publicly kuwa somehow I know this shit.
I need to launch forex trading demo account contest.
Subiria nakula ngoja nitakufafanuliahapana sikupimi mkuu, mi ndo siyaelewi hayo mi mwanafunzi naomba tu unifafanulie
1----- HH ni pale price action katika uptrending market inakuwa inapanda na kushuka .ikipanda Sana inachukua pause kidogo Mana wapo wanaochukua faida na wengine wanauza wakijua kuwa imefika mwisho so soon reversal gonna happen. Mana katika hii market kila kitu kipo biased Sana.
- What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
- What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
- What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
- How to know demands and supply areas in forex charts?
- What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
Tofauti ya pin bars na hammer ni Kama unachosema kuwa tofauti ya singida na Tanzania.
- What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
- What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
- What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
- How to know demands and supply areas in forex charts?
- What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
Tweeezer candlestick zipo bottom and top , hapa unakuwa na candles za bulls and bears Kama ni top tweezers,afu zote zinalinagana Fulani,zinaweza kuwa na shadows both high/low Ila mzuri ni zile ambazo hazina shadow kubwa Sana ,shadow namaanisha wick ya candles
- What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
- What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
- What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
- How to know demands and supply areas in forex charts?
- What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
How to know zones za demand ni sawa na support/resistance levels hizo inaangaliwa pale ambapo price ilikuwa inafanya reversal always. Unatafuta points mbili unaziunganisha kwa mstari. Wengine wanatumia rectangle Mana sio sio exact points. So eneo fulani bulls wakifika wanakuwa exhausted na bears wanatake over.
- What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
- What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
- What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
- How to know demands and supply areas in forex charts?
- What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
Siwezi kufuatilia dse Mana ni so much illiquid market,ninapenda liquid market ama volatile,yaani Ile namba zinakimbia Kama vile points za sekunde zinahesabiwaMkuu kwanza Nikupe Salute kwa Uzi wako huu, umeongea vitu vya msingi sana.
Kwa kuongezea tu ni kwamba DSE Dar es salaam Stock Exchange wana app iko na iko na hizo assets almost zote.
Pili nikuulize hii ya kupigwa kwa OB contract inakuaje, btw mi ni trader japo sina muda mrefu kwenye hii tasnia lakini ni kweli inabidi uijue sana na uanze kupga hela, japo wkt naanza nishawahi kuanza na $30 ikafika hadi $1500.
shukrani sana na mengineHow to know zones za demand ni sawa na support/resistance levels hizo inaangaliwa pale ambapo price ilikuwa inafanya reversal always. Unatafuta points mbili unaziunganisha kwa mstari. Wengine wanatumia rectangle Mana sio sio exact points. So eneo fulani bulls wakifika wanakuwa exhausted na bears wanatake over.
Hapa fuatilia how to draw s/r levels ni kitu kimoja ni namna tu wanavyoita kwa wepesi wao kukijua kitu. Na ndo Mana utajifunza afu uta twist forex ili iendane na personality yako ilivyo