Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

  • What is Higher High (HH), Higher Low (HL), Lower High (LH) and Lower Low(LL) in forex charts?
  • What is the difference between pin bars and hammer candlestick pattern?
  • What are the tweezer candlesticks and what make them valid?
  • How to know demands and supply areas in forex charts?
  • What is Difference between engulfing and inside bars candlesticks?
Ya mwisho ni engulfing and inside bars

Inside bars za zenyewe ni reversal indicator so unajua reversal inapotokea.
Inside mfano top ama pale bulls wanapokuwa wamechoka. Kuna bulls candles inameza mazima bearish candle yaani inakuwa ndani yake mpaka wick yake.

Bulls candle kubwaaa afu Kuna bearish candle ndogo kuanzia kwenye low/high wicks na body yake inamezwa na iyo bull candle ya kwanza. Hii wakati mwingine inaitwa harami kwa Mana ya mimba. Ama Kitambo Fulani ivi mkuu ndo picha inayokuja.

Top inamana bearish candle inamezwa na bull candle. Na bottom Kuna bearish candle afu unatokea bull candle ambayo inamezwa kumbuka hapa lazima kwenye zones tu ndipo unapozitumia.
Na ndo maan baada ya kuwa imeumbwa kunaweza kukatokea candle kubwa Sana ambayo inaonyesha kuwa greed inakuwa kubwa Sana.

Na wick inaonyesha fear inakuwa kubwa Sana.
Kumbuka greed na fear ndizo force zinazofanya market itembeee.

Engulfing candles inakuwa ni kinyume chake ,hapa mfano top or resistance levels Kuna bullish candle afu inatokea bearish candle inameza Ile bull candle,Ile ya kwanza inazidiwa urefu na hii ya pili yaani inaifunika kiasi kwamba ukiangalia horizontally from right haiwezi iona Ile candle ya kwanza.

Kumbuka uonapo dalili hizi sio ukimbie kuvuta trigger wait for more confirmation,you better be late but to want to be first and eighths has greatest cost of all. Hayo maneno ya Jesse Livermore sio ya kwangu.

Yaani usisubiri kuwa mpaka mwisho ndipo uchukue faida na uwe wa kwanza kuingia kwenye reversal inapotokea
 
How to know zones za demand ni sawa na support/resistance levels hizo inaangaliwa pale ambapo price ilikuwa inafanya reversal always. Unatafuta points mbili unaziunganisha kwa mstari. Wengine wanatumia rectangle Mana sio sio exact points. So eneo fulani bulls wakifika wanakuwa exhausted na bears wanatake over.
Hapa fuatilia how to draw s/r levels ni kitu kimoja ni namna tu wanavyoita kwa wepesi wao kukijua kitu. Na ndo Mana utajifunza afu uta twist forex ili iendane na personality yako ilivyo
asante sana uko vizuri sanaa
 
How to know zones za demand ni sawa na support/resistance levels hizo inaangaliwa pale ambapo price ilikuwa inafanya reversal always. Unatafuta points mbili unaziunganisha kwa mstari. Wengine wanatumia rectangle Mana sio sio exact points. So eneo fulani bulls wakifika wanakuwa exhausted na bears wanatake over.
Hapa fuatilia how to draw s/r levels ni kitu kimoja ni namna tu wanavyoita kwa wepesi wao kukijua kitu. Na ndo Mana utajifunza afu uta twist forex ili iendane na personality yako ilivyo
Shukrani sanaaa nimekuelewa sanaa
 
Ya mwisho ni engulfing and inside bars

Inside bars za zenyewe ni reversal indicator so unajua reversal inapotokea.
Inside mfano top ama pale bulls wanapokuwa wamechoka. Kuna bulls candles inameza mazima bearish candle yaani inakuwa ndani yake mpaka wick yake.
Bulls candle kubwaaa afu Kuna bearish candle ndogo kuanzia kwenye low/high wicks na body yake inamezwa na iy
Asante sana
 
How to know zones za demand ni sawa na support/resistance levels hizo inaangaliwa pale ambapo price ilikuwa inafanya reversal always. Unatafuta points mbili unaziunganisha kwa mstari. Wengine wanatumia rectangle Mana sio sio exact points. So eneo fulani bulls wakifika wanakuwa exhausted na bears wanatake over.
Hapa fuatilia how to draw s/r levels ni kitu kimoja ni namna tu wanavyoita kwa wepesi wao kukijua kitu. Na ndo Mana utajifunza afu uta twist forex ili iendane na personality yako ilivyo
asante sanaa
 
Habari zenu wanajamii forum!

Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18.

Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa imeunganishwa na internet.

Watu wanajua kuwa kuna upigwaji kweli Upo kwa watu wengine kuwaambia wengine wao ni Guru wanawapiga pesa.
Kama tulivyoshuhudia huko kama miaka mitatu inapita ivi.

Ishu hii ni halali sema inatakiwa upate MTU sahihi sana akuelekeze ila siye mwenye kuweka Hela mbele.

Ukweli ni kuwa unaweza ukafanya kama kamari na unaweza ukaifanya kama biashara zingine tu.

Na uzuri Wa hii kuijua hakuna cha TRA,wateja,bosi,wala nani yaani hakuna kubembeleza mteja.

Pia kumbuka ni fani kama fani zingine zilivyo jamani mfano kuwa mfanyabiashara mkubwa ana uzoefu Wa kutosha na sio kuwa amelala na kuamka akajikuta hapo alipo.

Ni kama ilivyo sheria, engineering, Doctor of Medicine, mhasibu ama mwalimu.so hakuna ulelemama kuwa kuna pesa nyepesi kama wengi wanavyoinadi.

Binafsi nimejitoa kwa biashara hii hata kama itakuja kunilipa huko mbele kwa miaka 20 tokea sasa siogopi mana hakuna mafanikio cheap tunavyopenda binadamu.

Ila ni nzuri ukiijua unachofanya.

Biashara hii ni suala zima kuhusu psychology.

Pia haitakiwi ufanye live trades before ya demo trading na umeki faida kwa demo account kama mwaka mzima ndo uamue kuingia huko kwa live trades.

Wengi wanafundisha watu kwa kuwapotosha kuwa kuna pesa laini.

Hii fani sintoiacha mana najua hata wanangu nitawafundisha maarifa yake so yaweza kutokea kwao matunda.

Yaani unaipofanya tegemea miaka mitano ama kumi huko mbeleni kabisa usiwe na haraka na utoe mawazo ya Hela kichwani.
Usiwe kama students eti ni fani gani yenye kulipwa pesa nyingi.

Binafsi napenda niwe Nina interact na watu wenye passion nayo mana shuleni huwezi ukakaa mwenyewe. Pia unawafundisha wasio ijua kuna vitu unaimprove. Kwa wale walikuwa wanawaelekeza wenzao shuleni nadhani unajua unaletewa swali hulijui ila unashangaa unalijibu na unapata solutions fasta sana.

Habari zenu wanajamii forum!

Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18.

Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa imeunganishwa na internet.

Watu wanajua kuwa kuna upigwaji kweli Upo kwa watu wengine kuwaambia wengine wao ni Guru wanawapiga pesa.
Kama tulivyoshuhudia huko kama miaka mitatu inapita ivi.

Ishu hii ni halali sema inatakiwa upate MTU sahihi sana akuelekeze ila siye mwenye kuweka Hela mbele.

Ukweli ni kuwa unaweza ukafanya kama kamari na unaweza ukaifanya kama biashara zingine tu.

Na uzuri Wa hii kuijua hakuna cha TRA,wateja,bosi,wala nani yaani hakuna kubembeleza mteja.

Pia kumbuka ni fani kama fani zingine zilivyo jamani mfano kuwa mfanyabiashara mkubwa ana uzoefu Wa kutosha na sio kuwa amelala na kuamka akajikuta hapo alipo.

Ni kama ilivyo sheria, engineering, Doctor of Medicine, mhasibu ama mwalimu.so hakuna ulelemama kuwa kuna pesa nyepesi kama wengi wanavyoinadi.

Binafsi nimejitoa kwa biashara hii hata kama itakuja kunilipa huko mbele kwa miaka 20 tokea sasa siogopi mana hakuna mafanikio cheap tunavyopenda binadamu.

Ila ni nzuri ukiijua unachofanya.

Biashara hii ni suala zima kuhusu psychology.

Pia haitakiwi ufanye live trades before ya demo trading na umeki faida kwa demo account kama mwaka mzima ndo uamue kuingia huko kwa live trades.

Wengi wanafundisha watu kwa kuwapotosha kuwa kuna pesa laini.

Hii fani sintoiacha mana najua hata wanangu nitawafundisha maarifa yake so yaweza kutokea kwao matunda.

Yaani unaipofanya tegemea miaka mitano ama kumi huko mbeleni kabisa usiwe na haraka na utoe mawazo ya Hela kichwani.
Usiwe kama students eti ni fani gani yenye kulipwa pesa nyingi.

Binafsi napenda niwe Nina interact na watu wenye passion nayo mana shuleni huwezi ukakaa mwenyewe. Pia unawafundisha wasio ijua kuna vitu unaimprove. Kwa wale walikuwa wanawaelekeza wenzao shuleni nadhani unajua unaletewa swali hulijui ila unashangaa unalijibu na unapata solutions fasta sana.
  • Who pays you when you win or lose in forex?
  • When you place the order in MT4 or MT5 does it really mean you placed into the real markets ? same as bank do?
  • Do banks when trading forex buy lot sizes the same as us, or do they exchange one huge of currency into another currency?
  • When trading forex do we really exchange currency or do we buy just contracts?
  • Is MT4 OR MT5 a screen just used to show the movements of markets? Or it what people term it OTC(Over the counter)
  • Is forex a contract for difference? If yes /no How?
  • Is forex a derivative market?
  • What is interbank market and retail market in forex
  • If retail market is CFD, do retail traders able to move the markets?
  • When some one tell yo OTC market, how brain understudy it?
  • What is derivative market?
  • How the CFD being performed between you and your broker?
  • How sure you believe your oder placed sent to liquidy providers?
  • Who your liquidity providers?
  • What broker your using till now? And why you chosen to work with him?
  • could you be able to move the markets, if you were a billionea like billgate?
  • differentiate between a derivative trader and a speculator trader
  • what is the different between busness and investment
  • if forex a investments or busness?
MWALIMU KARIBU TENA
 
Hapana mkuu .ishu Iko Ivi Kuna watu wanatumia ule kutoelewa kwa watu Kama kuwapiga hela mkuu. So hii kitu nahitaji niikomeshe.
Wala sihitaji kufundishwa.
Kama mtu anaijua nachosema kuwa ni kwa Nini asichukue hela tokea sokoni.
Ina Mana ndio wamekuwa wazuri mpaka wanaolazimisha hela kuziweka kwenye mifuko ya watu
Naona unapiga ramli tu. mimi sijamuomba mtu hela na sina mpango huo. Mimi pia nimefundishwa Forex kwanini nisisaidie na wengine? Acheni roho mbaya bhana
 


  • Who pays you when you win or lose in forex?
  • When you place the order in MT4 or MT5 does it really mean you placed into the real markets ? same as bank do?
  • Do banks when trading forex buy lot sizes the same as us, or do they exchange one huge of currency into another currency?
  • When trading forex do we really exchange currency or do we buy just contracts?
  • Is MT4 OR MT5 a screen just used to show the movements of markets? Or it what people term it OTC(Over the counter)
  • Is forex a contract for difference? If yes /no How?
  • Is forex a derivative market?
  • What is interbank market and retail market in forex
  • If retail market is CFD, do retail traders able to move the markets?
  • When some one tell yo OTC market, how brain understudy it?
  • What is derivative market?
  • How the CFD being performed between you and your broker?
  • How sure you believe your oder placed sent to liquidy providers?
  • Who your liquidity providers?
  • What broker your using till now? And why you chosen to work with him?
  • could you be able to move the markets, if you were a billionea like billgate?
  • differentiate between a derivative trader and a speculator trader
  • what is the different between busness and investment
  • if forex a investments or busness?
MWALIMU KARIBU TENA
Mpaka nimechoka huo muda wa kuandika na kuumiza akili mkuu. Ila wait I will answer on my time term
 
Naona unapiga ramli tu. mimi sijamuomba mtu hela na sina mpango huo. Mimi pia nimefundishwa Forex kwanini nisisaidie na wengine? Acheni roho mbaya bhana
Poa Ila naona Kama nimekutachi. Utaanza kuuza signals Mara ku manage account mkuu. I know your way thereafter
 
Mpaka nimechoka huo muda wa kuandika na kuumiza akili mkuu. Ila wait I will answer on my time term
Jamaa anakupima tu uwezo ndugu, utajichosha tu bure,
Amejikalia anacopy maswali kwenye kitabu wewe unajipinda kumjibu. Kama ameshindwa kujisomea na kuelewa hata HH na HL bora aachane tu na forex ila na hakika anaelewa haya mambo vizuri.
 
Jamaa anakupima tu uwezo ndugu, utajichosha tu bure,
Amejikalia anacopy maswali kwenye kitabu wewe unajipinda kumjibu. Kama ameshindwa kujisomea na kuelewa hata HH na HL bora aachane tu na forex ila na hakika anaelewa haya mambo vizuri.
Umeona namie nimeona ivyo Mana hayo mambo yameelezewa Sana. Nashukuru Sana bana ubarikiwe
 
Poa Ila naona Kama nimekutachi. Utaanza kuuza signals Mara ku manage account mkuu. I know your way thereafter
Acha uchawi. jiunge kwenye group alafu hayo unayoyasema au kuyatabiri yasipofanyika ujichagulie adhabu
 
Jamaa anakupima tu uwezo ndugu, utajichosha tu bure,
Amejikalia anacopy maswali kwenye kitabu wewe unajipinda kumjibu. Kama ameshindwa kujisomea na kuelewa hata HH na HL bora aachane tu na forex ila na hakika anaelewa haya mambo vizuri.
Na trading sio knowledge tu inayodetermine kuwa utaifaulu. Kujikusanyia maarifa hakusaidii na ndo Mana watu wanakusanya wanaishia kuifundisha ,kutunga vitabu,kuuza signals,Mara copy trade.
Ila sio kuwa hawaijui wanaijua Sana sema ishu Ile dare to do or live performance ndo huwa Kuna mziki hapo,.ndo maana kila mtu anajifanya ni mwema wa kuifundisha na vitabu vimejaa kibao.
Nashukuru nimefikia level za kujua kitabu Cha trader na journalists ni kipo.
Real traders wapo , educators,advisors , regulators, brokers wote hapo wanategemea amateurs traders wawalishe jamani.

Yaani forex vitabu ni vingi Sana na wanaofundisha ni wengi Sana sijui hata kuliko wanaoifanya.
Ni Kama huwa nikienda stendi mfano ya nyegezi nakuta wale wapiga debe ni wengi kuliko wasafiri wenyewe. Naishia kuwatambua kuwa na nyie mtasafiri lini Mana mkiamua kusafiri tu mnajaza mabasi yote hapa stendi.

Yaani bana trading inachekesha Sana kila mtu anajifanya anayo humanity heart ya kuwasaidia wengine. Ni kwenye forex pekee ,Kama mtu alifundishwa na yeye anaamua kuifundisha mbona sijaona daktari,mwanasheria, engineer na wao wanaofundisha kisa na wao walifundishwa.

Forex watu wanaifanya wageni wanaiona Kama ni utapeli Ila ni watu wenyewe ndio matapeli so wanatapeli wengine Kupitia huo mgongo wa kuwa nakusaidia, kumbe ukiangalia wewe ndiye unayemsaidia
 
Acha uchawi. jiunge kwenye group alafu hayo unayoyasema au kuyatabiri yasipofanyika ujichagulie adhabu
Sihitaji kujiunga labda useme niwe nakupa nondo uwe unawalekeza huko unawachangisha alfu 20,30,50------

Ila ukijua kitu raha Sana unakuwa unawacheki makonki ama mastar.
Mfano Ontario haijui na alikuwa haijui ama Kama alikuwa anaijua aliamua kuwabia watu.
Live trading sio ya kukombilia ivi ivi.
If you don't make money in demo account you'll never in live account.
To win in a market doesn't need any skills at all may the skills to move a cursor and click sell or buy button,

The big ishu Iko kwenye consistent income au kuwa consistent profitable trader month after month or year in and year out ndo Kuna mtiti
 
Umeona namie nimeona ivyo Mana hayo mambo yameelezewa Sana. Nashukuru Sana bana ubarikiwe
mkuu usinichoke mapema sio kwamba nayajua, hapana mi napenda kuelewa kitu kwa undani zaidi, na mazingira ninayoishi ni ya kijijni so hakuna mtu wa kusema kushirikiana nae mambo haya hakuna anayeyajua.. so msaada wangu wa mwisho ni kusoma tu, changamoto ya kusoma ni kwama unaweza ukasoma ukaelewa sivyo na inavomaanishaa, thus why nikauliza.. ila usinichoke haya maswali ya mwisho ukinijibu vizuri kama ya mwanzo nazani nitakuwa nimefika 80% kuiilewa forex.. shida hata wale unaobahatika kuwauliza hawapendi kujifunza kitu kwa undani.. wao wamejikita kwenye basis tu.. kuweka oder na kuclose order, vingine hawajui.. so usinichoke kwa haraka haraka unaweza sema haya mambo nayaelewa sanaa kumbe hata 60% sijafikaaa.., shida hata relirature nyingi hazielezei vizuri
 
mkuu usinichoke mapema sio kwamba nayajua, hapana mi napenda kuelewa kiyu kwa undani zaidi, na mazingila ninayoishi ni ya kijijni so hakuna mtu wa kusema kushirikiana nae mambo haya hakuna anayeyajua.. so msaada wangu wa mwisho ni kusoma tu, changamoto ya kusoma ni kwama unaweza ukasoma ukaelewa sivyo na inavomaanishaa, thus why nikauliza.. ila usinichoke haya maswali ya mwisho ukinijibu vizuri kama ya mwanzo nazani nitakuwa nimefika 80% kuiilewa forex.. shida hata wale unaobahatika kuwauliza hawapendi kujifunza kitu kwa undani.. wao wamejikita kwenye basis tu.. kuweka oder na kuclose order, vingine hawajui.. so usinichoke kwa haraka haraka unaweza sema haya mambo nayaelewa sanaa kumbe hata 60% sijafikaaa.., shida hata relature nyingi hazielezei vizuri
Kijijini wapi huko kwani. Si smart phone unayo na bando hapo kinachobaki ni kichwa chako tu mkuu
 
Unasoma kitabu gani icho ambacho hakijielezi mkuu.

Anayekulipa unapo win trade ni trader mwenzake Aliye loose.
Iko ivi ukibofya tu cursor ya buy/sell order namie huku ivyo2.
Broker or middleman anachukua chake faster kwa njia ya spreads or kamisheni sometime both.
So uki loose mie huku na gain.kwako zinavyokuwa nyekundu kwangu zinakuwa za blue.yeye broker ameshaku link na liquidity providers like big banks or another brokers,aama anaweza akawa broker mwenyewe huyo, ukibuy anakuuzia yeye,
 
Unasoma kitabu gani icho ambacho hakijielezi mkuu.

Anayekulipa unapo win trade ni trader mwenzake Aliye loose.
Iko ivi ukibofya tu cursor ya buy/sell order namie huku ivyo2.
Broker or middleman anachukua chake faster kwa njia ya spreads or kamisheni sometime both.
So uki loose mie huku na gain.kwako zinavyokuwa nyekundu kwangu zinakuwa za blue.yeye broker ameshaku link na liquidity providers like big banks or another brokers,aama anaweza akawa broker mwenyewe huyo, ukibuy anakuuzia yeye,
sawa mkuu nimekuelewa sanaa
 
Back
Top Bottom