Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
- Thread starter
- #341
Kila nafsi inawekeza katika Imani yake.Freemasonry naonaga ni uongo tu,mtu alitunga,uongo ukasambaa.Na miaka yote hii,sijawahi kusadiki kama hao watu wapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nafsi inawekeza katika Imani yake.Freemasonry naonaga ni uongo tu,mtu alitunga,uongo ukasambaa.Na miaka yote hii,sijawahi kusadiki kama hao watu wapo.
sawa kabisa mkuu,je ni kweli walihusika na kifo cha michael jackson na kenedy?
Wewe ni maamuma...usiwape watu ujinga.. kama kitu hukijui kaa kimya..ficha ujinga wakoHakuna unachojua kuhusu freemason, endelea kusikiliza stori za mtaani. Kuwa mpole nikupe mwanga.
REALLYYYYYYYY????? have they sold their soulsssssssss?Madam ritha
Wema sepetu
Rayvanny
Zuchu
Benjamin mkapa
Frederick sumaye
Mohamed dewji
Joseph kusaga
Why wanakubali kujiweka kwenye kifungo kiasi hiki???Madam ritha
Wema sepetu
Rayvanny
Zuchu
Benjamin mkapa
Frederick sumaye
Mohamed dewji
Joseph kusaga
Wakishaifahamu?Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
Uongo.Kwenye freemason no magic at all, masomo zaidi yanahimiza discipline katika fedha, ndicho nilicho notsi, wakati huo, money discipline! Pia huthamini fedha kupindukia na mikakati mingi ya kifedha, mbinu, biashara, intime busines, modern technology na ya aina hiyo, hakuna KAFARA, wala kumtoa ndugu au mtoto!
Hawa ndio vipngozi wakubwa?😅Madam ritha
Wema sepetu
Rayvanny
Zuchu
Benjamin mkapa
Frederick sumaye
Mohamed dewji
Joseph kusaga
😅😅Uongo uko hapa..yani hapa ndio nimethibitisha wee jamaa kolo sana...ni two ways either ukiwa potensial wakufuate wao..ama member wa freemason ndio akupeleke akakutambulishe....unavowaagiza watu kuvaa maguo meusi lengo lako uwakomoe na joto la dar
Acha kuongopea umma bwana u can't join masonry withought knowing a masonry brother. Usichafue jina la hawa wisdom brothers binafsi nawaelewa sana, angalizo hawaabudu mashetani na hawagawi helaHapana hatuweki matangazo, Bali matapeli ndio hufanya hivyo.
Chama chetu mtu ajiunga kwa hiari sio kwenye matangazo.
Hajui hilo yeye kadandia madesa tuSir chande sio mwenyekiti wa freemasons tena kwa kuwa alishafariki
Emu funguka hapo kwenye umesema hawaabudu Shetani na hawagawi hela sasa wanaabudu Nini na wanagawa Nini ?Acha kuongopea umma bwana u can't join masonry withought knowing a masonry brother. Usichafue jina la hawa wisdom brothers binafsi nawaelewa sana, angalizo hawaabudu mashetani na hawagawi hela
Labda anazungumzia Freemasons ya VICOBA vya Michongo wapo wakina Mushi pale K/Koo wanadondosha magorofa kila Leo kwa hizo formula alizoelezaUongo.
Be a Freemason | Start Your Journey emu wacheck hapoFreemasonry naonaga ni uongo tu,mtu alitunga,uongo ukasambaa.Na miaka yote hii,sijawahi kusadiki kama hao watu wapo.
Huyu kijana wa 90's atakusumbua na ubongo wake mdogoHakuna Siri niliyo toa hapo hii iko wazi, kila pande za dunia miaka kwa miaka. Hebu tengeneza mazingira ya kusoma vitabu kuhusu FREEMASONRY utapata mwanga zaidi.
Sio dini hiyo hakuna kuabuduEmu funguka hapo kwenye umesema hawaabudu Shetani na hawagawi hela sasa wanaabudu Nini na wanagawa Nini ?
Ila kuna Nini ? Unaficha Nini unaogopa kuliwa nyama na kufyonzwa damu, unajua walitumia formula gani ? Shule za enzi hizo ilikua ukisikia nyonya damu hao wanakuja shule nzima wanafunzi wanatumia mbio, Ila jamaa ukiwaongelea tu haijarishi upo nao au haupo nao lazima kikukute kisanga acha niishie hapa hii secret society sio ya kuizungumzia ovyo ovyo km ndani haujashiba Mwanga wa kutoshaSio dini hiyo hakuna kuabudu
Kwa hio jamaa walikua wanapinga ushoga na hawapokei mashoga,Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO.
Haya Bwana