Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Mbona wengine wanakufa natural deaths tu?







Machozi? Kwa nini walie?



Whaaaaat? Sasa mbona wanatumia jina la Yesu? Kwamba akina jiyodevii wanaweza kuwa masonic?
You can't understand. Wewe elewa kazi kuu ya lucifer na gangs zake ni kuiba, kuchinja na kuharibu kama Biblia inavyosema na hizo principles hazijabadilika tangu enzi na enzi.Nyuma ya mafanikio yoyote ya kishetani kuna UUAJI, WIZI NA UHARIBIFU WA HALI YA JUU usione agents zake wanamaisha na show off za kifahari nyuma ya hizo kuna vilio na damu za watu.
Hata haya ma nyimbo yao karibia 99.99% ni uharibifu mtupu ila watu wanayaimba na kuyakiri kwa vinywa vyao na hupata matokeo ya kukiri kwao au kula matunda ya ndimi zao.
 
Ila kuna Nini ? Unaficha Nini unaogopa kuliwa nyama na kufyonzwa damu, unajua walitumia formula gani ? Shule za enzi hizo ilikua ukisikia nyonya damu hao wanakuja shule nzima wanafunzi wanatumia mbio, Ila jamaa ukiwaongelea tu haijarishi upo nao au haupo nao lazima kikukute kisanga acha niishie hapa hii secret society sio ya kuizungumzia ovyo ovyo km ndani haujashiba Mwanga wa kutosha
Umesema vyema sana. Hawa wazee wa suti watu wa gizani watu wabaya sana halafu ukiona show off zao na lavish life ukijichanganya utafyeka ukoo wako wote na mwishoni watakukula wewe huko ni forward ever backward never ukijitosa wanachomoa nafsi na kuiweka kifungoni huku duniani unakuwa copy yani mwili wako with a lot of demons ndio maana matendo yao mengi ni ya kinyama sana "unyama mwingi" kama wasemavyo wenyewe na hawana cha kupoteza. What shall it profit a man if he gains the whole world and get lost of his own soul?.
 
Kabla hujatawazwa kuwa mwanachama Basi kuna kiapo unasema, MBELE DAIMA, NYUMA MWIKO. Hakuna kurudi nyuma hivyo ukirudi nyuma inakuwa umekiuka masharti upaswa kufa. Kisha utapelekwa kwa mkuu wa Giza mwenye kutoa mwanga katika ulimwengu, atakuhifadhi katika malazi yake huko kuzimu. Atakupa mateso makali Sana.
Khaaa kwahiyo YANGA nao wapo huko
😅😅😅😅
 
You can't understand. Wewe elewa kazi kuu ya lucifer na gangs zake ni kuiba, kuchinja na kuharibu kama Biblia inavyosema na hizo principles hazijabadilika tangu enzi na enzi.Nyuma ya mafanikio yoyote ya kishetani kuna UUAJI, WIZI NA UHARIBIFU WA HALI YA JUU usione agents zake wanamaisha na show off za kifahari nyuma ya hizo kuna vilio na damu za watu.
Hata haya ma nyimbo yao karibia 99.99% ni uharibifu mtupu ila watu wanayaimba na kuyakiri kwa vinywa vyao na hupata matokeo ya kukiri kwao au kula matunda ya ndimi zao.
Nyimbo kama zipi,naomba tatu tu
 
Umesema vyema sana. Hawa wazee wa suti watu wa gizani watu wabaya sana halafu ukiona show off zao na lavish life ukijichanganya utafyeka ukoo wako wote na mwishoni watakukula wewe huko ni forward ever backward never ukijitosa wanachomoa nafsi na kuiweka kifungoni huku duniani unakuwa copy yani mwili wako with a lot of demons ndio maana matendo yao mengi ni ya kinyama sana "unyama mwingi" kama wasemavyo wenyewe na hawana cha kupoteza. What shall it profit a man if he gains the whole world and get lost of his own soul?.
Uongo mtupu,wewe uko brainwashed na religion,nothing else.
 
Ila kuna Nini ? Unaficha Nini unaogopa kuliwa nyama na kufyonzwa damu, unajua walitumia formula gani ? Shule za enzi hizo ilikua ukisikia nyonya damu hao wanakuja shule nzima wanafunzi wanatumia mbio, Ila jamaa ukiwaongelea tu haijarishi upo nao au haupo nao lazima kikukute kisanga acha niishie hapa hii secret society sio ya kuizungumzia ovyo ovyo km ndani haujashiba Mwanga wa kutosha
Ilikuwaga secret society enzi izo labda na hapa bongo ila nje sio secret society kiivyo, kilichojificha ni meaning behind the symbols ambazo pia sio siri tena. Aim ya Freemasonry is to make good men better. You can't join if you are pagan kwanza lazima uamini mungu yupo. Its more about social engagement, charity, and man improvement, utapata true brothers and friends who will be there for you always no matter whaaa..utafundishwa on how to be confident in public in talking, taking responsibilities, kuwa humble and that's why mostly influential people hujiunga masonry ili waimprove baadhi ya aspects katika maisha...ebwana mambo ni mengi but kila lodge ina mafundisho tofauti lakini misingi ni hiyo so hakuna mambo ya uchawi wala kafara usikubali kutapeliwa. Utafanikiwa kwa sababu ya kukutana na waliofanikiwa katika lodge yako na kujiassociate nao vizuri. Nadhani utakuwa umenielewa ila kama hutaki kuelewa endelea kuwa mbumbumbu
 
Umesema vyema sana. Hawa wazee wa suti watu wa gizani watu wabaya sana halafu ukiona show off zao na lavish life ukijichanganya utafyeka ukoo wako wote na mwishoni watakukula wewe huko ni forward ever backward never ukijitosa wanachomoa nafsi na kuiweka kifungoni huku duniani unakuwa copy yani mwili wako with a lot of demons ndio maana matendo yao mengi ni ya kinyama sana "unyama mwingi" kama wasemavyo wenyewe na hawana cha kupoteza. What shall it profit a man if he gains the whole world and get lost of his own soul?.
Mimi siamini bhana.! Kizuri siku zote hupigwa vita ili wafaidi wachache pekee!
 
Vijana wengi wa Tanzania hawana hii elimu, wengi wametamani kuingia kisa pesa nyumba na magari,

Ni kitambo tu unamiliki Mali ila ni milele kuteseka jehanam. Msikurupuke tulizeni akili kwanza
Kama unalijua hilo kwanini umejiunga? Tuondolee utapeli wenu apa 🫤🫤🫤
 
Hii thread watatapeliwa vilaza wengi sana 🤣🤣🤣👋

Kichwa kisicho na maarifa ni mzigo kwa shingo 🫤🫤🫤
 
Mbona kama unataka kumdanganya mwenzio?
Simdanganyi mtu na huo mda sina,kauliza namna ya kutoka .. ..
Ninafahamu kama keys zilizotumika ni giza,but keys zitakazotumika ni za nuru,ubaya ni shetani na wafuasi wake wanawaingiza watu katika viapo vya kuuwa roho,na makufuru ambapo huwezi kurudi nyuma,
Neno linasema kila dhambi atasamehewa binadamu lakini si kumkufuru roho,elewa hapa ni roho ya Mungu inayoongelewa,kama hajafika stage hii basi uwekano upo na hamna wa kumtisha si shetani wa jini wala kikaragosi chochote,kama walivyo apa kutumikia shetani ,jawabu ni simple kubadili njia na kuapa kumtumikia Mungu,ugumu unakuja hapa je usahihi wa wapi na nani ni sahihi na njia ya kweli ni ipi? Ni moja tu kristo yesu.wala hamna wa kukutisha nasema hivi hamna nasema tena hamna,ila si wote duniani wanafaa kumtumikia yesu,kuna watu nafasi zao ni makapi na magugu na neno limeeleza.
 
Ndio stage ya mwisho ni kuliwa alipata kusimulia jamàa mmoja kwamba kwa Imani za Dao kwamba wao wanaamini sisi binadamu kila siku tunapigana na kiumbe ambacho hatukioni yaan tunapigana na viumbe ambavyo hatuvioni na pia sisi binadamu kwa hivyo viumbe ni sawa na kuku ndani ya Banda kwa hio wao wanachagua tu wa kumla ukisikia kilio tu Mzee fulani katutoka jua tayari viumbe vishachukua mali yao vimetafuna, hii ni kwa mujibu wa Daoist/Taoist
Siyo binadamu wote,ongelea umoja
 
Back
Top Bottom