n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
You can't understand. Wewe elewa kazi kuu ya lucifer na gangs zake ni kuiba, kuchinja na kuharibu kama Biblia inavyosema na hizo principles hazijabadilika tangu enzi na enzi.Nyuma ya mafanikio yoyote ya kishetani kuna UUAJI, WIZI NA UHARIBIFU WA HALI YA JUU usione agents zake wanamaisha na show off za kifahari nyuma ya hizo kuna vilio na damu za watu.Mbona wengine wanakufa natural deaths tu?
Machozi? Kwa nini walie?
Whaaaaat? Sasa mbona wanatumia jina la Yesu? Kwamba akina jiyodevii wanaweza kuwa masonic?
Hata haya ma nyimbo yao karibia 99.99% ni uharibifu mtupu ila watu wanayaimba na kuyakiri kwa vinywa vyao na hupata matokeo ya kukiri kwao au kula matunda ya ndimi zao.