Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
Freemasonry hawamuabudu shetani..tena kama wewe ni mpagani huwezi kujiunga masonry.Sasa una bisha nini mkuu...kwani mkuu wa giza ni nani?
Na hao unaosema wana cult zao wanamtumikia nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Freemasonry hawamuabudu shetani..tena kama wewe ni mpagani huwezi kujiunga masonry.Sasa una bisha nini mkuu...kwani mkuu wa giza ni nani?
Na hao unaosema wana cult zao wanamtumikia nani?
Wanamwabudu nani?Freemasonry hawamuabudu shetani..tena kama wewe ni mpagani huwezi kujiunga masonry.
Wanaamini katika mungu..ila hiyo siyo diniWanamwabudu nani?
Umeeleza vizuri Sana lakini ni uongo.Free
Freemasonry ni organisation. Hii ni organisation sio kanisa hilo swala la ibada sijui unalitoa wapi pale sio kanisani na katika mikutano wanaanza na ombi kama lilivyo bunge tu.
Hakuna ushahidi wowote wa kanumba kuwa freemason. Anajua mwenyewe ni ritual zipi alikuwa anashiriki, sikuizi kuna cult nyingi tu za kujitajirisha kama iringa kule utakutana na wakinga wana cult zao, wachaga pia wanazo, wanyakyusa pia, ukienda shinyanga huko kahama kuna cult zao na wanahela zao chafu tu zenye mashart kibao..sasa watu wakiona hivyo wanawaita hao watu ni Freemasonry kumbe wapi...
Narudia tena Freemason hawagawi pesa kwa members, but members wanatoa misaada kwa maskini.
Freemasonry kama organisation wako na sheria zao kama vile kuweka siri za kambi maana sio busara kila mtu ajue yanayoendelea lodge vivyohivyo hakuna organisation inayokuwa transparency kwenye kila kitu. Ukitaka kujua sana kuhusu freemasonry mtafute member akutambulishe kama uko vizuri watakupenda utajiunga na kujua mengi mazuri na utabaki kuwacheka wabongo wengi walio shadowed abt this beautiful organisation.
Lodge number 9534, Mimi Kama master Mason. Sina sababu ya kueleza uongo kwa faida ya Nani.K
Ama hujui kitu ebu acha basi kuudanganya umma. No research no right to speak. Why unaichafua Freemasonry?? Hakuna kitu kama kafara kwenye hiki chama pendwa. Na mtu kama wewe sio masonry sasa haya mambo unayoandika hapa umeyatoa wapi? Au ndio story za vijiweni?? Acha huo utoto bwana
Diamond platnumz aliwahi kumwambia umma kuwa cheni ya mama yake ya dhahabu aliipa akaenda kurekodi nyimbo Sasa ametoboa, je wewe unaamini hili.Ila tunajua Mengi alipata mtaji kupitia bank alikokuwa akifanya kazi. Sasa unasemaje mali alipewa na freemason?
Nasubiri unifumbulie hilo fumbo ulilosema. Na je, huyo shetani anapokuja kila J3 anakuwa na sura ya kizungu?Diamond platnumz aliwahi kumwambia umma kuwa cheni ya mama yake ya dhahabu aliipa akaenda kurekodi nyimbo Sasa ametoboa, je wewe unaamini hili.
Hizi ni stori wanatunga kuficha uovu wao
Watanzania wengi wamekuwa wakipata taabu kuifahamu FREEMASONRY Sasa utaenda kuifahamu kwa undani ikiwa utaleta maswali yenye tija, msingi, uhalisia hivyo utapata majibu kwa usahihi kabisa.
View attachment 2652303
Huu ni ukumbi wa FREEMASONRY, unapatikana jijini moshi, Kilimanjaro. Jengo hili lilizinduliwa mnamo 2005, Machi 26. Na kupewa namba 9794. Sir jayantilal keshavij chande ndiye mzinduzi na mwenyekiti wa jumuiya ya FREEMASONRY afrika ya mashariki.
Karibuni kwa maswali, hoja na mjadala ndugu watanzania.
kwann gari ya benzi?? kuna uhusiano gani kati ya gari ya benzi na shetani??Hapana Mimi sikuzungumza kuhusu bahasha nyeusi, Wala kulia.
Shetani unaweza kumhonga hata wewe ambae haupo freemason, shetani kila jumatatu Kama leo hutembea duniani akiwa amevaa suti nyeusi,gari nyeusi Mercedes Benz.
Lodge number 9534, Mimi Kama master Mason. Sina sababu ya kueleza uongo kwa faida y
Ulipitia initiation ipi ili kuwa master lodge by the way namjua master lodge moshi na sio mpuuzi wa kuja kuropoka jf.Lodge number 9534, Mimi Kama master Mason. Sina sababu ya kueleza uongo kwa faida ya Nani.
Anatembea na gari akitafuta nini?Hapana Mimi sikuzungumza kuhusu bahasha nyeusi, Wala kulia.
Shetani unaweza kumhonga hata wewe ambae haupo freemason, shetani kila jumatatu Kama leo hutembea duniani akiwa amevaa suti nyeusi,gari nyeusi Mercedes Benz.
Haya ni MatapeliUlipitia initiation ipi ili kuwa master lodge by the way namjua master lodge moshi na sio mpuuzi wa kuja kuropoka jf.
Hatari Sana 🤔Nielezee kiundani zaidi
KAFARA- ya mtoto kulala na mama yake wa kumzaa yaani mtoto kushiriki kimapenzi na mama yake mzazi
Sina maana kama tahitaji kuifanya ila tunasikia ipo na hao Freemasons wanaitoa kwa mtu anayeitaka na cha zaidi tunasikia kuna STAR hapa bongo anafanya hivyo na mama yake mzazi
Kingine sisi kama watanzania sio utamaduni wetu na kama kweli kuna star hapa bongo anafanya hivyo na mama yake- nawaambia hao Freemasons HATUJAPENDA mbadilishieni hiyo kafara nawaomba, nawaomba, nawaomba- nimewaomba mara tatu wakuu tafadhalini mbadilishieni hiyo kafara
Huyu atakuwa mganga wa kienyeji tuJamaa kaingia mitini
Kwaiyo wewe wachukulia ubani kama jambo lakawaida sanaaa... Jaribu kufanya tafiti mkuu usiwe unachukua mambo kirahisi rahisi.Hili jibu lako ni la kisiasa. Kuwa muanglikana sio kitu cha kujificha.
Halafu, ubani unachomwa hadharani wakati wa ibada. In fact Anglican ni mtoto mdogo wa Roman Catholic. Wakatoliki nao wanachoma ubani kwenye ibada.
Lakini pia, moja ya zawadi alizopelekewa mfalme alipozaliwa, Yesu Kristu, na wale mamajusi, ilikuwa ubani. Sio kila mtu anastahili hii zawadi. Ndio maana sisi wakristu, ni makasisi pekee wanaoweza kufukiza ubani.