Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

Mkuu Brela ni usajili na si watoaji wa leseni. Nadhani namba 1 ni sahihi ila namba 4 ni mamlaka inayohusika na hiyo biashara au halmashauri ya eneo alilopo

Acha nikujibu kwa Kwa faida ya wengine pia, leseni zipo katika makundi mawili.

Kundi namba 1 ni leseni zinazobeba sura ya kitaifa na kimataifa ambazo hizi hutolewa na wizara ya viwanda na biashara kupitia wakala wake ambae ni BRELA

Kundi namba 2 ni leseni zinazotolewa na manispaa.

Kwa maana hiyo sio kila leseni inatolewa na manispaa, leseni nyengine kama vile Utalii, Kukopesha fedha, Usafirisha, kuingiza mizigo ndani ya nchi, kuuza bidhaa nje ya nchi n.k hizi hutolewa na Brela
 
Acha nikujibu kwa Kwa faida ya wengine pia, leseni zipo katika makundi mawili.

Kundi namba 1 ni leseni zinazobeba sura ya kitaifa na kimataifa ambazo hizi hutolewa na wizara ya viwanda na biashara kupitia wakala wake ambae ni BRELA

Kundi namba 2 ni leseni zinazotolewa na manispaa.

Kwa maana hiyo sio kila leseni inatolewa na manispaa, leseni nyengine kama vile Utalii, Kukopesha fedha, Usafirisha, kuingiza mizigo ndani ya nchi, kuuza bidhaa nje ya nchi n.k hizi hutolewa na Brela

Nafanya ikiwa nataka kupuguza baadhi ya majukumu kwenye memorundum ili niongeze mengine. mfano memorundum inasema tutakuwa tunauza mkaa ila mimi nataka kuondoa kwenye memorundum ili niweke kampuni itauza Majiko ya gesi.
hayo mabadiliko yanafanyika vipi.

na utaratibu gani unafanyika ikiwa nataka kumbadili CEO wa kampuni. ni kweli kwamba CEO akabadilika lazima memorundam nako ibadilike sehemu ya mkurugezi
 
Nafanya ikiwa nataka kupuguza baadhi ya majukumu kwenye memorundum ili niongeze mengine. mfano memorundum inasema tutakuwa tunauza mkaa ila mimi nataka kuondoa kwenye memorundum ili niweke kampuni itauza Majiko ya gesi.
hayo mabadiliko yanafanyika vipi.

na utaratibu gani unafanyika ikiwa nataka kumbadili CEO wa kampuni. ni kweli kwamba CEO akabadilika lazima memorundam nako ibadilike sehemu ya mkurugezi

1. Mabadiliko ya kitu chochote katika kampuni huwa yanaanzia Brela.
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa Board Resolution inayoonyesha mabadiliko hayo yamefanyika na yamepitishwa na kampuni, (Board Resolution itasainiwa na Chairman na Company Secretary.)

Ukishamaliza kuandaa kama unavyojua masuala ya kampuni kwa sasa yanafanyika online kwwnye ORS. Hivyo utaingia katika akaunti yako na kuupload hiyo board resolution pamoja na consolidate form iliyosainiwa

2. Kwa kumbadili Director/CEO andaa Board Resolution kisha jaza form no 210a (Appointment of new Director) na 210b (Termination of Director)
Memorandum ya kampuni katika mabadiliko ya aina hiyo HAITABADILIKA sehemu yoyote ile, itabaki kama ilivyo
 
1. Mabadiliko ya kitu chochote katika kampuni huwa yanaanzia Brela.
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa Board Resolution inayoonyesha mabadiliko hayo yamefanyika na yamepitishwa na kampuni, (Board Resolution itasainiwa na Chairman na Company Secretary.)

Ukishamaliza kuandaa kama unavyojua masuala ya kampuni kwa sasa yanafanyika online kwwnye ORS. Hivyo utaingia katika akaunti yako na kuupload hiyo board resolution pamoja na consolidate form iliyosainiwa

2. Kwa kumbadili Director/CEO andaa Board Resolution kisha jaza form no 210a (Appointment of new Director) na 210b (Termination of Director)
Memorandum ya kampuni katika mabadiliko ya aina hiyo HAITABADILIKA sehemu yoyote ile, itabaki kama ilivyo

Naomba msaada wa picha ya jinsi inavyoandaliwa hiyo board resolution.

Na ni kipengele gani inafanyika hayo mabadiliko ya memorandum.

baada ya kufika hapo kwenye mavadiliko, Sehemu ya kujaza memorandum, inatakiwa kuweka memorandum mpya yenye yale mabadiliko au ni kujaza tu vle vipengele vipya au shughuli mpya(vilivyoongezeka)

Asante
 
Nataka kufungua Consultation Firm katika Taxation(How to fill tax returns nakuandika business plans na proposal je natakiwa nifanyaje ili niweze kufungua na kufanya kazi? Naanzaje mchakato?
 
Naomba msaada wa picha ya jinsi inavyoandaliwa hiyo board resolution.

Na ni kipengele gani inafanyika hayo mabadiliko ya memorandum.

baada ya kufika hapo kwenye mavadiliko, Sehemu ya kujaza memorandum, inatakiwa kuweka memorandum mpya yenye yale mabadiliko au ni kujaza tu vle vipengele vipya au shughuli mpya(vilivyoongezeka)

Asante

Hapa nitafute tu kwa whatsapp nikupe msaada zaidi na picha ya mfano mkuu
 
Nataka kufungua Consultation Firm katika Taxation(How to fill tax returns nakuandika business plans na proposal je natakiwa nifanyaje ili niweze kufungua na kufanya kazi? Naanzaje mchakato?

Hivyo ulivyovitaja hapo juu ni mambo ambayo una utaalamu nayo(umesomea)!? Je una uelewa na uzoefu wa kuvifanya kwa usahihi!?

Ila mchakato kwa ufupi tu unaanza na kujisajili. Usajili unaanzia Brela, TRA then unamalizia kuchukua leseni.
 
Mkuu nimesoma uzi huu,ila changamoto yangu kampuni nilisajili ni miaka miwili sasa haijafanya kazi,natamani kuwa najaza mwenyewe kufanya return ila sijuhi na aliye nisajilia naina kama hayuko tiyali kunielewesha,ila namtumia yeye kufanya return kwa kumlipa kila baada ya miezi mitatu,sasa nachoka kwani kampuni haifanyì kazi mpaka nawaza kuifunga mkuu,naomba ushauri wako tafadhali.
 
Mkuu nimesoma uzi huu,ila changamoto yangu kampuni nilisajili ni miaka miwili sasa haijafanya kazi,natamani kuwa najaza mwenyewe kufanya return ila sijuhi na aliye nisajilia naina kama hayuko tiyali kunielewesha,ila namtumia yeye kufanya return kwa kumlipa kila baada ya miezi mitatu,sasa nachoka kwani kampuni haifanyì kazi mpaka nawaza kuifunga mkuu,naomba ushauri wako tafadhali.

Usiifunge kampuni kwa sababu hiyo mkuu, kama shida ni kujaza NIL Return za kila mwezi basi karibu ofisini nikueleweshe uwe unafanya mwenyewe kila mwezi.. Itakupunguzia gharama za uendeshaji wa kampuni
 
Mimi naomba kuuliza kidogo ,
1).Je kama kampuni mulianzisha watu wawili yaani 50% kila mmoja ,lakini mukaona ili tuendelee vizuri tunahitaji kuuza hisa kwa investors ili wafeed hii , so, mgawanyo wa Hisa unakuwaje ? yaani nani anatoa thamani ya hisa munazotaka kumpa investor ? if shareholders mumekubaliana kutoa 5% kila mmoja =10%
2).Sheria ya brela inatutaka waanzilishi wa kampuni wawe 2 , but Mimi katika kuanzisha nikamtafuta just friend mfano nikampa 30% but wakati kampuni inaendelea tu vizuri yeye akasema anataka kuondoka na apewe haki yake , so, vipi hii inakaaje , yaani hakuna sheria naweza weka kwa mtu yoyoye ambae nitampa share ??/( note : Mimi ndie nimetoa mtaji , yeye nimempa just tutimize takwa la kuwa wawili waanzilishi ??)

3).Je CEO anaweza akawa fire out licha ya kuwa yeye ndie mmiliki mkubwa wa hisa/,miongoni mwa wamiliki wa hisa ??
 
Habari mkuu, nilifungua kampuni with effect from november ila bado sijaanza kuoperate kutokana na kuchelewa kwa working/operation capital kuchelewa hadi mwezi julai. Je nitakapoenda TRA kuandika barua kuwa bado sijaanza kuoperate watanipenalize kwa kipindi ambacho sijapeleka ripoti za kila robo ya mwaka? Na je itakuwa ni kiasi gani?
 
Mimi naomba kuuliza kidogo ,
1).Je kama kampuni mulianzisha watu wawili yaani 50% kila mmoja ,lakini mukaona ili tuendelee vizuri tunahitaji kuuza hisa kwa investors ili wafeed hii , so, mgawanyo wa Hisa unakuwaje ? yaani nani anatoa thamani ya hisa munazotaka kumpa investor ? if shareholders mumekubaliana kutoa 5% kila mmoja =10%
2).Sheria ya brela inatutaka waanzilishi wa kampuni wawe 2 , but Mimi katika kuanzisha nikamtafuta just friend mfano nikampa 30% but wakati kampuni inaendelea tu vizuri yeye akasema anataka kuondoka na apewe haki yake , so, vipi hii inakaaje , yaani hakuna sheria naweza weka kwa mtu yoyoye ambae nitampa share ??/( note : Mimi ndie nimetoa mtaji , yeye nimempa just tutimize takwa la kuwa wawili waanzilishi ??)

3).Je CEO anaweza akawa fire out licha ya kuwa yeye ndie mmiliki mkubwa wa hisa/,miongoni mwa wamiliki wa hisa ??

1. Hayo ni makubaliano ya kampuni na huyo Investor, kwasaabu kwenye Private Company sheria inaruhusu mauziano ya shares baina ya mtu mmoja na mtu mwengine.. kama Investor atataka kuja kununua shares ambazo ziko issued kwenu basi nyie wenyewe ndio mtaangalia mnaweza kumuuzia asilimia ngapi ambayo ina thamani ya kiasi gani.

Ndio maana kwenye mauziano ya share inaandaliwa kwanza Board Resolution, kuonyesha kuwa kampuni au shareholder wa kampuni ameamua kuuza asilimia kadhaa ya shares zake kwenda kwa mtu flani na huyo mtu atalipa kiasi fulani.

Baada ya hayo maamuzi kupitishwa na Bodi ya wakurugenzi then itaandaliwa na mikataba ya mauziano ya shares.

Kufupisha habari naweza kusema hili jambo ni makubaliano binafsi kati ya Investor na kampuni, hata mkitaka kumuuzia shares zote ni sawa tu. Sheria inakuongoza kufuata tu legal process ili zoezi lifanyike kihalali na serikali ipate kodi yake, ila haikuambii utoe asilimia ngapi au nani auze shares na nani asiuze, hayo ni maamuzi yenu

2. Unapotaka kuweka mtu ili kutimiziwa matakwa ya kisheria, huwa tunashauri kwanza kabisa umpe aailimia chache, maana kisheria unaweza kumpa mtu share hata 1% tu, hizo 30 ulizotoa wewe ni nyingi sana

Tukija upande mwengine, huyu mtu ana haki ya kudai haki zake maana kisheria yeye ana umiliki wa 30% za kampuni, hakuna sehemu kimamlaka utasema nilimuweka tu ili kutimiza masharti. unapomueka mtu kwenye kampuni basi anahesabika kama mkurugenzi/mmiliki na anakua katika part ya umiliki, operations, faida na kila kitu kinachohusu kampuni.

Ndio maana wanasema kama hauko tayari kufanya kazi na mtu yoyote basi jisajili tu as Sole Proprietorship, maana kwenye kampuni lazima mkae chini walau watu wawili na mkubaliane, kama mtakua na makubaliano mengine binafsi hiyo sasa ni nyinyi ila Brela na TRA wao watatambua kuwa huyo ni mmoja wa wahusika katika kampuni.

Ikitokea situation kama hiyo sasa muhimu busara tu zitumike kutatua jambo.

3. Mabadiliko yoyote katika kampuni huwa yanaamuliwa na Bodi, na katika Bodi kuna mwenyekiti ambae ndio huyo CEO.

Ili mabadiliko yoyote yafanyike na kupitishwa katika kampuni inabidi maamuzi yake yasainiwe na Chairman na Company Secretay.

So kwa hizi kampuni zetu za watu wawili watatu CEO kutoka ni mpaka aidhinishe kujitoa mwenyewe,

NB: Upo pia utaratibu wa Chairman kutolewa na kampuni endapo kutakua na sababu ya kufanya hivyo kama vile ugonjwa mkubwa wa kumfanya ashindwe kufanya majukumu yake, kifo, kurukwa na akili, kutokua na uwezo wa kuongoza n.k hii inqtegemea tu na katiba ya kampuni inasemaje kwenye situation kama hizo
 
Habari mkuu, nilifungua kampuni with effect from november ila bado sijaanza kuoperate kutokana na kuchelewa kwa working/operation capital kuchelewa hadi mwezi julai. Je nitakapoenda TRA kuandika barua kuwa bado sijaanza kuoperate watanipenalize kwa kipindi ambacho sijapeleka ripoti za kila robo ya mwaka? Na je itakuwa ni kiasi gani?

Yaani katika kitu ambacho hutakiwi kuacha basi ni kufile ritani za kampuni pale muda wake unapofika.

Kwa kesi yako utapoenda TRA ukiandika barua watakuambia tu ufanye hayo makadirio ya mwaka huu, na mpaka sasa ushachelewa miezi mitatu tangu tarehe ya mwisho ya kujikadiria ilipofika (31 March)

Penalty kwa kila mwezi unaochelewa ni sh 225,000 kwahiyo mpaka sasa utakutakutana na penalty ya mieizi mitatu ambayo ni 675,000. Na kadiri unavyocheleqa hii Penalty inaongezeka tu, mfano ukienda TRA mwezi ujao Penalty yako itakua 900,000

Fanya kuwahi mapema au tuone Section Twenty tukusaidie kwa hilo
 
M naomba kuuliza utaratibu wa kufuat ili kupata leseni ya biashara kwa kikundi cha wajasiriamali
(NB: hatutaki kusajili kama kampuni)
pia kupata namba ya utambulisho ya mlipa kodi( TIN NO) Mradi wetu unathaman ya 10M+

Maana kwa sasaivi tunatumia leseni na TIN ya mwenzetu changamoto inakua kwenye utambulisho na kukosa fursa ya mikopo kwenye taasisi mana ukienda bank kitu cha kwanza unaulizwa
1.Mmesajiliwa
2.Mnajihusisha na nn
3.Leseni ya biashara
3.Thamani ya mradi wenu
 
Back
Top Bottom