MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Ahsante sana mwanzilishi wa uzi huu ambao umetoa majibu mengi ya manufaa kwetu wafanyabiashara.
Naomba kuuliza maswali:
1. Kampuni ikiwa imesajiliwa na ikapita miaka miwili bila kuchukua TIN NUMBER wala LESENI na kufanya TAX CLEARANCE, kuna penalties zozote TRA(kikodi) au Brela zinaweza ilima/ikumba kampuni hiyo?
2. Bado kampuni ambazo ni za Kilimo na uchakataji wa mazao ya Kilimo zina VAT ya 0% kwa bidhaa wanazozalisha (zilizo ongezewa virutubisho) au kuna mabadiliko?
3. Kwa ushauri bodi ya wakurugenzi inatakiwa kuwa na watu wangapi kwa kampuni inayoanza?
Natanguliza shukrani.
Naomba kuuliza maswali:
1. Kampuni ikiwa imesajiliwa na ikapita miaka miwili bila kuchukua TIN NUMBER wala LESENI na kufanya TAX CLEARANCE, kuna penalties zozote TRA(kikodi) au Brela zinaweza ilima/ikumba kampuni hiyo?
2. Bado kampuni ambazo ni za Kilimo na uchakataji wa mazao ya Kilimo zina VAT ya 0% kwa bidhaa wanazozalisha (zilizo ongezewa virutubisho) au kuna mabadiliko?
3. Kwa ushauri bodi ya wakurugenzi inatakiwa kuwa na watu wangapi kwa kampuni inayoanza?
Natanguliza shukrani.